An academy (Attic Greek: Ἀκαδήμεια; Koine Greek Ἀκαδημία) is an institution of secondary or tertiary higher learning, research, or honorary membership. The name traces back to Plato's school of philosophy, founded approximately 385 BC at Akademia, a sanctuary of Athena, the goddess of wisdom and skill, north of Athens, Greece.
Waziri wa Madini, Mhe. Antony Mavunde, ameipongeza Kampuni ya Dhahabu ya Barrick ambayo inaendesha shughuli zake nchini kwa ubia na Serikali kupitia kampuni ya Twiga Minerals, kwa kufanya uwekezaji unaoendelea kuchangia kukuza uchumi na kufanikisha miradi ya kijamii ambayo inaendelea koboresha...
Smart parents take extraordinary steps for their children's future. It's time to take that crucial step now and enroll your children in programming courses at Safco Academy!
Why Safco Academy is the Best Choice for Your Children?
Opportunity for Growth: Give your children a head start in...
Jana nimepita mitaa ya Shule ya Moja ya Shule za Fountain Gate iliyopo Tabata Sigara jijini Dar es Salaam, nimekutana na tatizo kubwa sana la Barabara inayoingia katika Shule hiyo, na mbaya zaidi ni Barabara inayotumika na Watoto kufika shuleni hapo cha kushangaza barabara hiyo imekuwa mbovu kwa...
Kwann kama taifa hatuna mikakati?? Nakasirika sana kuona serikali inadandia treni ya mafanikio ya mpira kwa mbele.
Nchi za Senegal, Mali, na Burkina Faso serikali za nchi hizi zimefanya uwekezaji mkubwa ktk soka. Na ndiyo tunayaona mafanikio yao.
Badala ya kuwategemea vijana waliokulia chai na...
Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu Hassan una mapenzi ya dhati ya mpira wa miguu.
Hata hivyo, tunakuomba mheshimiwa Rais hakikisha kabla ya kumaliza muda wako 2030 uhakikishe ya kwamba umeacha misingi ya uhakika ili taifa letu liweze kufikia kiwango cha mataifa yaliofanukiwa kwenye...
Uongozi wa Singida Big Stars umefanya maamuzi ya kuiuza timu hiyo kwa wamiliki wa Fountain Gate ambapo sasa timu hiyo imebadilishwa jina na kuwa “Singida Fountain Gate Footbal Club.”
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Singida Big Stars ambaye kwa sasa ni Mjumbe wa Bodi ya Singida Fountain Gate, John...
Nyota ya Mtanzania, Gibson Kawago imeendelea kung’ara baada ya kutajwa katika kinyang’anyiro cha kuwania tuzo ya ubunifu katika uhandisi Afrika inayoratibiwa na Chuo cha Uhandisi cha Uingereza - Royal Academy of Engineering.
Wabunifu watatu wengine wanatoka Nigeria, Afrika Kusini na Uganda...
Habari wana Jamii Forums.
Sisi ni Shining Sports Organization wamiliki wa Shining Sports Academy.
Ni Academy ya michezo mbali mbali ila kwa sasa tumeanza na mchezo wa soka.
Mazoezi yanafanyika viwanja vya Masaki Sports Park, Karume Road, Masaki.
Tunafanya session za watoto kwa ratiba...
Habari wana Jamii Forum.
Sisi ni Shining Sports Organization wamiliki wa Shining Sports Academy.
Ni Academy ya michezo mbali mbali ila kwa sasa tumeanza na mchezo wa soka.
Mazoezi yanafanyika viwanja vya Masaki Sports Park, Karume Road, Masaki.
Tunafanya session za watoto kwa ratiba ifuatayo...
Academic Coordinator
Dar es Salaam
First Years Academy (FYA)
Preschool, Primary and Lower Secondary
At the First Years Academy, we ensure that our students achieve the highest standards of successful learning whether it be in academics, fine arts or our athletic programs. As you step into...
Hongera kwa kazi nzuri kuelimisha jamii kupitia makala za kuelimisha na kusisimua.
Umekuwa unatumia platforms kadhaa kufikia wasomaji wengi kadiri uwezavyo, ni jambo jema.
Vipi, umewahi kufikiria kutumia platform hii inayopatikana hapa www.calipa.co.tz?
Hii platform/system ambayo ni "App na Web...
Ikiwa ulidhani kwamba sakata la kofi lililotikisa 'dunia nzima imekwisha, hakika umekosea. Siku chache baada ya Will Smith kumpiga Chris Rock bila kutarajia katika tuzo za Oscar za mwaka huu—Academy imeanza rasmi kesi za kinidhamu dhidi yake…na Will anaweza kukabiliwa na matokeo mabaya sana...
Waandaaji wa tuzo za Oscar wanasema baada ya smith kufanya fujo na kumpiga Rock, aliombwa aondoke lakini akagoma.
Oscar Academy wanasema watamchukulia smith hatua za kinidhamu kwa kufanya fujona pia kudhalilisha hadhi ya tuzo hizo za kimataifa.
Watu wengi wanasema alichokifanya Smith kimezidi...
EXPERIENCED TEACHERS NEEDED TO TEACH AND SERVE AT AN INTERNATIONAL CHRISTIAN SCHOOL
Haven of Peace Academy (HOPAC) is looking for qualified people to join our mission to provide an excellent, Christ-centred education fulfilling international academic standards, equipping students to live out a...
Wakuu wakati akiwa Mwanza nilimsikia Rais Samia akizungumzia suala la uanzishwaji wa academics kwa kila mkoa ili kukuza sekta ya mchezo wenyewe.
Ni jambo jema sana ila mimi nina mawazo tofauti na ushauri pia kwamba academy hutayarishwa na timu zote zinazoshiriki kwenye ligi, kuanzia timu kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.