Wadau nimekua na idea ya biashara ila naombeni, niwashirikishe mlitafakari kwangu naona linaweza kulipa sana!!.
Wazo lenyewe bila kupoteza mda ni: HUDUMA YA WI-FI YA UNLIMITED KULIPIA KWA MWEZI
Tufanye hivi kama upo maeneo ya biashara, chuo, maofisini au popote ambapo kuna watu wenye matumizi...
Mimi ni miongoni mwa wateja wakubwa wa kampuni ya Premier Bet mpaka kufikia hadhi ya VIP customer. Nimekuwa nikibet zaidi ya milioni moja kwa siku lakini kuna trend moja nimeishuhudia siku za karibuni kwa kampuni hiyo kufuta baadhi ya mechi sense odds kubwa baada ya kula. Pia kumekuwa na trend...
31st December 2023
29th December: Wins 6 | Loss 0
30th December: Wins 6 | Loss 0
31st December: Loading . . .
💰🤑💰2 days over Tsh. 68,000 WON💰🤑💰
PLAY OF THE DAY 31ST (BET NA MIMI NA WEWE USHINDI)
NFL
1. TB Buccaneers MoneyLine
2. HOU Texans -4.5
3. IND Colts MoneyLine
4. LA Rams -6.5
5...
Karibuni tuinvest katika soko letu la hisa iwe meridian, iplay8 casino, m-bet, premier betting, skybet, landbrokerz, bet365... n.k
GG (maana yake tim zote zifungane).. GGGG ( tim zote zifungane kila kipindi)
2+ (katika mechi yote...
Watu wengi wakisikia neno bet, moja kwa moja wanahuisha na mpira wa miguu, ni kweli wapo sawa ila betting siyo kwenye mpira wa miguu tu hata kwenye michezo kama cricket, basketball, ngumi na michezo mengine, Embu tungalie kwa upande wa mpira wa miguu ambo unaongoza kwakua na mashibiki wengi...
Ivi hawa Go Bet wanatuchukuliaje WaTanzania ivi Hii nchi Mbona Ngumu sana jamni yan Mtu unakaa zako unahangaika na Matatizo ya hii nchi ghafla Na Mitandao ya Kipuuzi kam hii nayo itutukane,
Waziri husika Hebu mkalitazame hilo maan huku ni Kuingilia Privacy za Watu sasa, haiwezekan Watu...
Nyota huyo kutoka Nigeria ameibuka mshindi na kuwabwaga mastaa wengine ambao Aya Nakamura, Ayra Starr, Central Cee, Ella Mai, K.O, L7nnon, Stormzy, Tiakola na DJ Uncle Waffles.
Beyonce ameshinda 'Viewers Choice', Drake na 21 Savage (Kundi Bora), Future na Tems (Wimbo Bora wa Ushirikiano)...
Na declare interest mimi ni mdau wa usafirishaji Tanzania.
Lengo la kuanzisha huu uzi sio kuharibu biashara au maisha/ajira za watu ila ni kuokoa maisha ya watanzania wanaokufa kila siku kama panzi kwa uzembe na ujinga wa hawa madereva.
Mimi ni mkazi wa Mkoa wa Mbeya na huwa nafanya kazi za...
Best International Act
Aya Nakamura (France)
Ayra Starr (Nigeria)
Burna Boy (Nigeria)
Central Cee (UK)
Ella Mai (UK)
K.O (South Africa)
L7nnon (Brazil)
Stormzy (UK)
Tiakola (France)
Uncle Waffles (Swaziland)
Album of the Year
“Anyways, Life’s Great” - GloRilla
“Breezy” - Chris Brown...
Jamani sijui mimi nipoje, sina mpango kabisa wa kupokea simu ikinipongeza eti nimeshinda. Yaani kucheza nicheze mimi alafu watanzania wajulishwe eti nimeshinda.
So, habari ndo hiyo! Kama leo utasikia simu ya mshindi ikiita pasipo kupokelewa, jua ni mimi.
Nataka nichezee nife hata. Na mchezaji mmoja, Sasa kizungu changamoto hapo sijaelewa Ili mkeka uende inatakiwa mchezaji achezeje huo mpira, apige short golini au mradi kapiga tu shot!? Msaada
Kwa hali ilivyo sasa kama mdhamini katika NBCPL anataka kupata return ya haraka kwa hela aliyowekeza, Simba SC ni sehemu sahihi. Hili limejidhihirisha msimu huu (2022/23) ambapo M-BET anapata marejesho lukuki.
Katika msimu huu (2022/23);
1. M-BET imemwaga bilioni 1 Simba Queen. Kwa sasa Simba...
Mwez wa nane Simba iliingia mkataba mnono kweli kweli na m bet Sasa inakuaje aliyekua kocha wao zoran mak anavunja mkataba na kwenda ittahadalexsc.
Inamaana club tajiri Tanzania na level moja na Al Ahly au mamelod sundown wananyanganywa kocha na ittahadalexsc timu ndogo kuliko Simba yaani kocha...
Habari za wakati huu ndugu zangu wa jamiiforums.
Ninaomba mwenye mawasiliano ya msanii Diamond Platnumz au anayeweza kunikutanisha naye ili niweze kumshauri juu ya namna njema ya kuitangaza Wasafi Bet.
Smartphone yangu iliibwa mwezi May ila sasa ninatumia Whatsapp ya mjomba wangu number...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.