Neno "advance" ni neno la Kiingereza ambalo limekuwa sehemu ya msamiati wa maisha ya kila siku nchini Tanzania. Katika mitaa, maofisini, na mashuleni, neno hili linatumika katika muktadha mkuu wa aina tatu:
1. Kwenye Elimu (Kidato cha Tano na Sita)
Hili ndilo matumizi maarufu sana miongoni mwa vijana na wanafunzi. "Advance" inasimama badala ya Advanced Level Education (Elimu ya Sekondari ya Juu). Inamaanisha Kidato cha Tano (Form 5) na Kidato cha Sita (Form 6).
Mifano mtaani:"Mdogo wangu amemaliza O-level (Form 4), sasa hivi anasoma advance." au "Shule yetu haina advance, inaishia form four tu."
2. Kwenye Ajira na Mishahara (Salary Advance)
Maofisini au kwenye vibarua, neno hili hutumika kumaanisha malipo ya mshahara wa mwezi ambayo mfanyakazi anaomba kulipwa kabla ya mwezi kuisha (mara nyingi katikati ya mwezi) kutokana na shida za kifedha. Pesa hii itakatwa kwenye mshahara wake kamili mwisho wa mwezi.
Mifano maofisini:"Mwezi huu mambo ni magumu, inabidi niende kwa bosi nikaombe advance."
3. Kwenye Kodi na Biashara (Malipo ya Awali / Deposit)
Katika masuala ya kupangisha nyumba au kufanya biashara, "advance" inamaanisha malipo ya mbele unayoyatoa kabla ya kupatiwa huduma kamili au ili kushikilia kitu (kama dhamana).
Kodi ya Nyumba: Wenye nyumba wengi Tanzania hawapokei kodi ya mwezi mmoja mmoja. "Nyumba hii kodi ni laki mbili kwa mwezi, lakini mwenye nyumba anataka advance ya miezi sita." (Anataka ulipie miezi sita kwa mkupuo kabla ya kuingia).
Kwenye Fundi au Huduma:"Fundi amesema nimpe advance ya elfu hamsini ili aanze kazi, kiasi kilichobaki nitampa akimaliza."
Tanzania's Amsons Group is in advanced negotiations to acquire Oryx Energies in a deal estimated at $250 million, according to sources familiar with the matter, in a transaction that would hand the Tanzanian conglomerate control of one of East Africa's most strategically positioned energy...
Wakuu, husika na mada tajwa hapo juu, naomba mnisikilize kidogo.
Nimehitimu masomo yangu mwaka 2024 katika fani ya IT in Business. Baada ya hapo nilipata nafasi ya kufanya kazi katika kampuni moja iliyopo Posta, ambapo nafanya kazi kama Consultant pamoja na Data Analyst. Pia ninashiriki...
The National Curriculum development Center(NCDC) is on final stages as they prepare to launch the new A-Level grading system for Advanced Secondary Curriculum.
Gilbert Gift Siima manager secondary Department at NCDC reveals that the system is shifting from the current A B C D E O F to A B C D...
Dear Professionals and Learners,
In today’s competitive job market, strong computer skills are essential for career growth and business efficiency. DarITcare Training Centre (DTC) offers structured online courses designed to equip you with practical skills in office productivity and programming...
Kuna jambo moja ambalo ninaliona kama changamoto kuu kwa vijana wetu wengi – mindset ya “kusoma ili kuajiriwa.” Hii tabia inatufanya tukwame kwenye foleni ya kusubiri nafasi za kazi ambazo mara nyingi hazitoshi kwa wote. Kizazi cha sasa kinahitaji revolution ya fikra – kusoma si kwa ajili ya...
Kuna jambo moja ambalo ninaliona kama changamoto kuu kwa vijana wetu wengi – mindset ya “kusoma ili kuajiriwa.” Hii tabia inatufanya tukwame kwenye foleni ya kusubiri nafasi za kazi ambazo mara nyingi hazitoshi kwa wote. Kizazi cha sasa kinahitaji revolution ya fikra – kusoma si kwa ajili ya...
HESHIMA MBELE wakuu.
Kama mnavyojua kuwa mwezi wa saba umefika na tayari wale wanafunzi ambao walifaulu kwenye mtihani wa NECTA mwaka, wengine wanaenda kidato cha tano na cha sita huku wengine wakianza mipango ya kuingia chuo kwa maana ya Ordinary Diploma.
Sasa nilitaka kujua iwapi level hizi...
Hakuna somo Rahisi kama Physics na Math😎.
Namshukuru Mungu alinipa siri yake
Nikawa nafaulu
Baadaye nikafkia stage nikawa napata 97% kwenye Physics
Kila kitu kinawezekana
Physics na Math ni masomo yanayohitaji watu waliotayari kufikiria sio wazembe .
Watu waliopewa uwezo na Mungu
Kuyavumbua na...
Jaman brothers naenda kidato cha tano tahasusi ya PMC(Physics, Mathematics, Computer). Natamani kupata division 1.3. Naombeni ushauri wenu na technique za kusoma
Habari Wana JamiiForum, naomba msaada wa topics zinazopatukana kwenye mtaala mpya wa A level katika masomo ya Biology, Chemistry na Physics, watakao anza nao form five wa mwaka 2025.
Lakini pia kama Kuna mwenye pdf anisaidie kupata nitashukuru sana.
Naomba kuwasilisha wakuu
The Rwanda-backed M23 rebel group has intensified its offensive, pressing deeper into the Democratic Republic of Congo (DRC), despite calls for an immediate ceasefire. On March 19, residents reported heavy gunfire as M23 forces reached the outskirts of the strategic town of Walikale.
M23 Rebels...
Habari zenu wapendwa mimi nimemaliza form four mwaka wa jana matokeo yametoka mwaka huu sasa nilikuwa na omba kuuliza kwa matokeo haya naweza kuchaguliwa kidato cha tano katika shule za serikali na kama ndio kwa combination gani ? matokeo yenyewe ni MATHEMATICS (C) , CHEMISTRY (C) , BIOLOGY (C)...
Mungu AWABARIKI SANA SANA wote mlio hai
MUNGU axidi kuwainua na kuwapa furaha maishani mwenu
Wale members waliotangulia MBELE za Mungu
MUNGU akawape pumziko la milele
Mkawe na amani na furaha 2025
Happynewyr n advance
Rgds
Pdidy
Habari wakuu,
Baada ya miaka kadhaa tangia nimehitimu shahada yangu ya kwanza ya maswala ya uchumi na fedha nilikua naomba anayefahamu sehemu yoyote Kwa hapa Dar ambapo naweza kwenda kusomea
Advance Excel
Quick books
Tally Kwa Bei nafuu anaelekeze.
Napata alarm hapa kuwa kuna vijana radical wanazalishwa mashuleni hasa advance.
Hawa vijana wanazalishana wenyewe kwa wenyewe kwa hisani ya watu wazima ambao wako nje ya mfumo.
Usipoziba ufa utajenga kuta.
Miaka 30 iliyopita Nigeria ilikuwa shwari kabisa lakini sasa serikali ya Nigeria...
toka asubuhi ukiifungua inakuwa blank as if hamna tena? tumesha update taarifa ila ukibonyeza mshiko fasta inakaambia nenda uka update namba yako ya simu sa nashangaa tume update mpaka maa alama ya vidole vitano na mpaka hali ya ndoa mbona haiji update? na salary avans mnakata ngap?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.