nauza

  1. stabilityman

    JamiiForums Tanzania nauza face mask za kisasa watu wa kuchomelea ,fashion au boda boda kujen hapa

    bei 30,000 location Banana dsm mkoani unatumiwa ndio unalipia baada ya kupata mzigo nauli juu yako 0743 257 669
  2. No SQL

    JamiiForums Tanzania Nauza Laptop,Lenovo Thinkpad E15 gen 2

    Location: Musoma Laptop zilizopo, 1. Lenovo Thinkpad E15 Gen 2 Ram: 8 GB SSD : 256 GB Price: 600k Processor: i5 gen 11 2: Dell latitude 7420 RAM: 16 GB SSD : 256 GB Processor : i5 Gen 11 Price: 500k 3: Mini desktops, BDCOM POE switches, 256 SSD, 1TB SSD..n.k Nicheck niulizie vifaa vya ICT...
  3. INTERLOCKING BRICKS

    JamiiForums Tanzania Tunauza na kufyatua tofali imara, za kisasa na zenye gharama nafuu

    Jenga kwa tofali za interlocking – imara, za kisasa na zenye gharama nafuu. Tunauza na kujenga kwa kutumia Tofali za Interlocking zenye ubora wa hali ya juu. Bei zetu Dar es Salaam – TSh 700/= kwa Tofali. Mikoani – TSh 800/= kwa Tofali ✅ Tunakuja kufyatulia site kwako, hivyo inapunguza...
  4. INTERLOCKING BRICKS

    JamiiForums Tanzania NAUZA TOFALI ZA INTERLOCKING

    🏡 JENGA KWA TOFALI ZA INTERLOCKING – IMARA, ZA KISASA NA ZENYE GHARAMA NAFUU! 🏡 Tunauza na kujenga kwa kutumia Tofali za Interlocking zenye ubora wa hali ya juu. 💰 Bei zetu . 📍Dar es Salaam – TSh 700/= kwa Tofali. . 📍 Mikoani – TSh 800/= kwa Tofali ✅ Tunakuja kufyatulia site kwako, hivyo...
  5. jT0078

    JamiiForums Tanzania Nauza charger za gaming Laptop

    Nauza charger za gaming laptop za aina zote. 📍 Mahali: Ilala, Dar es Salaam 📞 Mawasiliano: 0767 953 873 Karibu kwa maelezo zaidi au kuagiza charger inayofaa kwa aina ya gaming laptop yako.
  6. Ommy 7

    JamiiForums Tanzania Nauza ndoo kubwa za mafuta zipo 30

    Nauza ndoo kubwa za mafuta zipo 30 Tsh4,000/= kwa ndoo moja Napatikana dar mikocheni Hazijaoshwa
  7. INTERLOCKING BRICKS

    JamiiForums Tanzania Tunauza na kufyatua tofali imara za kisasa na zenye gharama nafuu

    Tunauza na kujenga kwa kutumia Tofali za Interlocking zenye ubora wa hali ya juu. Bei zetu . Dar es Salaam – TSh 700/= kwa Tofali Mikoani – TSh 800/= kwa Tofali Tunakuja kufyatulia site kwako, hivyo inapunguza gharama za usafirishaji. Site iwe na MAJI tu Wasiliana nasi:📞 0764 635 014
  8. jT0078

    JamiiForums Tanzania Nauza accessories za macbook

    Nauza accessories za MacBook na kufanya repair Keyboard Chargers Battery Screen Connector za HDD Ssd Ram memory Wireless keyboard & Mouse Softwares mbalimbali Nipo ILALA - DSM 0767953873
  9. Amour_9

    JamiiForums Tanzania Nauza iPhone 8 Plain

    Nauza iphone 8 used, iko kwenye hali nzuri haina tatizo lolote - 64gb memory Bei 350,000 tzs Location-mbagala mission 0656970469
  10. Its Jensen

    JamiiForums Tanzania Forex imenifilisi, nauza monitor yangu 🙏 naombeni msaada wenu

    Habari wana jamwi ninauza monitor yangu bado mpya kabisa nilikua natumia kwenye forex ila nimeliwa hela zote, nimeuza laptop tayari imebaki monitor tu Ni HP flameless, monitor ni mpya na nzima haina tatizo lolote, naiuza kwa bei ya hasara 250,000 tu kama upo tayari kununua piga simu 0744288929...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Nauza kabati la biashara la Aluminium kwa bei rahisi

    Inafaa kwa wenye maduka ya vipodozi, dispensary, tigo pesa, m-pesa n.k Bei 170k Contact: 0779037093 WhatsApp: 0654537771
  12. S

    JamiiForums Tanzania Nauza kitanda na godoro lake kwa 250k tu

    Napatikana Kivule kwa makonde, simu namba 0779 037 093
  13. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja changu mwenyewe kigamboni kisarawe II LINGATO

    Tajiri wahi kiwanja hiki utanishukuru badae..Nimepata shida tu ukubwa 20 kwa 20 kikubwa kizuri sana bei milion 10 nicheki 0756038510 Kimepimwa ila hakina HATI bado
  14. Vanpopeye

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale NAUZA LENOVO YOGA AIR 14S (Yoga Slim 7)

    The Lenovo Yoga Air 14s is an ultra-lightweight, premium thin-and-light laptop featuring a stunning 14.5-inch 2.9K OLED touchscreen, robust Qualcomm Snapdragon processors, and up to 32GB RAM. Designed for mobility and heavy multimedia workloads, it weighs just 1.28kg. RAM: 32Gb Storage(SSD)...
  15. the ultimatum

    JamiiForums Tanzania Nauza mitiki yangu, ipo shambani jirani na kijiji cha Kibindu wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani

    Habari za wakati huu. Picha nilizoweka hapo ni mitiki yangu ipo kwenye shamba langu jirani na kijiji cha Kibindu wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani. Natafuta mteja anaefanya shughuli za mazao ya miti au mfanyabiashara wa mazao hayo. Miti yote ina umri sawa ilipandwa mwaka 2007, ina miaka...
  16. jT0078

    JamiiForums Tanzania Nauza na kubadilisha 'housing' za Laptop!

    Laptop yako imeharibika housing? Lete tukubadilishie kwa haraka na kwa bei nafuu. ✅ Tunazo housing za aina mbalimbali za laptop ✅ Pia tunafanya fix ya housing iliyopo bila kubadilisha 📍 Tunapatikana Ilala, DSM 📞 0767953873
  17. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza kiwanja Ilala DSM center kabisa mil 60

    Nauza kiwanja kivule center kabisa Heka 1 Mil 60. Maongezi kidogo yapo Mark ukifika Kivule Muungano pub eneo linaitwa mnarani ndio kiwanja kilipo ni eneo lililojengwa nyumba za kifahari ukipaona utapapenda. Pako tambarare, eneo limekamata barabara kuu. 0743 257 669
  18. Mtukutu Mkuu

    JamiiForums Tanzania NAUZA GAMING LAPTOP YANGU GTX 1650 HP PAVILION

    Wakuu kwema ninauza gaming laptop yangu ina speci hizi Core i7 gen 9 ram 16 hp pavilion gtx 1650 vram 4gb ssd 256 ssd sata tb 1 core i7 gen 9 battery 1hours windows 11 bei 680k serious buyer dm me au 0627796644 inafaa kwa gaming na graphic
  19. Zirconium

    JamiiForums Tanzania Nauza Miti Ya Mbao Pines Ina miaka 14!

    Habari wana Jukwaa Nauza miti ya mbao yenye umri wa miaka 14 iko Wilaya ya Mufindi Kijiji cha Mapanda Iringa Tanzania Ukubwa wa Ekari 25 imetosha Kuvunwa ( mbao) inauzwa yote kwa pamoja bei ni Tsh 85,000,000/= Maongezi yapo… KARIBUNI SA Mawasiliano 📞 0750827076 ( WhatsApp Tu )
  20. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Nauza Taser mashine ya kujilinda inapiga shoti vibaka wezi na watekaji usikose kwa usalama wako

    Nauza kifaa cha kukusaidia kujilinda yaani self defense 🔥 TASER GUN INAKUSAIDIA KUMPIGA SHOTI KIBAKA SHOT KUBWA KAMA YA UMEME WA GRID YA TAIFA 🔥 Unahitaji kujilinda na vibaka, majambazi, wezi na wabakaji? Taser Gun ni mashine ndogo ya kuchajiwa inapiga shoti ya umeme zaid ya gridi kubwa ya...
Back
Top Bottom