nauza

  1. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Nauza vitabu softcopy henoko(biblia hakipo), baba tajiri, baba maskini, mtu tajiri zaidi babeli. Bei 10,000

    Nauza vitabu softcopy /nakala laini vimetafsiriwa kiswahili WhatsApp 0756704145
  2. dada_rose

    JamiiForums Tanzania Nina mpunga aina ya sindano kutoka Songwe

    Nina mpunga aina ya sindano kutoka songwe Zipo gunia 200 Ujazo debe 7 Mpunga ni safi na tayari kwa biashara Karibuni ,kwa mawasiliano 0681823347
  3. M

    JamiiForums Tanzania Boma linapatikana kwa mauzo – Kimanzichana, Mkuranga

    Wana-JF, boma linauzwa moja kwa moja kutoka kwa mmiliki. Limefikia kozi 11 na lina potential nzuri kwa mwekezaji anayehitaji kuendeleza ujenzi kulingana na matumizi yake. 🏠 Vyumba 5 – 4 Master 🛋️ Sitting Room | 🍽️ Dining | 🍳 Kitchen | 📦 Store 📐 Kiwanja: mita za mraba 19m × 17m na 18m × 14m 💧...
  4. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Nauza vitabu (baba tajiri, baba maskini, mtu tajiri zaidi babeli)softcopy pdf

    Nauza vitabu WhatsApp 0756704145
  5. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Nauza kitabu cha baba tajiri,baba maskini (swahili) bei 10,000 TZS softcopy PDF

    Nauza kitabu cha baba tajiri,baba maskini (swahili) bei 10,000 TZS softcopy PDF..na vitabu vifwatavyo WhatsApp: 0756704145
  6. Medecin

    JamiiForums Tanzania Nauza mashudu ya Alizeti kiasi chochote unachohitaji, kilo sh 500

    Kama kichwa cha uzi kinavyoeleza hapo juu. Nauza mashudu ya alizeti mazuri kutoka Morogoro, nina kiwanda cha kukamua mafuta sasa nina mashudu ya kutosha nimeona niyapunguze stock yangu imeshajaa. Kilo moja nauza sh 500. Hata ukihitaji tani 30 unapata. Natuma mkoa wowote ule Karibuni 0636642415
  7. stabilityman

    JamiiForums Tanzania nauza tairi size 14 na rim zake

    linauzwa tairi size 14 kama ilivyo bei 80,000 nakupa na rim zake taili ni mpya nimebadili nimenunua sports rim 0718408733 ipo banana dsm
  8. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Nauza vitabu (Henoko, baba tajiri, baba maskini, mtu tajiri zaidi babeli)

    Kila kitabu bei 10,000 nicheki WhatsApp 0756704145
  9. G

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja changu mwenyewe kipo Kibaha kwa Mfipa

    Kimepimwa kina sq merter za mraba 514 Hiki apa chini, kipo hapo matofali yalipo
  10. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Nauza vitabu (Henoko, baba tajiri, baba maskini, mtu tajiri zaidi babeli)

  11. N

    JamiiForums Tanzania Nauza mafuta ya alizeti Kwa DSM Kwa bei poa kabisa

    Wakuu wa DSM niungeni Mkono nipeni oda zenu jamani tuishi.nauza mafuta ya alizeti,ni mazuri sana Lita ni 7500 tu
  12. N

    JamiiForums Tanzania Nauza mafuta ya alizeti

    Wakuu wa DSM niungeni Mkono nipeni oda zenu jamani tuishi.nauza mafuta ya alizeti,ni mazuri sana Lita ni 7500 tu
  13. Mpenda kazi

    JamiiForums Tanzania Nauza FACEBOOK PAGE inayopekea malipo (Monetized)

    Nauza FACEBOOK PAGE Ina followers 46k na Inapokea malipo (monetization). Njoo 0717743549 njoo tuongee bei.
  14. K

    JamiiForums Tanzania Nauza account insta 16.4k

    NAUZA ACCOUNT YA INSTA INA FOLLOWERS 16.4K KARIBU IMBOX WHATSAPP TUONGEE 0758618719 Bei ni 70,000/
  15. J

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale PC HP ProBook 655B Inauzwa

    Nauza HP ProBook 655B ikiwa katika hali nzuri na bila kipengele. Specifications: RAM: 4GB Storage: 256GB HDD Processor: Intel Core i5 Processor Speed: 2.5GHz 💰 Bei: TSh 270,000 📞 Kwa mawasiliano: 0793965294
  16. kizeze

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza Nissan Dual

    Nalengesha kimya kimya, usipige kelele. Nissan Dualis DT Year: 2008 CC: 1900 Petrol engine MR20 Full AC TZS 10 Milioni CALL 0657783083 AU 0623583083 LOC : Sinza , DSM.
  17. Superbug

    JamiiForums Tanzania Nauza mbegu za kiume narudi Tanzania mwezi august

    Narudi bongo mwezi august natoa HUDUMA ya kuuza mbegu za kiume Kwa wanawake hii nimeikuta USA nakuja nayo Tanzania mloganzila wanapandikiza wanawake mbegu kama sikosei. Ila kutokana na mazingira ya Tanzania kutokuwa salama kiutekaji hii inakuwa changamoto.
  18. 4

    JamiiForums Tanzania Nauza water dispenser

    Water dispenser kubwa inatoa maji moto baridi na ya kawaida inuzwa 145,000 ipo boko magengeni mawasiliano 0765562762
  19. Gwambogo

    JamiiForums Tanzania Nauza Mashine ya Kusaga, Mota 30 HP, na Mashine Kukoboa (rollers 3), bei Milioni 6

    SOLD OUT OFA KUBWA – PUNGUZO LA BEI! Nauza Mashine ya Kusaga, Motor 30 HP, na Mashine ya Kukoboa (rollers 3) kwa bei ya OFA ya Tsh 5,000,000/= (Milioni Tano tu). Vifaa vilivyopo: Mashine ya Kusaga Complete (kinu size 75/100) Mashine ya Kukoboa Complete (rollers 3) Motor 30 HP 📍 Mashine...
  20. kikoozi

    JamiiForums Tanzania Nauza tofali used zipo idadi 200

    Tofali zimesha uzwa zote, Asanteni
Back
Top Bottom