nauza

  1. kizeze

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza Nissan Dual

    Nalengesha kimya kimya, usipige kelele. Nissan Dualis DT Year: 2008 CC: 1900 Petrol engine MR20 Full AC TZS 10 Milioni CALL 0657783083 AU 0623583083 LOC : Sinza , DSM.
  2. dmketo

    JamiiForums Tanzania MAHARAGE BORA YANAPATIKANA – TSH 2,800 KWA KILO (KUANZIA KG 20), TUPO MBEZI LUIS

    Je, unatafuta maharage safi yenye ubora wa hali ya juu kwa matumizi ya nyumbani au biashara? Tunauza maharage bora kwa bei nzuri ya TSh 2,800 kwa kilo, kwa ununuzi wa kuanzia kilo 20 na kuendelea. Kwa sasa tuna maharage ya njano na soya, lakini ukitaka rose coco na mengine tunaweza kukuletea...
  3. Superbug

    JamiiForums Tanzania Nauza mbegu za kiume narudi Tanzania mwezi august

    Narudi bongo mwezi august natoa HUDUMA ya kuuza mbegu za kiume Kwa wanawake hii nimeikuta USA nakuja nayo Tanzania mloganzila wanapandikiza wanawake mbegu kama sikosei. Ila kutokana na mazingira ya Tanzania kutokuwa salama kiutekaji hii inakuwa changamoto.
  4. 4

    JamiiForums Tanzania Nauza water dispenser

    Water dispenser kubwa inatoa maji moto baridi na ya kawaida inuzwa 145,000 ipo boko magengeni mawasiliano 0765562762
  5. Gwambogo

    JamiiForums Tanzania Nauza Mashine ya Kusaga, Mota 30 HP, na Mashine Kukoboa (rollers 3), bei Milioni 6

    SOLD OUT OFA KUBWA – PUNGUZO LA BEI! Nauza Mashine ya Kusaga, Motor 30 HP, na Mashine ya Kukoboa (rollers 3) kwa bei ya OFA ya Tsh 5,000,000/= (Milioni Tano tu). Vifaa vilivyopo: Mashine ya Kusaga Complete (kinu size 75/100) Mashine ya Kukoboa Complete (rollers 3) Motor 30 HP 📍 Mashine...
  6. kikoozi

    JamiiForums Tanzania Nauza tofali used zipo idadi 200

    Tofali zimesha uzwa zote, Asanteni
  7. jT0078

    JamiiForums Tanzania Nauza Accessories za MacBook

    Nauza Accessories za MacBook kama Keyboard Screen Battery Chargers Ssd Ram memory Softwares Pia tunafanya services & Repair Tupo ILALA - DSM 0767953873
  8. No SQL

    JamiiForums Tanzania Nauza Laptop,Lenovo Thinkpad E15 gen 2

    Location: Musoma Laptop zilizopo, 1. Lenovo Thinkpad E15 Gen 2 Ram: 8 GB SSD : 256 GB Price: 600k Processor: i5 gen 11 2: Dell latitude 7420 RAM: 16 GB SSD : 256 GB Processor : i5 Gen 11 Price: 500k 3: Mini desktops, BDCOM POE switches, 256 SSD, 1TB SSD..n.k Nicheck niulizie vifaa vya ICT...
  9. INTERLOCKING BRICKS

    JamiiForums Tanzania Tunauza na kufyatua tofali imara, za kisasa na zenye gharama nafuu

    Jenga kwa tofali za interlocking – imara, za kisasa na zenye gharama nafuu. Tunauza na kujenga kwa kutumia Tofali za Interlocking zenye ubora wa hali ya juu. Bei zetu Dar es Salaam – TSh 700/= kwa Tofali. Mikoani – TSh 800/= kwa Tofali ✅ Tunakuja kufyatulia site kwako, hivyo inapunguza...
  10. INTERLOCKING BRICKS

    JamiiForums Tanzania NAUZA TOFALI ZA INTERLOCKING

    🏡 JENGA KWA TOFALI ZA INTERLOCKING – IMARA, ZA KISASA NA ZENYE GHARAMA NAFUU! 🏡 Tunauza na kujenga kwa kutumia Tofali za Interlocking zenye ubora wa hali ya juu. 💰 Bei zetu . 📍Dar es Salaam – TSh 700/= kwa Tofali. . 📍 Mikoani – TSh 800/= kwa Tofali ✅ Tunakuja kufyatulia site kwako, hivyo...
  11. jT0078

    JamiiForums Tanzania Nauza charger za gaming Laptop

    Nauza charger za gaming laptop za aina zote. Mahali: Ilala, Dar es Salaam Mawasiliano: 0767 953 873 Karibu kwa maelezo zaidi au kuagiza charger inayofaa kwa aina ya gaming laptop yako.
  12. Ommy 7

    JamiiForums Tanzania Nauza ndoo kubwa za mafuta zipo 30

    Nauza ndoo kubwa za mafuta zipo 30 Tsh4,000/= kwa ndoo moja Napatikana dar mikocheni Hazijaoshwa
  13. INTERLOCKING BRICKS

    JamiiForums Tanzania Tunauza na kufyatua tofali imara za kisasa na zenye gharama nafuu

    Tunauza na kujenga kwa kutumia Tofali za Interlocking zenye ubora wa hali ya juu. Bei zetu . Dar es Salaam – TSh 700/= kwa Tofali Mikoani – TSh 800/= kwa Tofali Tunakuja kufyatulia site kwako, hivyo inapunguza gharama za usafirishaji. Site iwe na MAJI tu Wasiliana nasi:📞 0764 635 014
  14. jT0078

    JamiiForums Tanzania Nauza accessories za macbook

    Nauza accessories za MacBook na kufanya repair Keyboard Chargers Battery Screen Connector za HDD Ssd Ram memory Wireless keyboard & Mouse Softwares mbalimbali Nipo ILALA - DSM 0767953873
  15. Amour_9

    JamiiForums Tanzania Nauza iPhone 8 Plain

    Nauza iphone 8 used, iko kwenye hali nzuri haina tatizo lolote - 64gb memory Bei 350,000 tzs Location-mbagala mission 0656970469
  16. Its Jensen

    JamiiForums Tanzania Forex imenifilisi, nauza monitor yangu 🙏 naombeni msaada wenu

    ...
  17. S

    JamiiForums Tanzania Nauza kabati la biashara la Aluminium kwa bei rahisi

    Inafaa kwa wenye maduka ya vipodozi, dispensary, tigo pesa, m-pesa n.k Bei 170k Contact: 0779037093 WhatsApp: 0654537771
  18. S

    JamiiForums Tanzania Nauza kitanda na godoro lake kwa 250k tu

    Napatikana Kivule kwa makonde, simu namba 0779 037 093
  19. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja changu mwenyewe kigamboni kisarawe II LINGATO

    Tajiri wahi kiwanja hiki utanishukuru badae..Nimepata shida tu ukubwa 20 kwa 20 kikubwa kizuri sana bei milion 10 nicheki 0756038510 Kimepimwa ila hakina HATI bado
  20. the ultimatum

    JamiiForums Tanzania Nauza mitiki yangu, ipo shambani jirani na kijiji cha Kibindu wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani

    Habari za wakati huu. Picha nilizoweka hapo ni mitiki yangu ipo kwenye shamba langu jirani na kijiji cha Kibindu wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani. Natafuta mteja anaefanya shughuli za mazao ya miti au mfanyabiashara wa mazao hayo. Miti yote ina umri sawa ilipandwa mwaka 2007, ina miaka...
Back
Top Bottom