Wana-JF, boma linauzwa moja kwa moja kutoka kwa mmiliki. Limefikia kozi 11 na lina potential nzuri kwa mwekezaji anayehitaji kuendeleza ujenzi kulingana na matumizi yake.
🏠 Vyumba 5 – 4 Master
🛋️ Sitting Room | 🍽️ Dining | 🍳 Kitchen | 📦 Store
📐 Kiwanja: mita za mraba 19m × 17m na 18m × 14m
💧...
Kama kichwa cha uzi kinavyoeleza hapo juu.
Nauza mashudu ya alizeti mazuri kutoka Morogoro, nina kiwanda cha kukamua mafuta sasa nina mashudu ya kutosha nimeona niyapunguze stock yangu imeshajaa. Kilo moja nauza sh 500. Hata ukihitaji tani 30 unapata.
Natuma mkoa wowote ule
Karibuni
0636642415
Nauza HP ProBook 655B ikiwa katika hali nzuri na bila kipengele.
Specifications:
RAM: 4GB
Storage: 256GB HDD
Processor: Intel Core i5
Processor Speed: 2.5GHz
💰 Bei: TSh 270,000
📞 Kwa mawasiliano: 0793965294
Nalengesha kimya kimya, usipige kelele.
Nissan Dualis DT
Year: 2008
CC: 1900
Petrol engine MR20
Full AC
TZS 10 Milioni
CALL 0657783083 AU 0623583083
LOC : Sinza , DSM.
Narudi bongo mwezi august natoa HUDUMA ya kuuza mbegu za kiume Kwa wanawake hii nimeikuta USA nakuja nayo Tanzania mloganzila wanapandikiza wanawake mbegu kama sikosei. Ila kutokana na mazingira ya Tanzania kutokuwa salama kiutekaji hii inakuwa changamoto.
SOLD OUT
OFA KUBWA – PUNGUZO LA BEI!
Nauza Mashine ya Kusaga, Motor 30 HP, na Mashine ya Kukoboa (rollers 3) kwa bei ya OFA ya Tsh 5,000,000/= (Milioni Tano tu).
Vifaa vilivyopo:
Mashine ya Kusaga Complete (kinu size 75/100)
Mashine ya Kukoboa Complete (rollers 3)
Motor 30 HP
📍 Mashine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.