tija

Tija Gomilar Zickero (born 12 May 2000) is a Slovenian handball player for RK Krim and the Slovenian national team.She represented Slovenia at the 2020 European Women's Handball Championship.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania DC wa Chakechake, Zukhra: Wanahabari acheni woga, andikeni habari zenye tija

    Waandishi wa Habari wametakiwa wasiwe waoga bali waendelee kuandika habari zenye ukweli na zenye kuzingatia maadili, ambazo zitaleta maslahi kwa Umma. Nasaha hizo zimetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Chakechake, Zukhra Mgeni Othman wakati akizungumza na wandishi pamoja na wadau wa habari katika...
  2. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Baadhi tupunguze "Ujuaji" Usio na "Tija"

    Ni vyema baadhi yetu tukapunguza ujuaji usio na tija. Tume inakuja na taarifa rasmi ikisema wafanya vurugu walikuwa na silaha za jadi na bunduki n.k., lakini wewe unagoma. Sasa, maafisa wa polisi waliofariki waliuawa na kitu gani? Je, walipovamia vituo vya polisi na kuchoma ofisi za serikali...
  3. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Kuna tija gani kuingiza mchepuko wa BRT phase 3 airport?

    Pamoja na takwa la Serikali la kuhakikisha miundo mbinu inasomana, Kwa maoni yangu, sioni tija ya mradi wa BRT awamu ya tatu kuingiza mchepuko wake ndani ya Airport ya Kimataifa ya Julius Nyerere kutokana na sababu chache zifuatazo: Ukizingatia umbali wa vituo vingine vya BRT kituo cha airport...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania JF imefunguliwa(?) Naipata bila VPN

    Hamjambo wote! 1. Turudi kwenye majukwaa, vilinge na vijiwe vyetu. 2. Matusi tupunguze maana kuacha kabisa kuna watu najua hawataweza. 3. Uzushi, bullying, kejeli, kuvuana nguo tuache. 4. Ukosoaji uendelee sambamba na suluhu kwa Kila ukosoaji. Haina maana kukosoa bila kutoa suluhu kwa kile...
  5. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Nimekuja kwenu kuomba ushauri wa kilimo Cha maharage chenye Tija (faida)

    Kabla ya yote ni kiri wazi kuwa Elimu Haina mwisho na hata maarifa pia. Nakuja kwenu ninyi wabobevu wa kilimo Cha maharage kuomba njia Bora ya kilimo hiki. Ukizingatia mbegu, upandaji, Mbolea na madawa hata booster ni zipi nzuri? Kwenye mbegu ni mbegu Gani (zipo mbegu za hybrid kama za...
  6. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Gift Macha ni aina ya wanaume wadhaifu wanaotengeneza kundi kubwa katika jamii hii inayofukazana na usasa usio na tija

  7. Cyclopedia

    JamiiForums Tanzania Maandamano Yenye Tija kwa Taifa

    Kibinafsi sikuunga mkono maandamano ya D9 kwa sababu zifuatazo: 1: Niliamini hakuna atakayeweza kutatua yale yote tuyatakayo ikiwepo samia kujiuzuru. 2: Mfumo uliopo sasa unaipa nguvu CCM kufanya walitakalo tena bila kupingwa hivyo kuandamana ni sawa na kazi bure kikubwa ni ku-risk maisha...
  8. Yoda

    JamiiForums Tanzania Turekibishe ulaji wa kisiasa usio na tija katika katiba mpya.

    Siku tutakayopata fursa ya kuandika katiba mpya ya nchi tukumbuke. 1. Kufuta nafasi ya waziri mkuu. Hakuna tija kuwa na waziri mkuu na makamu wa rais pamoja. 2. Kufuta nafasi za manaibu mawaziri. Mawaziri wanatosha kumshauri rais na kufanya maamuzi ya kisera na kisiasa katika wizara zao, kazi...
  9. Richard

    JamiiForums Tanzania Abdurahman Kaniki angefaa kuwa IGP lakini alinaniliwa baadae akatupwa huko akawa balozi na sasa ni mstaafu na kaacha machapisho kadhaa yenye tija

    Huyu kamanda aliwahi kuingizwa kwenye kinyang'anyiro cha wale waliotajwa kuwa angeteuliwa kuwa IGP kwenye utawala wa hayati John Magufuli. Hiyo ni kwasababu huko nyuma tayari alikuwa Naibu wa Ernest Mangu aliyekuwa IGP tangu Mwaka 2013. Baadaye baada ya kufanyiwa figisu aliendelea na cheo cha...
  10. Mathayo Christopher

    JamiiForums Tanzania Bei ya mbaazi haina tija kwa mkulima

    Ifike wakati serikali iweke bei elekezi kwa mazao yote kama inavyofanya kwa zao la korosho. Kwa jinsi bei ya mbaazi ilivyo kwa mwaka 2025 hakiwezi kupunguza umasikini wa kipato kwa kuwa bidhaa ghafi bei zake zipo chini ukilinganisha na bidhaa za madukani. Haiingii akilinini mkulima auze kilo 4...
  11. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Huyu Mchezaji wa Taifa Stars PIPINO JR anakimbia kimbia tu Uwanjani hana Tija

    Ni nadra sana kukuta Mchezaji wa Mpira wa Miguu mwenye Matege mabaya kama yake akawa anajua Mpira. Ilitokea bahati tu kwa Marehemu Ramadhan Lenny kuwa nayo na hakika alikuwa na Kipaji cha hali ya Juu hasa katika Nafasi ya Kiungo wa Juu na cha Chini. Hebu upesi sana Kocha Hemed Morocco amtoe...
  12. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania Kwa wataalaamu wa ufugaji, Banda hili linaweza kuleta tija kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji kibiashara?

    Kwa kuanza na kuku kumi wa kienyeji Banda hili linaweza kuleta tija kwa ufugaji wa kuku wa kienyeji?
  13. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole, Kesho Rais Samia atachukua fomu, je, harakati zako zina tija CCM sasa?

    Kwa wehenga wenzangu tuliohitimu kidato cha nne miaka ya 2000 mtaikumbuka riwaya ya Things fall apart ya Chinua Achebe. Hii ilikuwa ni riwaya ya kiada katika somo la English Literature kwaajili ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne. Kutoka katika riwaya hii nitanukuu maongezi ya wahusika wakuu...
  14. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Press za Polepole kwa sasa hazina tija

    Hamjambo! Katika vita ya mtandaoni, hasa vita maneno. Kuna kanuni zake. Unapotupiana maneno na mtu kama unakombora kubwa kuliko haupaswi kulichelewesha sana kama vile katika vita vya silaha mfano Nyukilia ambazo hutolewa kidogo kidogo na kutokea yenye uwezo mdogo kufuatia yenye uwezo Mkubwa...
  15. Imole

    JamiiForums Tanzania Cousrse zenye tija 2025

    Habari wakuu, mwenye kujua course ambazo mtu ni wepesi kujiajiri na kupata kazi hata kabla hajamaliza kusoma na baada ya kumaliza kusoma kazi ni uhakika. Nitaanza na baadhi ambazo nazifahamu. 1. Course za computer zote. 2. Interior designing ipo ardhi. Nyngne mtaje wakuu tusaidie vijana pamoja...
  16. BigTall

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 'Siasa chafu' kikwazo kwa Wanawake na Vijana kushiriki Siasa zenye tija, hujenga hofu na 'kuchochea uchawa'

    Tanzania ina idadi kubwa ya vijana na wanawake. Kwa mantiki hiyo, makundi haya yanapaswa kuwa na nafasi kubwa katika maamuzi ya kisiasa, hata hivyo hali ya sasa inaonesha kuwa ushiriki wao bado ni mdogo, hasa katika nafasi za juu za uongozi na kisera. Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya...
  17. ngara23

    JamiiForums Tanzania Media zetu zipo kutupumbaza Watanzania maksudi, TCRA ratibu Vipindi vyenye tija

    Nimekuwa nikifuatilia vyombo vya habari hapa Tanzania nimegundua ndo mipango mikakati wa kuwapumbaza Watanzania na kuwa Fanya masikio na akili zao yasikie mambo madogo ya kipuuzi Media za Tanzania Haiwezekani media zinatumia saa nzaidi ya 8 kuchambua Simba na Yanga kila siku, hivi mpira wenyewe...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Makalla: Heche na wenzake ni Watumishi hewa ndani ya CHADEMA, hawana tija!

    Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) CPA. Amos Makalla amesema Chama hicho kitaendelea kuwa Bora nyakati zote kwa Sababu ya Muundo wake mzuri katika ngazi zote, na Kikiweza kuhimili Vishindo vya Chaguzi za Ndani na Nje ya Chama hicho Tawala, huku akivishauri...
  19. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuhangaika kusiko na tija, Mwanamke uliemhonga timiza haja zako pita vile, hajakulipa umridhishe wala sio mkeo.

    Umekutana na mwanamke umeomba namba umepewa, unamcheki anakuwa mzito ila umemtumia vipesa kawa mwepesi kama nyoya Mwanamke huyo mkikutana hana utofauti na wa kununua, ukitosheka na huduma chapa lapa, huna haja ya kujiproove wala kumridhosha, Umelipa uridhike sioumridhishe. Nashangaa sana watu...
  20. Voltaire

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Serikali ipige marufuku mashine za Kamari Gudugudu, hakuna uzalishaji wala huduma inayotolewa zaidi ya uraibu kwa vijana na tishio kwa taifa

    Wasalaam bandugu. Naona tujadili hili suala la kamari ya raia wa kigeni "mchina" alias "GUDUGUDU" kwa mtazamo huu.. Uchumi unatuambia muamala unafanyika pale uzalishaji au huduma inapotolewa. Hizi machine za kamari zinaenda tofauti kabisa kwani hakuna hayo mawili niliyoanisha zaidi ya kodi...
Back
Top Bottom