GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,631
- 108,990
Ni Mchezaji mwenye Nuksi hasa akivaa Kitambaa cha Unahodha au akichaguliwa kwenda kufanya Pre Match Meeting na Watu wa Media.
Naheshimu mno Kipaji chake na Uwezo wake wa kucheza Mpira ila huwa sipendi awe anapewa Majukumu ya Uandamizi pale Kikosi kikiwa na Jukumu Kubwa kwani ana bahati mbaya moja Kubwa ya Nuksi / Nyota Nyeusi.
Otherwise kila la kheri Simba SC leo.
Naheshimu mno Kipaji chake na Uwezo wake wa kucheza Mpira ila huwa sipendi awe anapewa Majukumu ya Uandamizi pale Kikosi kikiwa na Jukumu Kubwa kwani ana bahati mbaya moja Kubwa ya Nuksi / Nyota Nyeusi.
Otherwise kila la kheri Simba SC leo.