Ndugu yangu msikilizaji na msomaji,
Hakuna mzigo mzito unaoweza kumnyang’anya mwanadamu amani ya akili, utulivu wa usingizi, heshima katika jamii, na furaha ya ndoa kama kifungo cha madeni yasiyolipika.
Watu wengi walianza kukopa wakiwa na ndoto nzuri za kukuza biashara, lakini kwa kukosa...