pabaya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. LIKUD

    Ngoma ngumu kwa Mamelody, washusha kiingilio. Injinia awashika pabaya

    Mwanzoni Mamelody waliweka kiingilio Rands 20 . Then Injinia wa mpira, Hersi Said akatangaza kiingilio bure kwa kila shabiki wa Yanga atakae ingia uwanjani loftus kuwaspoti Yanga ( umewekwa utaratibu wa kuwalipia mashabiki wote wa Yanga watakao ingia uwanjani leo) Mamelody wametangaza...
  2. A

    Matatizo ya Mikopo yaiweka pabaya Misri

    UAE in talks to buy Egypt coastline for $22bn The United Arab Emirates has expressed an interest in buying the Ras El Hekma area on Egypt’s northern coast as a form of economic support for Cairo, Egyptian newspapers have reported. The privately-owned Egyptian newspaper Al Mal stated on Sunday...
  3. CAPO DELGADO

    FIFA yaishika pabaya Simba, ratiba ngumu kwa mpambano wao na Al Alhy

    WAKATI Simba ikiendelea kujiandaa na mechi ya ufunguzi wa michuano mipya ya African Football League (AFL) dhidi ya Al Alhy ya Misri, ghafla imejikuta ikianguka kwenye mtego kutoka Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kutokana na ratiba ya mechi za timu za taifa ilivyo. Hivi sasa ligi nyingi...
  4. Nyankurungu2020

    Kila kitu kipo shaghalabaghara. Nchi imefikia pabaya. Ziara za Waziri Mkuu Majaliwa zinatoa picha kamili

    Kukatika umeme imekuwa janga la kitaifa. Na hapa ndipo amefeli kabisa. Kudhibiti nidhamu ya watumishi na ubadhirifu ndio amekwama kabisa. Kila anapopita Kassimu ni zaidi ya madudu na hii ni Sampuli tu ya uozo. Nchi imefikia pabaya sana tofauti na alipokuwepo mtangulizi wake
  5. Pfizer

    Vicky Kamata amewashika Pabaya, tunaomba mumpatie majibu sasa

    Kuna watu wanajikakamua kuongea kutokana na mihemko au kutokana Makasiriko tu. Vicky Kamata anatetea haki yake. Watanzania Tujifunze kubishana kwa hoja. Haja, wale wote wanaohisi wapo sahihi na Vicky hayupo sahihi, yunaomba majibu Yenu.
  6. assadsyria3

    Msajili wa Vyama vya Siasa: Nitavifuta CHADEMA na CUF

    Msajili wa Vyama vya Siasa, amedai wote watakao kiuka kuvunja vikundi binafsi vya ulinzi vya vyama hivo atavifuta. Amedai kama Katiba zao zinatambua jambo hilo walifanyie mabadiliko haraka. Tamko hill limetolewa kwa ushirikiano wa IGP Mangu kwa niaba ya Jeshi la polisi na ofisi ya msajili...
  7. JanguKamaJangu

    Utafiti wa Infotrak: Wakenya wengi wanahisi nchi inaelekea pabaya

    Utafiti huo umetokana na kazi iliyofanywa na Taasisi ya Infotrak kati ya Julai 3 na 8, 2023 kwa kuchukua kura za watu 2,400, ambapo 15% ya kura zimesema Nchi inaelekea pazuri wakati 12% wao wamesema hawajui kama Nchi inaelekea pazuri au pabaya. Asilimia kubwa ya waliopiga kura kuwa Nchi...
  8. R

    Kingai Pekee ndiye aliyeweza kupambana na Mbowe akishia kupandishwa cheo; wengine wote wameishia pabaya

    Mbowe ameweza kupambana na watu wengi wa mfumo chinichini Bila kuonyesha adharani mashinikizo yake. Waliobomoa Mashamba yake huko Hai wote wameondolewa kwenye mfumo, viongozi waandaminizi waliokuwepo wakati ananyanyasika nao wametupwa nje Kwa fedhea. Walioitwa viongozi WA dola waliamini mfumo...
  9. A

    USA kashikwa pabaya na Putin

    Wajerumani hawataki kuona jeshi la USA kwao, wanawafukuza wa America kwao na NATO inansambaratika
  10. MK254

    Bomba la gesi lalipuka Urusi, zaidi ya watu milioni moja kukosa gesi, hivi vita vinakwenda pabaya

    Hili tukio linadhaniwa kama ulipizaji wa kisasi baada ya Urusi kushukiwa kwenye ulipuaji wa bomba la gesi la "Nord Stream". Zaidi ya Warusi milioni moja kukosa gesi, huku wakielekea kwenye msimu wa baridi, kwa kifupi hivi vita havifai, Putin anapaswa afahamu anaowashambulia na wao pia wako...
  11. Nyankurungu2020

    Mkuu wa Nchi hana huruma kwa raia wa hali ya chini? Hali ya Chakula nchini ni mbaya

    Debe la mahindi linacheza kwenye elfu 22. Kipunga na maharage ndio kipepaa vibaya sana. Leo hii mchele ni sh 3000 na maharage elfu 3000. Mkuu wa nchi yupo kimya na anachukulia poa tu. Wananchi wa kawaida hawana uhakika wa kula
  12. Suley2019

    Kesi ya wabunge 19 wa viti maalum waliofukuzwa CHADEMA, Wakili Kibatala aanza kuwahoji mahakamani

    Dar es Salaam. Kesi ya wabunge wa viti maalumu waliofukuzwa uanachama katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee na wenzake 18 dhidi ya chama chao hicho cha zamani imeanza kuunguruma mahakamani, baada ya kukwama mara tatu. Mdee ambaye alikuwa mwenyekiti wa Baraza la...
  13. Nyankurungu2020

    Taifa lolote linapokuwa na mkuu wa nchi ambaye hana huruma kwa raia wake ni taifa linaloekea pabaya. Raia wa hilo taifa watapata magumu na taabu kubwa

    Raia wanalia kuwa kwa sasa hali ya kiuchumi ni mbaya. Mzunguko wa pesa ni duni na kila raia anapata magumu ya maisha. Rais hajali na hatusikii dokezo za kiuchumi kusaidia wananchi. Police brutality? Mbona yupo kimya? Tozo za kila namna ambazo zinamnyonya raia wa chini. Rais yupo kimya bila...
  14. M

    Serbia imezishika nchi za Magharibi pabaya

    Ikumbukwe kuwa mnamo mwaka 1999 nchi zilizo chini ya NATO wakiongozwa na Marekani ziliishambulia na kuiharibu vibaya sana nchi ya Serbia (wa iliyokuwa Yugoslavia ya zamani). Nchi za magharibi zilikuwa zinalitetea jimbo la KOSOVO lililokuwa linataka kujitenga na Serbia. Uvamizi huo ulifanikisha...
  15. Webabu

    Urusi imeishika pabaya Israel kuhusiana na Unazi

    Katika vita vinavyoendelea kati ya Urusi na Ukraine kumezuka mambo mengi yaliyokuwa hayakutarajiwa.Moja ya hilo ni kauli ya waziri wa mambo ya nje wa Urusi kuwa Hitler alikuwa ni myahudi. Israel imekuwa daima ikiomboleza kuuliwa kwa wayahudi katika vita vikuu vya pili vya dunia kwa watu wao...
  16. incredible terminator

    Mwelekeo wa Ndoa yangu umefikia pabaya sana

    HABARI wakuu, kwanza kabla ya yote niwatakieni mfungo mwema. Umri wangu ni Miaka 33, Nipo katika ndoa pia nina Watoto Wawili na huyu mwanamke, naona nisiandike Mengi kuhusu maisha yangu na huyu Mwanamke ila kimsingi tu ni MTU ambae ninapitia changamoto nyingi sana katika mahusiano haya, yaani...
  17. I

    Nadhani naweza nkapata msongo wa mawazo utakaonipeleka pabaya

    Nimeweka sana juhudi kwenye kujijengea maisha lakini nguvu zote hazijafua dafu. Muda huu nimelala apa kitandani ila usingizi sipati kwa maana nipo kwa baba wakati ilinipasa niwe nafanya harakati za kuoa kwa umri wangu. Nimetafuta sana mtu wa kunifadhili mtaji nifanye biashara ninayoifaham vyema...
  18. Cathelin

    Serikali imeshikwa pabaya sana kesi ya Mbowe na wenzake

    Hii kesi serikali ilijiaminisha hatari, Sirro akatangazia dunia kuwa wanao ushaidi wa kutosha wa kumtia hatiani Mbowe, Tena akataja wanao mashaidi 24. Walidhani wataendesha kesi gizani, ndo maana mwanzoni walikuwa wanakataza watu wasiingie mahakamani. ASP Kingai alifikia hatua ya kumwambia Mbowe...
  19. DaudiAiko

    Mikopo ya miaka ishirini? Kweli Rais Samia anatupeleka pabaya

    Wanabodi, Serikali inataka kufanya mengi na katika kufanya hayo, inataka kutumia muda mfupi kutekeleza miradi ya kimkakati kama njia ya kupeleka maendeleo kwa wananchi. Labda kuna uwezekano kwa serikali kukamilisha mipango yake bila kukopa lakini maelezo tuliyoyapata kutoka kwa viongozi wa nchi...
Back
Top Bottom