umaskini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Kwa nyomi hii naona kama umasikini ni mkubwa sana kwetu

    Binafsi nimekuwa mteja mara kadhaa kwa bidhaa za huyu jamaa ila kwa aina hii ya lundo la watu kukimbilia vitu vya bei rahisi na vilivyo tumika naona kama umaskini bado sana kwetu. Upande wapili huju mr anatengeneza hela nyingi sana sana sana tena hela ambazo sidhani kama serikali inapata hata...
  2. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Umaskini wa kujitakia na kitendawili cha mchango

    66 UMASKINI WA KUJITAKIA NA KITENDAWILI CHA MCHANGO, UCHAGUZI NGUVU YETU Hebu tushirikiane kutafuta jibu la hili fumbo: Chama cha siasa Afrika kinaingia mtaani na kuwapa wananchi somo la ulaghai kwamba serikali imewafanya maskini. Wananchi wanaitikia kwa huzuni, 'Kweli kabisa!' CHAMA KINAWEZA...
  3. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Epukana na Umasikini wa Kisiasa

  4. W

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Umaskini wa Watanzania ni wa kutengenezwa

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kimesema umasikini wa Watanzania ni wa kutengenezwa, kutokana na nchi kushindwa kujenga viwanda vikubwa vya kuchakata na kuongeza thamani Madini yanayozalishwa nchini, badala yake yanasafirishwa Madini ghafi nje ya nchi na kupeleka ajira za Watanzania...
  5. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mnyororo wa Umaskini: Jela ya Kifamilia na Ukoo inavyozima Ndoto nyingi

    Mnyororo wa umaskini (Generational Poverty) siyo tu hali ya kukosa fedha bali ni mfumo wa kimaisha, kifikra, na kijamii unaorithishwa kutoka kizazi kimoja kwenda kingine. Katika familia na ukoo Umaskini huu hufanya kazi kama gereza lisilo na kuta, ambapo watoto huzaliwa na kukuta madeni...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Tutambue umaskini wa wananchi na vijana ni janga

  7. Secret Star

    JamiiForums Tanzania 'Wasomi' Wanawaachia Watoto Wao Umaskini Kisa Kulisha Ndugu Wenye Watu Wazima Wavivu?

    Leo tuvunje ile meza tunayokalia kujadili "Upendo wa Ndugu". Kuna ugonjwa mkubwa sana wa kiuchumi unaotafuna wasomi na wafanyakazi wengi, ugonjwa ambao tunaupa jina zuri la "Kusaidia Familia". Ila ukichunguza kwa kina huu ni utapeli wa kisaikolojia na ni wizi wa wazi wazi! Tumezungukwa na...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Pepo na roho ya umaskini ni laana mbaya sana unafikiriaje mpaka mtu unafikia maamuzi ya mwisho ya kumuua Binadamu mwenzako?

    Inakuwaje unafanya uovu kwa makusudi kabisa ya mtu, mwananchi au kiongozi unamweka ndani unambambikia kesi za uongo unamweka gelezani kwa muda mrefu huku uchunguzi bado haujakamilika. Unaremote mahakama kama nyumba yako uliyowapangisha wafanyakazi wako. Unafikiria hata mpaka uamuzi wa kumtoa...
  9. Infropreneur

    JamiiForums Tanzania Asilimia kubwa ya wanawake hutoka kwenye umasikini kupitia ndoa, na asilimia kubwa ya wanaume huingia kwenye umasikini kupitia ndoa

    Asilimia kubwa ya wanawake hutoka kwenye umaskini kupitia ndoa, na asilimia kubwa ya wanaume huingia kwenye umaskini kupitia ndoa. 80% of the time, women escape poverty through marriage AND 80% of the time, men enter poverty through marriage. Nikuache na kibao cha KING KIKI -Baba Paroko...
  10. K

    JamiiForums Tanzania KERO Tuliochangia Mfuko wa PPF, hiki KIGEZO kinatupa umasikini

    Ni Watanzania wengi ambao bado tuna michango yetu katika Mfuko wa PPF kabla ya kuunganishwa katika mfuko mmojs ns mifuko mingine kadhaa kuwa PSSSF, licha ya kwamba tumechangia pia NSSF. Sasa endapo, umekosa Ajira na kupata malipo ya 33.3% ya mshahara wako wa Mwisho wa Six month (Lump sum) na...
  11. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Kiongozi mwenye kuukumbatia umaskini hafai kwa nyakati hizi

    "Mimi nimetokea familia maskini", "Mimi nimelala kwenye ngozi ya ng'ombe badala ya godoro".... "Mimi sina biashara yoyote na kiasi nilicho nacho benki hakizidi hata Tsh 20m".... viongozi wenye kauli za aina hii HATUWATAKI. Hakuna ufahari wowote kwenye umaskini. UMASKINI NI LAANA. Ninaandika huu...
  12. G

    JamiiForums Tanzania Historia inaonyesha wananchi wa ulaya waliwahi kuwanyonga watawala wakuu wawili Kwa sababu baadhi nazoziona kwenye taifa letu ikiwemo umaskini

    Historia inaonyesha ufaransa na Uingireza iliwahi kunyonga watawala wawili Kwa sababu mbalimbali Kwa upande wa ufaransa ilimnyonga Louis na Malkia Maria Kwa sababu kuu ni Umaskini na njaa Kodi kubwa Kokosekana Kwa haki na usawa Kuupuuza matatizo ya wananchi Kwa upande wa kiongozi wa...
  13. Fbn

    JamiiForums Tanzania Urusi sijawai kuona faida yake zaidi kuongeza umaskini kwa afrika wanaomtegemea.

    Maswahiba wanaosema urusi ni mtu mzuri embu watajeni ila mimi nataka nimuongelee yeye kwanza. Hapa kenya kuna kitu kimetokea cha kuwa beba vijana waende kupigana Ukrainian. Ukandamizaji wa habari na mambo yanayo fanywa kama kuwekewa sumu,kutekwa urusi sio mageni kwa kisingizio kulinda Amani...
  14. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Tanzania Wenye Kupenda Kupiga Au Kusababisha Makelele Wana Asili Ya Umaskini

    Uchunguzi binafsi uliofanywa na Bey umegundua kwamba makelele ni sehemu na asili ya maskini,huko kwa watu mbao wana maisha magumu ndio wanapenda makelele Nenda kwenye nyumba au makazi ambao wanaishi wenye hela huwa hakuna makelele kabisa,kule huwezi kukuta kuna Subwoofer,kule kuna Television...
  15. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Ukiangalia hali za watanzania kwenye kampeni zinazoendelea utaona mavazi yao sio mazuri, viatu sio vizuri, hawana nuru na wamezungukwa na umaskini

    Moja ya mambo ambayo binafsi siyapendi ni hali za watanzania zinavyotisha kimwonekano Mfano sahivi kampeni zinaendelea za vyama mbalimbali ila ukiangalia wanaosikiliza kampeni hali zao zinatisha yaani sio nzuri Nguo walizovaa sio nadhifu Vitu walivyovyaa ni vibaya Watoto ni wachafu kupita...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Serikali ya CCM na Uhamiaji miaka 60 ya Uhuru wanashindwa kutengeneza passport , bila shaka hatuwezi kupata maendeleo CCM ikiendelea kuwa madarakani

    Wadau, Ni msiba mzito kwa Tanzania kuwa CCM priority yake ni kupambana kuendelea kuwa madarakani kwa gharama yoyote ikiwemo kupokea pesa chafu kutoka kwa watu ambao wakati mwingine inawaita mafisadi, kuua, kuteka na kulawiti wale wanaopingana nayo kwa hoja , yote hayo inaweza kuyafanya...
  17. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania CCM na Siasa ya Kuendeleza Umaskini: Uongozi au Uonevu wa Kitaasisi?

    CCM imeigeuza Tanzania kuwa laboratory ya umaskini wa kimfumo. Badala ya kutengeneza mazingira ya usawa wa kiuchumi, mmejenga structures zinazowanufaisha wachache huku mamilioni wakizama kwenye umasikini wa kurithishana. Kilimo kimebaki kuwa cha jembe la mkono, elimu ni kwa wenye uwezo, afya ni...
  18. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Kiwango cha umaskini kikipungua kiwango cha kustarabika huongezeka

    Jaribu tu kufuatilia hili swala utagundua. Yapi maoni yako kuhusu hili?
  19. jamaikatz

    JamiiForums Tanzania Elimu ni umaskini na ujinga

    Nursery miaka 2 Primary miaka 7 Secondary miaka 4 Advance miaka 2 Chuo miaka 3 Kujitolea miaka 2 Jumla miaka 20 upo shuleni leo huyu mtu ni MASKINI
  20. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwenyekiti ACT Wazalendo Kigoma: Umaskini wa Watanzania haukuletwa na Mungu. Umeletwa na CCM

    Umaskini wa Watanzania haukuletwa na Mungu. Umeletwa na CCM. Leo akina mama wakienda kujifungua wanaambiwa lete beseni, lete wembe, lete mpira, lete sindano. Walitakiwa wakivikute hospitali.” Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread...
Back
Top Bottom