umaskini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    JamiiForums Tanzania Tufanye nini kuupiga vita umaskini?

    Katika hili taifa letu kitu ambacho tunapaswa kupambana nacho Kwa nguvu basi ni umaskini wa kutosha ulipo Tanzania ukizunguka maeneo mbalimbali nchini utakuta watu wanaishi katika mazingira duni na yenye kuogofya sana Kuna baadhi ya maeneo watu hushindwa hata kununua nguo. Tukiachana na takwimu...
  2. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye ugonjwa wa Tezi dume vijijini wanakosa matibabu ya ugonjwa huo kutokana na umaskini

    Miaka hii miwili nilikuwa maeneo ya vijijini basi katika zunguka yangu huko nilikutana na wazee kadhaa huko wakiugulia huu ugonjwa uitwao Tezi dume. Baadhi ya wazee niliongea nao Waliniambia ya kuwa wana tatizo Hilo Kwa muda mrefu ila ni kuwa hawana fedha Kwa ajili ya kwenda kufanya upasuaji...
  3. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye ugonjwa wa Tezi dume vijijini wanakosa matibabu ya ugonjwa huo kutokana na umaskini

    Miaka hii miwili nilikuwa maeneo ya vijijini basi katika zunguka yangu huko nilikutana na wazee kadhaa huko wakiugulia huu ugonjwa uitwao Tezi dume. Baadhi ya wazee niliongea nao Waliniambia ya kuwa wana tatizo Hilo Kwa muda mrefu ila ni kuwa hawana fedha Kwa ajili ya kwenda kufanya upasuaji...
  4. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Wachaga zindukeni, VICOBA vya kuzikana ni Umaskini!

    Imeibuka tabia, wanafunzi waliosoma pamoja "alumni", watu walioishi mtaa mmoja, Ukoo mmoja na kabila, Parokia au jumuia moja, kuanzisha vikundi vya Watsup na baadae kujisajili kuwa Rasmi. Vikundi hivi huwa lazma kuwe na kisebengo ambaye ata-anzisha M-Koba na kutaka watu wachangieni iwapo...
  5. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mzee Furahael Tenga; Aliyekuzidi Akili huwezi mshinda kwa ujinga wako. Aliyekuzidi utajiri huwezi mshinda kwa umaskini wako

    MZEE FURAHAEL TENGA; ALIYEKUZIDI AKILI HUWEZI MSHINDA KWA UJINGA WAKO. ALIYEKUZIDI UTAJIRI HUWEZI MSHINDA KWA UMASKINI WAKO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Moja ya kitu ambacho watu wajinga na wenye upeo Mdogo wanashindwa kukielewa ni pamoja na hii dhana. Dhana hizi zinanikumbusha Mzee...
  6. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Hata kama ni umaskini lakini jamani tuwe na Ubinadamu

    Kuna Baba Mmoja jirani yangu hapa juzi, katoka kwao Mbulu kwenye kilimo basi katika maongezi yanayohusu kilimo huko alikotoka Kuna jambo kidogo lilinishangaza sana na kufanya siku yangu yote kuharibika. Ni hivi huyu bwana mara ya mwisho kutoka hapa kwenda huko kwao kwenye kilimo Kwa maelezo...
  7. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Kwa nyomi hii naona kama umasikini ni mkubwa sana kwetu

    Binafsi nimekuwa mteja mara kadhaa kwa bidhaa za huyu jamaa ila kwa aina hii ya lundo la watu kukimbilia vitu vya bei rahisi na vilivyo tumika naona kama umaskini bado sana kwetu. Upande wapili huju mr anatengeneza hela nyingi sana sana sana tena hela ambazo sidhani kama serikali inapata hata...
  8. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Umaskini wa kujitakia na kitendawili cha mchango

    66 UMASKINI WA KUJITAKIA NA KITENDAWILI CHA MCHANGO, UCHAGUZI NGUVU YETU Hebu tushirikiane kutafuta jibu la hili fumbo: Chama cha siasa Afrika kinaingia mtaani na kuwapa wananchi somo la ulaghai kwamba serikali imewafanya maskini. Wananchi wanaitikia kwa huzuni, 'Kweli kabisa!' CHAMA KINAWEZA...
  9. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Epukana na Umasikini wa Kisiasa

  10. W

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Umaskini wa Watanzania ni wa kutengenezwa

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kimesema umasikini wa Watanzania ni wa kutengenezwa, kutokana na nchi kushindwa kujenga viwanda vikubwa vya kuchakata na kuongeza thamani Madini yanayozalishwa nchini, badala yake yanasafirishwa Madini ghafi nje ya nchi na kupeleka ajira za Watanzania...
  11. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mnyororo wa Umaskini: Jela ya Kifamilia na Ukoo inavyozima Ndoto nyingi

    Mnyororo wa umaskini (Generational Poverty) siyo tu hali ya kukosa fedha bali ni mfumo wa kimaisha, kifikra, na kijamii unaorithishwa kutoka kizazi kimoja kwenda kingine. Katika familia na ukoo Umaskini huu hufanya kazi kama gereza lisilo na kuta, ambapo watoto huzaliwa na kukuta madeni...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Tutambue umaskini wa wananchi na vijana ni janga

  13. Secret Star

    JamiiForums Tanzania 'Wasomi' Wanawaachia Watoto Wao Umaskini Kisa Kulisha Ndugu Wenye Watu Wazima Wavivu?

    Leo tuvunje ile meza tunayokalia kujadili "Upendo wa Ndugu". Kuna ugonjwa mkubwa sana wa kiuchumi unaotafuna wasomi na wafanyakazi wengi, ugonjwa ambao tunaupa jina zuri la "Kusaidia Familia". Ila ukichunguza kwa kina huu ni utapeli wa kisaikolojia na ni wizi wa wazi wazi! Tumezungukwa na...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Pepo na roho ya umaskini ni laana mbaya sana unafikiriaje mpaka mtu unafikia maamuzi ya mwisho ya kumuua Binadamu mwenzako?

    Inakuwaje unafanya uovu kwa makusudi kabisa ya mtu, mwananchi au kiongozi unamweka ndani unambambikia kesi za uongo unamweka gelezani kwa muda mrefu huku uchunguzi bado haujakamilika. Unaremote mahakama kama nyumba yako uliyowapangisha wafanyakazi wako. Unafikiria hata mpaka uamuzi wa kumtoa...
  15. Infropreneur

    JamiiForums Tanzania Asilimia kubwa ya wanawake hutoka kwenye umasikini kupitia ndoa, na asilimia kubwa ya wanaume huingia kwenye umasikini kupitia ndoa

    Asilimia kubwa ya wanawake hutoka kwenye umaskini kupitia ndoa, na asilimia kubwa ya wanaume huingia kwenye umaskini kupitia ndoa. 80% of the time, women escape poverty through marriage AND 80% of the time, men enter poverty through marriage. Nikuache na kibao cha KING KIKI -Baba Paroko...
  16. K

    JamiiForums Tanzania KERO Tuliochangia Mfuko wa PPF, hiki KIGEZO kinatupa umasikini

    Ni Watanzania wengi ambao bado tuna michango yetu katika Mfuko wa PPF kabla ya kuunganishwa katika mfuko mmojs ns mifuko mingine kadhaa kuwa PSSSF, licha ya kwamba tumechangia pia NSSF. Sasa endapo, umekosa Ajira na kupata malipo ya 33.3% ya mshahara wako wa Mwisho wa Six month (Lump sum) na...
  17. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Kiongozi mwenye kuukumbatia umaskini hafai kwa nyakati hizi

    "Mimi nimetokea familia maskini", "Mimi nimelala kwenye ngozi ya ng'ombe badala ya godoro".... "Mimi sina biashara yoyote na kiasi nilicho nacho benki hakizidi hata Tsh 20m".... viongozi wenye kauli za aina hii HATUWATAKI. Hakuna ufahari wowote kwenye umaskini. UMASKINI NI LAANA. Ninaandika huu...
  18. G

    JamiiForums Tanzania Historia inaonyesha wananchi wa ulaya waliwahi kuwanyonga watawala wakuu wawili Kwa sababu baadhi nazoziona kwenye taifa letu ikiwemo umaskini

    Historia inaonyesha ufaransa na Uingireza iliwahi kunyonga watawala wawili Kwa sababu mbalimbali Kwa upande wa ufaransa ilimnyonga Louis na Malkia Maria Kwa sababu kuu ni Umaskini na njaa Kodi kubwa Kokosekana Kwa haki na usawa Kuupuuza matatizo ya wananchi Kwa upande wa kiongozi wa...
  19. Fbn

    JamiiForums Tanzania Urusi sijawai kuona faida yake zaidi kuongeza umaskini kwa afrika wanaomtegemea.

    Maswahiba wanaosema urusi ni mtu mzuri embu watajeni ila mimi nataka nimuongelee yeye kwanza. Hapa kenya kuna kitu kimetokea cha kuwa beba vijana waende kupigana Ukrainian. Ukandamizaji wa habari na mambo yanayo fanywa kama kuwekewa sumu,kutekwa urusi sio mageni kwa kisingizio kulinda Amani...
  20. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Tanzania Wenye Kupenda Kupiga Au Kusababisha Makelele Wana Asili Ya Umaskini

    Uchunguzi binafsi uliofanywa na Bey umegundua kwamba makelele ni sehemu na asili ya maskini,huko kwa watu mbao wana maisha magumu ndio wanapenda makelele Nenda kwenye nyumba au makazi ambao wanaishi wenye hela huwa hakuna makelele kabisa,kule huwezi kukuta kuna Subwoofer,kule kuna Television...
Back
Top Bottom