Binafsi nimekuwa mteja mara kadhaa kwa bidhaa za huyu jamaa ila kwa aina hii ya lundo la watu kukimbilia vitu vya bei rahisi na vilivyo tumika naona kama umaskini bado sana kwetu.
Upande wapili huju mr anatengeneza hela nyingi sana sana sana tena hela ambazo sidhani kama serikali inapata hata...
66 UMASKINI WA KUJITAKIA NA KITENDAWILI CHA MCHANGO,
UCHAGUZI NGUVU YETU
Hebu tushirikiane kutafuta jibu la hili fumbo: Chama cha siasa Afrika kinaingia mtaani na kuwapa wananchi somo la ulaghai kwamba serikali imewafanya maskini. Wananchi wanaitikia kwa huzuni, 'Kweli kabisa!'
CHAMA KINAWEZA...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kimesema umasikini wa Watanzania ni wa kutengenezwa, kutokana na nchi kushindwa kujenga viwanda vikubwa vya kuchakata na kuongeza thamani Madini yanayozalishwa nchini, badala yake yanasafirishwa Madini ghafi nje ya nchi na kupeleka ajira za Watanzania...
Mnyororo wa umaskini (Generational Poverty) siyo tu hali ya kukosa fedha bali ni mfumo wa kimaisha, kifikra, na kijamii unaorithishwa kutoka kizazi kimoja kwenda kingine. Katika familia na ukoo
Umaskini huu hufanya kazi kama gereza lisilo na kuta, ambapo watoto huzaliwa na kukuta madeni...
Leo tuvunje ile meza tunayokalia kujadili "Upendo wa Ndugu". Kuna ugonjwa mkubwa sana wa kiuchumi unaotafuna wasomi na wafanyakazi wengi, ugonjwa ambao tunaupa jina zuri la "Kusaidia Familia". Ila ukichunguza kwa kina huu ni utapeli wa kisaikolojia na ni wizi wa wazi wazi!
Tumezungukwa na...
Inakuwaje unafanya uovu kwa makusudi kabisa ya mtu, mwananchi au kiongozi unamweka ndani unambambikia kesi za uongo unamweka gelezani kwa muda mrefu huku uchunguzi bado haujakamilika.
Unaremote mahakama kama nyumba yako uliyowapangisha wafanyakazi wako. Unafikiria hata mpaka uamuzi wa kumtoa...
Asilimia kubwa ya wanawake hutoka kwenye umaskini kupitia ndoa, na asilimia kubwa ya wanaume huingia kwenye umaskini kupitia ndoa.
80% of the time, women escape poverty through marriage AND 80% of the time, men enter poverty through marriage.
Nikuache na kibao cha KING KIKI -Baba Paroko...
Ni Watanzania wengi ambao bado tuna michango yetu katika Mfuko wa PPF kabla ya kuunganishwa katika mfuko mmojs ns mifuko mingine kadhaa kuwa PSSSF, licha ya kwamba tumechangia pia NSSF.
Sasa endapo, umekosa Ajira na kupata malipo ya 33.3% ya mshahara wako wa Mwisho wa Six month (Lump sum) na...
"Mimi nimetokea familia maskini", "Mimi nimelala kwenye ngozi ya ng'ombe badala ya godoro".... "Mimi sina biashara yoyote na kiasi nilicho nacho benki hakizidi hata Tsh 20m".... viongozi wenye kauli za aina hii HATUWATAKI. Hakuna ufahari wowote kwenye umaskini. UMASKINI NI LAANA.
Ninaandika huu...
Historia inaonyesha ufaransa na Uingireza iliwahi kunyonga watawala wawili Kwa sababu mbalimbali
Kwa upande wa ufaransa ilimnyonga Louis na Malkia Maria Kwa sababu kuu ni
Umaskini na njaa
Kodi kubwa
Kokosekana Kwa haki na usawa
Kuupuuza matatizo ya wananchi
Kwa upande wa kiongozi wa...
Maswahiba wanaosema urusi ni mtu mzuri embu watajeni ila mimi nataka nimuongelee yeye kwanza.
Hapa kenya kuna kitu kimetokea cha kuwa beba vijana waende kupigana Ukrainian.
Ukandamizaji wa habari na mambo yanayo fanywa kama kuwekewa sumu,kutekwa urusi sio mageni kwa kisingizio kulinda Amani...
Uchunguzi binafsi uliofanywa na Bey umegundua kwamba makelele ni sehemu na asili ya maskini,huko kwa watu mbao wana maisha magumu ndio wanapenda makelele
Nenda kwenye nyumba au makazi ambao wanaishi wenye hela huwa hakuna makelele kabisa,kule huwezi kukuta kuna Subwoofer,kule kuna Television...
Moja ya mambo ambayo binafsi siyapendi ni hali za watanzania zinavyotisha kimwonekano
Mfano sahivi kampeni zinaendelea za vyama mbalimbali ila ukiangalia wanaosikiliza kampeni hali zao zinatisha yaani sio nzuri
Nguo walizovaa sio nadhifu
Vitu walivyovyaa ni vibaya
Watoto ni wachafu kupita...
Wadau,
Ni msiba mzito kwa Tanzania kuwa CCM priority yake ni kupambana kuendelea kuwa madarakani kwa gharama yoyote ikiwemo kupokea pesa chafu kutoka kwa watu ambao wakati mwingine inawaita mafisadi, kuua, kuteka na kulawiti wale wanaopingana nayo kwa hoja , yote hayo inaweza kuyafanya...
bila
kupata
kupata maendeleo
kutengeneza
madarakani
maendeleo
miaka
miaka 60
miaka 60 ya uhuru
passport
serikali
serikali ya ccm
shaka
uhuru
umaskini
uzembe
CCM imeigeuza Tanzania kuwa laboratory ya umaskini wa kimfumo. Badala ya kutengeneza mazingira ya usawa wa kiuchumi, mmejenga structures zinazowanufaisha wachache huku mamilioni wakizama kwenye umasikini wa kurithishana. Kilimo kimebaki kuwa cha jembe la mkono, elimu ni kwa wenye uwezo, afya ni...
Umaskini wa Watanzania haukuletwa na Mungu. Umeletwa na CCM. Leo akina mama wakienda kujifungua wanaambiwa lete beseni, lete wembe, lete mpira, lete sindano. Walitakiwa wakivikute hospitali.”
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.