taka

The Bangladeshi taka (Bengali: টাকা, sign: ৳, code: BDT, short form: Tk) is the currency of the People's Republic of Bangladesh. In Unicode, it is encoded at U+09F3 ৳ .
Issuance of bank notes ৳10 and larger is controlled by Bangladesh Bank, while the ৳2 and ৳5 banknotes are the responsibility of the ministry of finance of the government of Bangladesh. The banknotes of Tk. 2 and Tk.5 have mostly been replaced by coins while lower denomination coins (including all poysha coins) upto Tk. 1 have almost gone out of circulation due to inflation. The most commonly used symbol for the taka is "৳" and "Tk", used on receipts while purchasing goods and services. It was formerly divided into 100 poysha, but poysha coins are no longer in circulation.

View More On Wikipedia.org
  1. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Songwe nipo kwenu toka Jumatano nimekuja kubalizi kidogo na majini wenzangu 😂😂 karibuni mnaotaka kuonana na mimi

    Wakazi wa Songwe nipo kwenu toka Jumatano nimekuja kubalizi kidogo na majini wenzangu 😂😂 karibuni mnaotaka kuonana na mimi
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mtwara: MTUWASA wanahujumu Maisha na Afya za watu wa Shangani

    Mamlaka ya maji safi na taka Mtwara mjini imeshindwa kutoa maji kwa wakazi wa shangani east, sijui na maeneo mengine kwa muda wa takriban miezi miwili. Afya za watu hawa zipo hatarini kwani hakuna vyanzo vingine vya maji wanaweza kupata watu hawa. Jitahidini kuja na majibu ya changamoto hii...
  3. Stroke

    JamiiForums Tanzania Itungwe sheria kuzuia uchomaji wa Taka ngumu mitaani

    Naishauri serikali kuu na zile za mitaa kutunga sheria kuzuia uchomaji wa taka ngumu mitaani. Unakuta baadhi ya mitaa kuna mashindano ya kuchoma taka ngumu. Unakuta taka zina nailoni mbali mbali na materials nyingine ambazo zinaweze kuwa na madhara ya kiafya kwa wakazi wa maeneo hayo.
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Chemba inayotiririsha maji taka eneo la Shoppers -Mikocheni, pembezoni mwa barabara inachangia mitaro kuziba

    Mitaro iliyopo kwenye barabara kutoka Shoppers Mikocheni Dar es salaam kuelekea Hospitali ya Kairuki imejaa maji machafu na taka, hali inayosababisha harufu mbaya na kuwa kero kwa wakazi wa maeneo hayo, hususan wafanyabiashara. Hali hiyo pia inachangiwa na chemba inayotiririsha maji taka katika...
  5. UTPC

    JamiiForums Tanzania Tani 100 za taka zinavyobaki mitaani Morogoro

    Maisha ya wakazi takribani 59,939 wanaoishi katika Kata za Magadu, Mafisa na Chamwino ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro yako katika hatari kubwa ya kiafya kutokana na kukithiri kwa uchafu wa taka ngumu katika makazi yao. Uchunguzi uliofanywa na Nipashe umebaini kuwa katika maeneo...
  6. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Chemba iliyokuwa inatiririsha maji taka kando ya Soko Jipya la Kariakoo yasafishwa

    Juzi niliona mdau wa JamiiForums.com analalamikia kero ya chemba inayotililisha maji taka kando ya Soko Jipya la Kariakoo, ambalo lilizinduliwa katika siku za hivi karibuni. Ilivyokuwa awali Chemba inayotiririsha maji taka kando ya Soko jipya la Kariakoo ni tishio kwa afya Leo nimefanikiwa...
  7. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Tenda za Zabuni za Taka, Kata ya Miburani hazijafunguliwa toka Mwezi Oktoba 2025. Mkandarasi apewa mkataba kinyume na taratibu za vikao

    Mkandarasi mwenyewe wa TAKA Kata ya Miburani ameshindwa kufanya kazi na kuna Hatari ya Magonjwa ya Mlipuko. Mchakato wa tenda umeingiliwa na wanasiasa
  8. N

    JamiiForums Tanzania KERO Mitaa ya Mbagala Kuu tuna kero ya takataka, ni zaidi ya miezi mitatu hakuna gari la taka

    Kero ya matakataka Mitaa ya Mbagala Kuu ni zaidi ya miezi mitatu sasa hakuna gari la taka lilopita mtaani kwetu. Matakataka yamezagaa na ukizingatia sehemu za wazi ambazo Watoto wanacheza, Serikali ya Mtaa haijachukua maamuzi yoyote. Ni hatari kwa afya. Maeneo ya Mbagala Kuu ni Mitaa ya Mbagala...
  9. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Niliamini mliwauwa ila sikuamini mliwazika kama Taka taka Leo ndo nimeamini, Je IKULU ni tamu chini ya kuwazika kama taka taka?

    Daaah, baada ya kuwasikiliza watu wawili kutoka Arusha na Dsm nimeamini mliwazika shimo Moja kama Taka taka aise shame on you! Najiuliza hivi Rais awa wanao jitokeza kwa tume umasikia? Je kweli uliruhusu watu vijana wetu wazikwe shimo kama la taka taka Ili uwe Rais? Walah nimelia nimelia kweli...
  10. I

    JamiiForums Tanzania MTAWADA: Bei ya kilo moja ya taka za plastiki Desemba – Februari hushuka hadi Tsh. 100

    Waokota taka jijini Dar es Salaam wamehimizwa kujiunga na matawi ya Mtandao wa Waokota Taka Dar es Salaam Rejeshi (MTAWADA) yaliyopo katika mitaa yao, ili kuwezesha kupaza sauti zao dhidi ya changamoto zinazowakabili. Baadhi ya changamoto zilizotajwa ni pamoja na kutokueleweka kwa utaratibu wa...
  11. 1Africa54

    JamiiForums Tanzania Unapo taka kununua USAFIRI haswa GARI na PIKIPIKI hua unaepuka makosa gani?

    Dunia ya sasa usafiri binafsi ni jambo muhimu sana haswa pale unapo hitaji kuepuka msongamano na adha ya usafiri wa umma Mambo gani hua unazingatia katika kuchagua na kununua USAFIRI wako binafsi imma usafiri mpya au ulio tumika tayari hapo awali yaani (MTUMBA)
  12. 1Africa54

    JamiiForums Tanzania Unapo taka kununua ARDHI hua unaepuka makosa gani?

    Miaka ya sasa ardhi imekua ni yenye kupanda thamani kutokana na miji kutanuka/kukua na kuongezeka shughuli za uzalishaji na makazi na kupelekea migogoro ya ardhi, utapeli na uharibifu wa mazingira JE Unapo taka kununua ARDHI hua unaepuka makosa gani👇👇👇?
  13. T

    JamiiForums Tanzania Dkt. Hussein Omar aipongeza TET, atoa wito kuandaa Mtaala utakaosaidia kukabiliana na changamoto ya taka ngumu

    Avutiwa na Utendaji katika Mifumo ya TEHAMA NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Hussein Mohamed Omar ameipongeza Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) kwa jitihada wanazofanya za kukuza Sekta ya Elimu nchini hasa kupitia eneo la mifumo ya TEHAMA inayosaidia katika ujifunzaji...
  14. MrsPablo1

    JamiiForums Tanzania Kila mtu anasapport upande wake na hakuna anae taka kukoselewa sio wanao support serikali sio wanao support upinzani

    Kila mtu anasapport upande wake na hakuna anae taka kukosolewa sio wanao support serikali sio wanaosapoti upinzani ukijaribu kuweka hoja tofauti na upande wowote unaoga mvua ya matusi. Nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali mitandaoni kuhusu masuala ya kisiasa, kama hili la kufungiwa kwa...
  15. F

    JamiiForums Tanzania Bidhaa kutokana na taka

    Habari wadau. Nina wazo la kuanzisha kiwanda kidogo cha kuchakata taka mbalimbali kwa ajili ya kuzalisha bidhaa mbalimbali(recycling) Ninaomba kwa mwenye ufahamu wa kutosha kuhusu wazo hili anisaidie orodha ya baadhi ya bidhaa zinazoweza kuzalishwa kutokana na taka(recycling)kwa gharama ndogo...
  16. third eye chakra

    JamiiForums Tanzania Jipe muda wakuvaa viatu vya unae taka kumuhukumu.

    Jipe muda wakuvaa viatu vya unae taka kumuhukumu.
  17. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Kuna shimo la Taka, kisha kuna takataka zimelizunguka Shimo

    Mwenye ufahamu na aelewe. Miaka ya nyuma katika nyumba uani kulikuwa kunachimbwa shimo la Taka. Hili ndo linakuwa sehemu kuu ya kutupia taka. Sasa hali yetu ilivyo. Kuna shimo la Taka, halafu kuna takataka pembeni ya shimo la taka. Hizi hunuka sana kuchagiza taka zilizomo shimoni. Takataka...
  18. The redemeer

    JamiiForums Tanzania Papa Francis kutoka mbeba taka hadi kuwa pope

    Kuanzia Mkusanya Taka Hadi Papa wa Watu — Safari ya Jorge Mario Bergoglio Alizaliwa Buenos Aires kwa wazazi wahamiaji kutoka Italia, Jorge Mario Bergoglio alikulia katika familia ya hali ya chini yenye maisha ya kazi na kujituma. Maisha yake ya awali hayakuwa ya kifahari—alifanya kazi kama...
  19. Yoda

    JamiiForums Tanzania Trump alalamika namna China inavyochafua bahari kwa taka zake za viwandani.

  20. Torra Siabba

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Suala la chemba kutiririsha maji taka Mitaa ya Nyamwezi na Mhonda - Kariakoo, Mamlaka husika zinachukulia poa?

    Kipindi hiki cha mvua hali sio shwari kwenye baadhi ya Mitaa ya Kariakoo, Watu tupo hatarini kupata magonjwa kutokana na chemba kadhaa kutiririsha maji kwenye maeneo ya karibu na biashara zetu sambamba na kwenye njia ambazo watu tunapita, hali hii inaleta kero kubwa. Mfano katika Mitaa ya...
Back
Top Bottom