riziki

Riziki Kiseto (born 14 October 1989) is a Tanzanian cricketer. He played in the 2014 ICC World Cricket League Division Five tournament. In July 2018, he was part of Tanzania's squad in the Eastern sub region group for the 2018–19 ICC World Twenty20 Africa Qualifier tournament.

View More On Wikipedia.org
  1. ACT Wazalendo

    Riziki Shahari: Tunaitaka Serikali Kurejesha Kikokotoo cha Mwaka 2017

    UCHAMBUZI WA BAJETI YA OFISI YA RAIS- MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 Utangulizi Ijumaa tarehe 19 April 2024, Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawalabora Ndg. George Simbachawene (Mb) amewasilisha Bungeni mpango na...
  2. Unique Flower

    Msaada ndio unachukuliwa riziki zako

    WAtu wengi wanajua waganga wanasaidia . Ila waganga hawasaidii waganga wanachukua mazuri yako anampa mteja wake mwaminifu halafu wewe anakusaidia some how unaona afadhali ila ukija jua kachukua nini au umeloose nini? Unazimia . Saivi maisha ya watu wengi yamezorota kisa kwenda kwa waganga cha...
  3. Manyanza

    Mwenyezi Mungu pekee ndiye anayeamua riziki

    Wakuu , Usiku huu nimetoka zangu nje kununua Chakula na nimefika pale nikaagiza zangu Chipsi, Mishikaki mitatu na Soda take way. Sasa wakati nasubiri Chakula imekuja gari Kali ni V8 au Z8 sijaiangalia vizuri sana. Akashuka Jamaa yupo Smart sana na Vito vya thamani mkononi na shingoni ananukia...
  4. comte

    Maandamano ya kupinga ugumu wa maisha yanapozuia watu kujipatia riziki na kufanya maisha kuwa magumu zaidi

    Uhuru wa kuandamana ni stahiki ya kikatiba kama stahiki ya kwenda kokote na kufanya kazi. Maandamano ya CHADEMA yanapaswa yaandaliwe vyema. Mfano Mwanza ina njia kuu tatu- barabara ya Nyerere ambako walianzaia Igoma, barabara ya Kenyatta- ambako walianzia Buhongwa, na barabara ya Makongoro...
  5. The Supreme Conqueror

    Dkt. Salim Ahmed Salim ni Rais wa Tanzania ambaye haikuwa riziki

    DOKTA Salim Ahmed Salim, alipoteuliwa kuwa Waziri Mkuu, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kilikuwa kipindi cha uhaba mkubwa wa bidhaa. Nguo, viatu, sabuni, dawa za meno, vilikuwa adimu. Alikalia kiti baada ya kifo cha Edward Moringe Sikoine, aliyeendesha vita ya uhujumu uchumi. Mazingira ya...
  6. Mwizukulu mgikuru

    Riziki ya mtu iliishapangwa na Mungu, nyinyi akina taasisi mnajisumbua tu

    Tena nawaambieni tu ikiwa mtu alipangiwa kuwa tajiri atakuwa tu, sio mpaka aajiriwe, na sidhani kama kuna tajiri alieajiriwa, matajiri wengi ni wajasiriamali, poleni utumishi na poleni tamisemi, mimi nipo hai tena mwenye afya njema ninakula ninachokitaka, ninavaa ninachokipenda. Kama mlitegemea...
  7. U

    Watanzania na tabia za kubaniana na kuzibiana riziki

    Hii hali imeishawakumba watu mbalimbali. Hapa nazungumzia tabia ya kubaniana & kuzibiana ridhiki. Hizi tabia zinapatikana katika maisha ya kila siku katika kuajiriwa au kujiajiri. Hili limethibitika rasmi kwa kutumia sakata la Feisal. Yaani unakuta mfano, boss anapata labda barua yako ya kwenda...
  8. ACT Wazalendo

    Riziki Shahari: Hakuna Elimu Bila Walimu, Serikali Imalize Ukosefu wa Walimu

    HOTUBA YA MSEMAJI WA SEKTA YA ELIMU ACT WAZALENDO NDG. RIZIKI S. MNGWALI KUHUSU HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KWA MWAKA WA FEDHA 2022-2023 Utangulizi: Ndugu Waandishi wa Habari, Jana tarehe 10 Mei 2022 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipokea na kuanza...
  9. Sa 7 mchana

    Riziki ya Bosi Upitia Kwa Wafanyakazi Wake

    Habari zenu wakuu, mnaendeleaje na hali Jamiiforums imekua nikisima cha maarifa mbalimbali kutoka kwa members wake wenye uzoefu katika nyanja kadha wa kadha. Ukitaka ILIMU mbalimbali utapata Biashara, busara, Ndoa,Ulozi na hata kula tunda kimasihara. Leo nimesikia hili jambo mahala, kwangu...
  10. venchwa

    Wanawake mlioolewa tuwekeni wazi tunapowatongoza. Riziki ulinifanya kukoswakoswa na risasi kwakuwa ulinidanganya uko single

    Nilikosa kosa risasi kisa mke wa mtu. Namkumbuka na picha yake ninazo. Sasa kuna mtandao mmoja unaitwa mygamma.com nilipata msichana mmoja anaitwa Riziki, nikamdanganya nasoma IFM Kumbe nilikuwa form six shule moja maarufu hapo Tanzania. Tukawa marafiki sasa akaanza kuuliza kwamba we ni kabila...
Back
Top Bottom