Salaam, shalom!!!
Akizungumza Kwa uchungu mkubwa na majonzi alipokuwa akimuelezea HAYATI Mwinyi, amesema kuwa Mzee Mwinyi alikuwa mtu mwenye kheri, mpole na mstaarabu na muwajibikaji.
Amedai kuwa ulitokea mgogoro kati ya wakulima na wafugaji akiwa mkuu wa mkoa na katika tukio Hilo, alifariki mtu Mmoja, alipoitwa IKULU, Mzee Mwinyi alimtaka ajiuzulu Ili kuonyesha uwajibikaji.
Mzee Makamba akamwomba msamaha Rais Mwinyi na kumwambia amsamehe Kwa kuwa ana familia inayomtegemea, akanukuu maandiko yasemayo, baba hatahukumiwa Kwa dhambi alizofanya mtoto,baada ya kusema hayo, Mzee Mwinyi alitabasamu na kumwambia nimekusamehe,usirudie tena.
Amesema HAYATI Mwinyi amemfaa sana Kwa kumteua Ukuu wa wilaya, Kisha baada ya miezi SITA akamteua ukuu wa Mkoa, na baadaye Mh KIKWETE akaendelea kumwamini.
Akibubujikwa na machozi Kwa Huzuni kubwa, amesema kuwa Ili Nchi iwe salama, inahitaji kuwa mikononi mwa mtu aina ya Mzee Mwinyi, na mtu hiyo wa aina ya Mzee Mwinyi, ni Mh Samia Suluhu Hassan.
Mzee Makamba ameendelea kusema Mzee Mwinyi apumzike Kwa Amani na huko aendako awasalimu waliotangulia HAYATI Mzee Nyerere, HAYATI Mzee Mkapa na HAYATI Magufuli.
Source: Tanzania Broadcasting Corporation ( T. B. C).
Maombolezo yaendelee😪🙏
Akizungumza Kwa uchungu mkubwa na majonzi alipokuwa akimuelezea HAYATI Mwinyi, amesema kuwa Mzee Mwinyi alikuwa mtu mwenye kheri, mpole na mstaarabu na muwajibikaji.
Amedai kuwa ulitokea mgogoro kati ya wakulima na wafugaji akiwa mkuu wa mkoa na katika tukio Hilo, alifariki mtu Mmoja, alipoitwa IKULU, Mzee Mwinyi alimtaka ajiuzulu Ili kuonyesha uwajibikaji.
Mzee Makamba akamwomba msamaha Rais Mwinyi na kumwambia amsamehe Kwa kuwa ana familia inayomtegemea, akanukuu maandiko yasemayo, baba hatahukumiwa Kwa dhambi alizofanya mtoto,baada ya kusema hayo, Mzee Mwinyi alitabasamu na kumwambia nimekusamehe,usirudie tena.
Amesema HAYATI Mwinyi amemfaa sana Kwa kumteua Ukuu wa wilaya, Kisha baada ya miezi SITA akamteua ukuu wa Mkoa, na baadaye Mh KIKWETE akaendelea kumwamini.
Akibubujikwa na machozi Kwa Huzuni kubwa, amesema kuwa Ili Nchi iwe salama, inahitaji kuwa mikononi mwa mtu aina ya Mzee Mwinyi, na mtu hiyo wa aina ya Mzee Mwinyi, ni Mh Samia Suluhu Hassan.
Mzee Makamba ameendelea kusema Mzee Mwinyi apumzike Kwa Amani na huko aendako awasalimu waliotangulia HAYATI Mzee Nyerere, HAYATI Mzee Mkapa na HAYATI Magufuli.
Source: Tanzania Broadcasting Corporation ( T. B. C).
Maombolezo yaendelee😪🙏