hazina

Hazina is an administrative ward in the Dodoma Urban district of the Dodoma Region of Tanzania. According to the 2002 and 2012 census., the ward has a total population of 7,25.

View More On Wikipedia.org
  1. Yoda

    JamiiForums Tanzania Zebra crossings hazina maana tena, zimebaki kama maonyesho tu

    Ni nadra sana katika sehemu nyingi zenye Zebra crossings ambazo hakuna traffic police karibu kukuta madereva wa magari, Bajaji au Bodaboda wakiheshimu na kuruhusu watembea kwa miguu kuvuka. Ni wakati sasas serikali ijikite kujenga madaraja ya juu tu kuvukia badala ya hizi zebra crossings za...
  2. Loading failed

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 18+ Video za ubwabwa hazina uhalisia wowote

    Ndugu zangu... Onyo kama siyo 18+ haikuhusu. Katika hali isiyo ya kawaida zile video za zinazochochea watu kutunguana au kujitungua mpaka kufika mlima kilimanjaro, nimegundua hazina uhalisia wowote ule zaidi ya wanadamu kujiangamiza wenyewe kisaikolojia na kihisia kuhusu swala zima la...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya Wizara ya Ujenzi 2026/27: TZS 376 BILIONI HAZINA MAELEZO

    Leo Waziri wa Ujenzi ameliomba Bunge kupitisha TZS 2.564 trilioni kwa mwaka 2026/27. Lakini kabla Bunge halijapitisha, kuna tatizo moja la msingi linalohitaji ufafanuzi: 📍 Mei 2025, Wizara ililiomba Bunge kupitisha TZS 2.280 trilioni kwa mwaka 2025/26. 📍 Mei 2026 (leo), Wizara inasema bajeti...
  4. Red black

    JamiiForums Tanzania Hizo Pete hazina nguvu yoyote ni myth tu

  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu Ajira mpya Wilaya ya Ngara walimu wanatuchukuliaje lakini! Hela tumeambiwa zipo Hazina lakini kimya ni mwaka sasa

    Mimi niliajiriwa Mwaka 2025 katika Halmashauri ya Ngara Mkoani Kagera lakini hela zetu za kujikimu mimi na wenzangu hatujapewa, tupo Kada ya ELIMU ila wenzetu Kada ya AFYA walivyofika tu wakapewa sisi mpaka leo kimya. Mwaka huu 2026 wameleta ajira mpya wengine wa Elimu na Afya lakini afya...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ni kweli Hazina haijatoa fedha za kujikimu za Waalimu Singida DC, au zimeelekezwa katika matumizi mengine?

    Walimu wa Shule za Sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida (Singida DC) tuna malalamiko yetu kadhaa hasa yanayohusu kutolipwa malimbikizo ya fedha za kujikimu kwa muda mrefu. Tatizo la Malipo Wengi wetu tumefanya kazi kwa zaidi ya mwaka mmoja tangu tulipoanza kazi mwezi Januari 2025...
  7. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania La HAZINA ya Dhahabu, limethibitisha TRA ya Samia ,ni wahuni,Makanjanja , wasiokua wabunifu, Wanaopikaga Data kumdanganya Samia waonekane wanakusanya!

    Tukishaikomboa hii NCHI, hawa TRA NAO tutawafumua , tutawashikisha Adabu. Wanaiba, wanajilimbikiza Maliz alafu wanakuja kupika Data, Kila Mwezi wanaonekana Makusanyo yamepanda. Kumbe ni uongooo mtupu , HAINGII AKILINI , MIEZI MIWILI TU YA RAFIKI ZETU WAULAYA NANMAREKAN KUSITISHA MISAADA , ET...
  8. sanalii

    JamiiForums Tanzania Suluhu hana suluhisho, ubabe wake umefikia mwisho, jukwaani anatoa mipasho, hoja zake hazina mashiko.

    Yule fedhuli mwenye roho ya korosho, Mwenye hoja zisizo mashiko, Anadhani katiba ni hadithi za esopo, Kila mara hutoa boko, Kwasasa amekosa soko, Kila kona mi miwasho, Mikali zaidi ya ile ya uamsho, Ataipata ya joto, Kiti kitawaka moto. Wahuni wenye mikoko, Wanaotegemea pisto...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kila sehemu wanatoboa makaravati, hata ambayo hazina shida, tenda za wakuu

    Sijui ni mradi wa kigogo gani, nimezunguka mikoa kama 15 Ndani ya miezi miwili iliopita, nimeona kuna miradi ya kuweka makaravati kwenye barabara kuu za kuunganisha mikoa na wilaya Najua lazma hii tenda atakuwa kajipa kigogo wa serikali lakini nikiti sina uhakika na hilo , lakini...
  10. P

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Hazina Kuu Imekauka, Mishahara ya Septemba Itachelewa

    Kwa kasi ya mismanagement ya uchumi na ufisadi ambao tumekuwa tukiusema hapa kila siku jumlisha na fedha zinazoenda kwenye kampeni uchwara, Hazina Kuu imekauka. Hadi leo hata hao mapolisi hawajalipwa. Bank overdraft ya BOT haijatosheleza. Baada ya uchaguzi Tanzania kuwa Zimbambwe ya Kisasa.
  11. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kuna hatihati hazina kukauka uchaguzi ukikamilika na maisha yakawa magumu zaidi kuliko kawaida

    Mara nyingi kipindi cha uchaguzi pesa nyingi mno hutumika kwenye kampeni na mbilinge mbilinge za hapa na pale kuhakikisha chama tawala kinabaki madarakani kwa namna yoyote ile mwisho wa siku uchaguzi ukitamatika hazina inabaki nyeupe na watanzania huwa wanakuwa kwenye kipindi kigumu mno cha...
  12. Abraham Lincolnn

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wakati wa kuomba kura hatusikii ziara za Norway Sweden USA Je, hazina umuhimu kwa nchi wakati huu?

    Kama zile ziara za kutwa mara mbili kwa wiki kama dozi zilikuwa na umuhimu, Kwanini zisimame wakati huu? Ina maana si muhimu kwa sasa?
  13. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Hizi nafasi za kazi za PAPU zinazopitia TCRA hazina infomation za kutosha rekebisheni

    https://www.tcra.go.tz/uploads/documents/sw-1757859650-PAPU_Vacancies_1032107643381814476641029946369102376331757853088906.pdf Angalia kiunga hapo juu kuhusu hizi nafazi za Pan African Postal Union (PAPU) zinaonekana kabisa ni mpunga mrefu maana ni P3 na P4, maombi inabidi yapitie TCRA, hata...
  14. 4

    JamiiForums Tanzania Hazina ndogo dar es salaam

    Habari za muda huu ,kwa yoyote anayejua ofisi ndogo ya hazina mkoa wa dar es salaam aniambie hipo maeneo gan
  15. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba Asisitiza Uwajibikaji kwa Watumishi wa Ofisi za Hazina Ndogo Kigoma

    DKT. MWIGULU NCHEMBA ASISITIZA UWAJIBIKAJI KWA WATUMISHI OFISI YA HAZINA NDOGO KIGOMA Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, ametembelea Ofisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha Mkoani Kigoma na kuzungumza na Watumishi wa Taasisi hizo kuhusu mambo mbalimbali yanayohusu shughuli za maendeleo...
  16. E

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Nyimbo za MC Mwingira zitakuwa hazina ya CHADEMA

    Kaimu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema chama hicho kitamuenzi marehemu George Mwingira, maarufu kama MC Mwingira kwa kuzifanya nyimbo zake kuwa hazina ya chama hicho. MC Mwingira alifariki dunia katika ajali ya basi la SAMA Luxury lililokuwa likisafiri kutoka Songea kuelekea Dar es...
  17. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Press za Polepole kwa sasa hazina tija

    Hamjambo! Katika vita ya mtandaoni, hasa vita maneno. Kuna kanuni zake. Unapotupiana maneno na mtu kama unakombora kubwa kuliko haupaswi kulichelewesha sana kama vile katika vita vya silaha mfano Nyukilia ambazo hutolewa kidogo kidogo na kutokea yenye uwezo mdogo kufuatia yenye uwezo Mkubwa...
  18. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Madini ya Urani ni hazina ya Taifa, tuitumie kwa busara

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema uzinduzi wa kiwanda cha majaribio cha uchenjuaji wa madini ya urani kilichopo Namtumbo mkoani Ruvuma, ni hatua muhimu na ya kihistoria katika safari ya taifa kuelekea uchumi wa kisasa unaotegemea maarifa na rasilimali za...
  19. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania TUNAO WASOMI, HATUNA TAIFA — Tanzania inateketeza hazina ya kitaaluma kwa maamuzi ya kipumbavu ya kisera"

    Tanzania ina wasomi zaidi ya milioni 1.5, lakini takriban 700,000 wapo mitaani wakihangaika, wakiwa ni victims wa mfumo usiothamini maarifa (anti-intellectual governance structure). Hii si ajali ya kihistoria, ni deliberate neglect. Ni uhalifu wa kitaifa dhidi ya akili za watu wake. Kwa mujibu...
  20. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Polepole, asichukuliwe kama adui, asiondolewe chamani, tuwe naye ni hazina ya baadae!

    Although nipo kinyume naye kwa wakati uliopo,lakini simuoni kama adui,wala mifumo isimguse tuwe naye tu,ana kitu fulani lakini huu tulionao siyo muda wake,angoje au apishe kwanza,tumuhifadhi, huku kwa muda uliopo tukimpuuza!, Tuna machungu ya awamu ya tano,tuliumia sana,acha tupumzike japo kwa...
Back
Top Bottom