mapigo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Webabu

    Hamas na Houth wakutana kuratibu mapigo yao dhidi ya Israel

    Kwa mara ya mwanzo wapiganaji wa Houth walio kusini ya Israel waktenganishwa na nchi ya Saudi Arabia wamekutana na wenzao,Hamas ambao wako karibu na katikati ya Israel upande wa magharibi wamefanya mktuano wa pamoja ili kuratibu mapigo dhidi ya adui yao. Mkutano huo haukutajwa eneo ulipofanyika...
  2. BARD AI

    Mapigo 10 ya CCM kwa Edward Lowassa

    Haikuwa Jambo rahisi kwa CCM kumshuhudia Kiongozi mkubwa ngazi (Waziri Mkuu) kukihama CCM na kujiunga na Chama cha upinzani CHADEMA. Usiwaone leo CCM msibani wanalia na kupishana kutoa maneno mazuri kwa Mzee Lowassa ukajua hadi roho zao ni nzuri, HAPANA. Ukiondoa vicheko, tabasamu na maneno...
  3. MK254

    Iran yalaani mapigo yanayofanyika na US kwa maslahi yake hata baada ya kukana haikuhusika

    Iran ilishakana haikuhusika au hata washirika wake hawakuhusika, sasa haielewi kwanini Marekani anapiga chochote chenye harufu ya Iran huko nje....... Kilichobaki sasa ni Iran kukasirika ifanye kitu tuone mwisho wake maana Marekani wanaendelea kupiga.... Syria and Iraq assail Washington for...
  4. MK254

    Mpaka sasa vifo 40 vimeripotiwa kutokana na mapigo wanayofanya Marekani kwa maslahi ya Iran

    Na hapo movie ndio inaanza tu.... US launches retaliatory strikes in Iraq, Syria; nearly 40 reported killed The strikes hit targets including command and control centers, rockets, missiles, and drone storage facilities, as well as logistics and munition supply chain facilities, the US military...
  5. S

    CUF fufueni "Blue guard", CHAUMA anzisheni "Hakuna kulala", na ACT mje na "Nchi ni yetu sote" ili kujibu mapigo ya chipukizi wa CCM

    Nashauri vyama vya upinzani kuamka na kuanza kuandaa nguvu ya kupambana na ccm. Huku mitaani nimeona viongozi wanaotokana na ccm wanaandaa vikundi vya ulinzi na usalama kama maandalizi ya uchaguzi ujao. CCM Imeandaa Green guards na chipukizi. CUF kulikuwa na Blue Guard, nawashauri muifufue na...
  6. MK254

    Netanyahu asema hamna chochote kitazuia mapigo, hata warejeshwe mateka wote

    Kwa kifupi, hili la kurejesha mateka ni namna tu ya kuwapa HAMAS fursa ya kupumua, ila mapumziko kamili ni akhera kule kwa mabikira, kipigo kiko pale pale. =================...
  7. MK254

    Israel yapiga kura na kukubali kusitisha mapigo kwa siku tano ili HAMAS waachie mateka 50

    HAMAS wameachiwa unafuu wa mapumziko ya kipigo kwa siku nne, nayo itaachia mateka 50 wa Israel na imeambiwa itaongezewa siku moja kwa kila ikiachia mateka kumi kwa siku, ila baada ya hapo kipondo kitaendelea, na pia hamna cha wafungwa kuachiwa kutoka kwa Israel. Pia haijaelezwa mateka wasio...
  8. MK254

    HAMAS waomba Israel ikisitisha mapigo kwa siku tano wataachia mateka 70

    Jamaa wameongeza idadi, mwanzo walisema wataachia 15, sasa wameongeza idadi hadi 70. --- Hamas Says Ready To Release 70 Hostages In Return For 5-Day Truce The armed wing of Palestinian group Hamas said on Monday they told Qatari mediators that the group is ready to release up to 70 women and...
  9. MK254

    HAMAS itaachia mateka 15 kama Israel ikikubali kusitisha mapigo kwa muda

    Israel wakikubali kusitisha mapigo kwa walau siku tatu, mateka 15 wataachiwa huru............. Negotiations are continuing between Israel and Palestinian group Hamas, mediated by Qatar in coordination with the United States, that could see 10-15 Hamas-held captives released in exchange for a...
  10. Blender

    El Nino ipo chukua HATUA mapema

    Kwa wakazi wa Dar es salaam, mlio kuwa munasema TMA ni waongo, Haya 👆 Sasa tupeni update Hali ilivyo hapo kwako. Ewee mkazi AU mfanya biashara wa Dar chukua tahadhari ya El Nino, IPO
  11. Webabu

    Umoja wa Mataifa wapitisha azimio kutaka vita isitishwe, Israel yapinga na yaongeza mapigo Gaza

    Kwa sauti moja hapo jana baraza kuu la umoja wa mataifa lilipitisha azimia likitaka vita visitishwe kwa muda ili kutoa fursa ya majadiliano na kuwezesha misaada kuingia Gaza. Kinyume chake taifa la Israel limepinga azimio hilo na katika kipindi cha masaa 24 wameongeza mapigo makali kuzidi ukali...
  12. MK254

    Huku Urusi wakiendelea kuugulia mapigo ya HIMARS na Storm Shadows, sasa zinakuja ATACM

    Ikumbukwe HIMARS ndio zilisababisha mkondo wa vita ubadilishwe, mvamizi Urusi akawa mtorokaji, sasa zinakuja ATACM zenye uwezo mkubwa mara kadhaa kuzidi HIMARS....... RUSSIA could face debilitating missile strikes deep within their territory as Ukraine is set to receive game-changing American...
  13. B

    Siasa zimefika patamu, leo Tundu Lissu wamemparura, tusubiri Mkito wake akijibu Mapigo

    Duniani hakuna fairness leo TL kachambwa sana na Genge lake la Chadema. Je naye TL mikito yake si mnaijua? Akipiga vijembe vyake vya siasa badala mjibu mtamkimbiza na vyombo vya dola eti katukana. Mchezo wa siasa ni mtamu kwa mwanasiasa bora. Watu wanahoji mikataba ya kitaifa wanaitwa...
  14. Nigrastratatract nerve

    Mwenyezi Mungu aliufanya Moyo wa PHARAOH kuwa mgumu mvua ya mapigo ikamiminika

    The Bible says, wakati Mungu anataka kuwatoa Wana wa israel Misri,Kwanza aliufanya moyo wa farao kuwa mgumu..means sio Kwa mapenzi yake farao alifanya ili kuwachelewesha Wana wa Israeli, Bali Mungu mwenyewe aliufanya moyo wa farao kuwa mgumu ili utukifu na historia visemwe kama ilivyo Leo ya...
  15. MamaSamia2025

    Tunduma ni mji wa kipekee. Mapigo yake ni kama Kariakoo

    Huu uzi ilikuwa niuandike muda mrefu kwa mambo niliyojionea kwenye mji wa Tunduma. Kwa ambao hajawahi fika Tunduma wanaweza kudhani ni ka-mji kadogo ambacho kipokipo tu. Kwa sisi wa Arusha tulikuwa tunaamini Namanga ndo mji mkubwa zaidi wa mpakani kwa Tanzania kumbe kuna Tunduma...
  16. S

    Logical thinking: CCM bila kujua, inapitia mapigo kama ya Farao, na lipo moja litakalokuja kuwaangusha(Pigo la 10)

    Leo naomba niwaambie CCM kuwa kwa muda sasa, wamekuwa wakipata misukosuko inayotishia uhai wa CCM na CCM kuendelea kubaki madarakani huku wao wakiwa hawaelewi. Wasichokijua CCM nii kuwa, mitikisiko wanayoipitia, ni sawa na yale mapigo 10 alioyopitia Farao aliekuwa Mtawala wa Misri kabla ya pigo...
  17. MK254

    Ukraine wapata wapenya mji wa Tokmak, mapigo ya counteroffensive yanaendelea vizuri

    Kuna sehemu nimeona Putin amelazimika kuita kikao cha ghafla maana haimuingii akilini namna wanajeshi wake wanaachia maeneo na kuikimbia moto wa Ukraine.....yaani haelewi ukifanya mchanganyiko wa storm shadow, cluster bombs na HIMARS haviwaachi wanajeshi salama..... US officials told CBS News...
  18. OKW BOBAN SUNZU

    Rostam Aziz: Historia ya Dkt. Slaa haimpi uhalali wa kujifanya anajali maslahi ya Mtanzania. Kampuni zangu hazihusiki na uwekezaji wa DP World

    Mfanyabiashara mkubwa nchini Rostam Aziz amezungumza na waandishi wa habari Juni 26, 2023 ambapo ameeleza mambo mbalimbali ikiwemo sakata la bandari ya Dar na kuhusika kwake kwenye uwekezaji huo mkubwa. --- Juzi katika mdahalo pale hoteli ya Serena nilisema kuwa sihusiki na hili jambo (mkataba...
  19. Replica

    Mpina ajibu mapigo, asema Mwigulu hana sifa ya kuwa Waziri. Adai anakopa hadi pesa za semina ilhali kuna matrilioni hayajakusanywa

    Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema Mwigulu amesababisha matatizo makubwa kwenye SGR zaidi ya trilioni 4. Luhaga amesema Mwigulu hatakuwepo kwenye nafasi ya uwaziri labda kwa neema ya Mungu akidai hana sifa ya kukaa kwenye nafasi aliyonayo. Mpina amedai Mwigulu amepiga ngonjera kwenye hotuba...
  20. Zanzibar-ASP

    WanaCCM Arusha wamtaka Mrisho Gambo naye aitishe mkutano wa hadhara kujibu mapigo ya Lema

    Hayawi hayawi sasa yamekuwa, Arusha kumekucha upya baada ya Godbless Lema kutua nchini na kulitikisa jiji lolote la Arusha kwa kishindo cha mapokezi, shamrashara mitaani na mkutano mkubwa wa hadhara. Sasa makundi mbalimbali ya wanaCCM yameamua kupiga kelele kwa mbunge wa Jimbo la Arusha mjini...
Back
Top Bottom