katiba mpya

  1. S

    JamiiForums Tanzania Namba 2 alikuwa anatoa ujumbe kuwa huyu Mama kuna watu wanamdhibiti na huenda ni Mzee wa Msoga ambae mwanae alipinga Katiba mpya

    Leo ndio nimesikiliza vizuri Namba 2 alipoongelea katiba mpya huku akisisitiza watu wapambane. Kama aliyoyaongea yana ukweli, basi kuna watu wamemdhibiti Namba 1 ingawa nae anaonyesha udhaifu licha ya madaraka aliyonayo. Kwanini nasema hivi? Siku kadhaa zilizopita, kijana wa Mzee wa Msoga...
  2. Ileje

    JamiiForums Tanzania Samia hataki Katiba mpya kwa kuwa Katiba ya sasa inamnufaisha!

  3. P

    JamiiForums Tanzania Abdul Nondo: Kauli ya Nchimbi kuhusu Katiba Mpya ni hadaa za Serikali kwa Umma

    Abdul nondo anasema..... Ngome ya vijana ACT wazalendo tumesikia kauli ya Makamu wa Rais Dkt.Emmanuel John Nchimbi aliyoitoa tarehe 24/Julai/2026 kuhusu hoja ya KATIBA MPYA. Makamu wa Rais Dkt. Emmanuel John Nchimbi anasema serikali inataka KATIBA MPYA, Rais Samia anataka KATIBA MPYA na CCM...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Nani hataki Katiba Mpya katika hawa watawala. Uchambuzi makini huu hapa. Nani ni mnafiki

    C&p Juzi, Tarehe 24/07/2026, Makamu wa rais, Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwa kwenye mkutano mkuu wa 15 wa mtandao wa watetezi za haki za binadamu, ametoa hotuba iliyopokelewa kwa hisia tofauti Hii ni kwa sababu hotuba yake imekinzana na kauli za awali zilizopata kutolewa na bosi wake, rais...
  5. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Pendekezo la timeline ya Katiba Mpya 2026-30

    Mchakato wa kupata Katiba Mpya nchini Tanzania unashauriwa kuchukua wastani wa miaka mitatu (2026–2029) ili kutoa nafasi ya kutosha kwa maridhiano ya kisiasa na ushiriki mpana wa wananchi. Kulingana na mapendekezo ya hivi karibuni ya wadau wa demokrasia, serikali, na Tume ya Jaji Chande (2026)...
  6. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Nchimbi aomba nguvu ya Umma kupata katiba Mpya

    Ndugu Nchimbi kaja kuomba nguvu ya umma isaidie kupatikana kwa Katiba Mpya, hili inamaana viongozi na serikali waeshakwama, Je ni nani anakataza isipatikane katiba Mpya? Mtu huyu ana nguvu kiasi gani? Hii ni wake up call,Katiba haitopatikana bila mnyukano mkali na mtu huyu asiyependa katiba...
  7. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Kwa CCM Katiba mpya si jambo jipya

    Ninapoona baadhi ya wana CCM wanasitasita kuhusu marekebisho ya Katiba ama kuwepo kwa katiba mpya huwa nawashangaa sana. Huwa nahisi kuwa kwa sasa CCM inaongozwa na watu ambao si CCM ama siyo makada wanaoifahamu vizuri historia ya nchi yetu na ya chama chao. Mwaka 1977 CCM iliandika Katiba...
  8. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kauli ya NCHIMBI, "Rais yuko tayari KATIBA Mpya" alimaanisha, Matukio ya Utekaji,Mauaji Oktoba 29 , LISSU, ni Maji ya Shingo kwa Samia !!

    Wakuu nawaambia Jambo Moja kabisa la UHAKIKA bila mbambamba. SAMIA na Genge lake, wajifarague vipi, waruke, wake, wasimame ,wakimbie, wapae, yaan Hizo zote ni mbwembweeena HAZIWASAIDIII KITU CHOCHOTE. Ukweli ni kua, Mbinyo wa KIMATAIFA Uliopo kwa Samia ,ambao nayeye anaujua na Washirika...
  9. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Kauli za Nchimbi zaunganisha Taifa. Watanzania waunga mkono utekelezaji wa ilani ya CCM ya 2025

    My friends ladies and gentlemen, Sasa ni wazi, upekee wa kauli za makamu wa Rais wa Tanzania Dr.Emmanuel John Nchimbi katika masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa, umeendelea kua kiungo muhimu na chachu ya umoja na mshikamano miongoni mwa waTanzania wote bila kujali itikadi, mirengo ya...
  10. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Kwa mazingira ya kisiasa kwa sasa hatuwezi kujipatia katiba mpya halali na yenye kutetea na kulinda haki za raia. Viongozi wote ni Null and void

    Kwanza kabisa niseme mifumo wa mahakama na bunge ni mifumo iliyoparalise na haina nguvu za kusimamia mchakato wa katiba mpya. Majukumu ya Bunge na Mahakama katika nchi yenye utawala wa sheria ni pamoja na Bunge (Legislature) 1. Kutunga sheria – kutengeneza na kupitisha sheria zinazotawala...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Alichomaanisha Dr. Nchimbi aliposema Watanzania tupambanie katiba mpya - ni kweli ni jambo la msingi sana na mpambano mkubwa unaokuja!

    Wengi wetu hatukumuelewa Dr. Nchimbi pale aliposema Watanzania tupambane ili kupata Katiba mpya, na hadi tukaanza kuuliza, tupambane dhidi ya nani basi, Samia? CCM? Polisi? Kuna watu hata walianza kusema mnaona, Dr. Nchimbi kaanza tena kwenda kinyume na Samia na CCM! Na ieleweke wazi mpambano...
  12. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Ni mambo gani ungependa yazingatiwe katika Katiba Mpya?

    Ni reforms zipi au mambo ungependa katika mpya izingatie? ✅️ Mamlaka ya Riasi yapunguzwe na Uhuru wa mihimili yote ✅️ Zuio la mwenyekiti wa chama tawala kua Raisi wa Nchi ✅️ Ardhi ya Tanzania iwe mali ya wananchi, si Raisi, kasoro mali asili Serikali imiliki 70% ya ardhi huru na kuwapa...
  13. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Tunatamani kupigania katiba mpya; Tatizo tunaogopa kesi za uhaini, ugaidi na uchochezi!

    Hakuna ubishi, wito wa Mh. Makamu wa Rais, Balozi, Dr. Emmanuel Nchimbi, wa kuwahimiza watanzania kupigania katiba mpya, umepata mwitikio na hamasa kubwa kutoka kwa watanzania wote. Kwa kuzingatia maoni mbalimbali yaliyotolewa, ni wazi kuwa tupo tunaomuona Dr. Nchimbi kama kiongozi wa mfano...
  14. F

    JamiiForums Tanzania Je kiitendo cha Dk. Emmanuel Nchimbi kuwaambia Watanzania wajipambanie wenyewe katiba mpya wakati yeye ndiye alipaswa kuweka mchakato huo ni U-Yuda?

    Nafikiri kitendo cha Makamu wa rais Dk. Emmanuel Nchimbi kuwaambia Watanzania wapambanie katiba mpya wakati yeye ndiye aliyepo kwenye nafasi ya kuwezesha mchakato huo lakini hata hivyo hajafanya hayo ni saliti mkubwa kwa Watanzania.
  15. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Kawaida amjibu Dkt. Nchimbi ''Uimara wa chama hauko katika uwezo wa kiongozi mmoja kujijengea taswira mbele ya umma''

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa CCM (UVCCM), Mohamed Kawaida, amechapisha ujumbe kwenye mitandao yake ya kijamii kwa kile kinachoonekana kujibu mapigo ya kauli ya Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi kuhusu kuwataka wananchi kuipigania katiba mpya. Ameambatanisha video ya aliyekuwa Mwenyekiti wa...
  16. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Tuna Bunge lisilopendwa na wananchi kutokana na yale yaliyotokea. Je, Bunge lisilopendwa linaweza kutupatia Katiba Mpya?

    Askofu Dk. Benson Bagonza wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Karagwe, akizungumza na Sauti Digital Ijumaa Julai 24, 2026 amehoji kuhusu kauli ya Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi kuhusu kuipigania KATIBA MPYA amehoji haya kuhusu KATIBA MPYA... Pia soma Dkt. Nchimbi: Hakuna sheria...
  17. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Dkt. Bagonza: Kama Rais anaitaka Katiba Mpya, kwanini tuipiganie?

    Askofu Dr. Benson Bagonza wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Karagwe, akizungumza na Sauti Digital Ijumaa Julai 24, 2026 amehoji kuhusu kauli ya Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi kuhusu kuipigania KATIBA MPYA Pia soma Dkt. Nchimbi: Hakuna sheria inayotengua Katiba. Watanzania...
  18. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi: "Pambaneni Mpate Katiba Mpya ya Mwafaka Itakayodumu Miaka 50" | Rasimu Kamili Ipo www.katibampya.com

    Katika Mkutano Mkuu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) uliofanyika jijini Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, ametoa kauli nzito kuhusu Katiba Mpya. Alisema ikiwa angepewa nafasi ya kutoa ujumbe mmoja wa mwisho kwa...
  19. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi: "Hakuna Sheria Inayotengua Katiba, Watanzania Pambaneni Mpate Katiba Mpya!" | Rasimu Kamili Ipo www.katibampya.com

    Leo nimeona jambo muhimu sana kutoka kwa Makamu wa Rais wetu, Dkt. Emmanuel Nchimbi, aliyezungumza mbele ya umma tarehe Julai 23, 2026. Nimeamua kuandika thread hii ili kuwafahamisha wote kuhusu ujumbe wake na pia kuwaelekeza mahali pa kupata taarifa zaidi. Katika hotuba yake, Dkt. Nchimbi...
  20. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Jakaya Kikwete amesema ,usitegemee katiba mpya sasa hivi, watanzania tujikite katika kujenga nchi yetu"?

    Kumekuwepo na graphic inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikidai kuwa Rais wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, alisema:"Usitegemee katiba mpya sasa hivi. Watanzania tunatakiwa tujikite katika kujenga nchi yetu." Katika ufuatiliaji uliofanywa kwa kutumia...
Back
Top Bottom