Salaam ,shalom!!
Ni Kweli homa ya Uchaguzi imepanda, wengine wameanza kuacha kuongoza vyama na kukimbilia kuanza maandalizi ya kugombea ubunge nk nk.
Wananchi hatufurahii urafiki kati ya chama tawala na vyama vya upinzani, maslah ya Wananchi yapo katika kutofautiana Kwa HOJA kuongeza Kasi ya maendeleo.
Tunasikia habari ya nusu mkate, kugawana vyeo, hiyo nusu mkate kugawana vyeo itasaidia vp
1. Kuondoa tatizo la mgao wa umeme nchini?
2. Nusu mkate, Itaondoa vp mfumuko wa bidhaa nchini?,
3. Nusu mkate, Itaondoa vp RUSHWA?,
4. Nusu mkate, Itaondoa vp urasimu kupata huduma mahospitalini?
5. Nusu mkate itasaidia vipi kulinda raslimali za nchi yetu?
6. Nusu mkate itasaidia vp kupatikana Kwa pesa kulipa mikopo na riba?
7. Nusu mkate itapunguza vipi pengo kubwa kati ya maskini na matajiri nchini?
8. Nusu mkate itasaidia vipi kupunguza ukubwa wa Serikali Kwa kupunguza gharama za uendeshaji serikalini, kupunguza idadi ya wabunge na baraza la mawaziri?
9. Nusu mkate, itasaidia Kwa kiasi Gani kuondoa watoto wanaorandaranda mitaani bila uangalizi wowote?
10. Kugawana majimbo kati ya CCM na upinzani kutachangia vipi kupunguza lindi la Umaskini Kwa wananchi maskini?
Wanasiasa jitahidini kuongea lugha ya wananchi tutaelewana.
ANGALIZO: Maridhiano ni kupata Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote.
Kheri ya mwaka mpya 2024, yajayo yanafikirisha.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni.
Ni Kweli homa ya Uchaguzi imepanda, wengine wameanza kuacha kuongoza vyama na kukimbilia kuanza maandalizi ya kugombea ubunge nk nk.
Wananchi hatufurahii urafiki kati ya chama tawala na vyama vya upinzani, maslah ya Wananchi yapo katika kutofautiana Kwa HOJA kuongeza Kasi ya maendeleo.
Tunasikia habari ya nusu mkate, kugawana vyeo, hiyo nusu mkate kugawana vyeo itasaidia vp
1. Kuondoa tatizo la mgao wa umeme nchini?
2. Nusu mkate, Itaondoa vp mfumuko wa bidhaa nchini?,
3. Nusu mkate, Itaondoa vp RUSHWA?,
4. Nusu mkate, Itaondoa vp urasimu kupata huduma mahospitalini?
5. Nusu mkate itasaidia vipi kulinda raslimali za nchi yetu?
6. Nusu mkate itasaidia vp kupatikana Kwa pesa kulipa mikopo na riba?
7. Nusu mkate itapunguza vipi pengo kubwa kati ya maskini na matajiri nchini?
8. Nusu mkate itasaidia vipi kupunguza ukubwa wa Serikali Kwa kupunguza gharama za uendeshaji serikalini, kupunguza idadi ya wabunge na baraza la mawaziri?
9. Nusu mkate, itasaidia Kwa kiasi Gani kuondoa watoto wanaorandaranda mitaani bila uangalizi wowote?
10. Kugawana majimbo kati ya CCM na upinzani kutachangia vipi kupunguza lindi la Umaskini Kwa wananchi maskini?
Wanasiasa jitahidini kuongea lugha ya wananchi tutaelewana.
ANGALIZO: Maridhiano ni kupata Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote.
Kheri ya mwaka mpya 2024, yajayo yanafikirisha.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni.