Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,931
- 31,175
Uteuzi wa Paul Makonda au ukipenda Bashite ni mkakati wa kutuondoa kwenye hoja za msingi kama Katiba Mpya na Bsndari.
Tangu ateuliwe amekuwa mtu wa kuropoka ropoka mkakati ukiwa kutuondoa kujadili masuala ya maana na kuanza kujadili upuuzi wake.
Inavyoelekea baadhi ya Watanganyika wasiopenda kufikiri vizuri wamejikuta wakitumia muda mwingi zaidi kujadili ujinga na upuuzi wa mpuuzi Bashite.
Tangu ateuliwe amekuwa mtu wa kuropoka ropoka mkakati ukiwa kutuondoa kujadili masuala ya maana na kuanza kujadili upuuzi wake.
Inavyoelekea baadhi ya Watanganyika wasiopenda kufikiri vizuri wamejikuta wakitumia muda mwingi zaidi kujadili ujinga na upuuzi wa mpuuzi Bashite.