katiba mpya

  1. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Kutaka katiba mpya katika Mazingira ya Utawala usiojali Maoni ya wananchi ni kujitoa ufahamu!

    Malalamiko kila kona ya watu 1) Kutekwa 2) kubambikiwa kesi 3) kupoteza wenye mawazo tofauti,Mh Polepole n.k 4) kufuta hotuba/ maudhui yanayokera viongozi kwenye media 5) kutishia Wakosoaji/ Mawazo Kinzani 6) Wizi wa kura 7) kuua watu 29/10/25 8) Bunge lilipatikana kwa hila kuzinga 9)...
  2. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Enyi CHADEMA, Mauaji ya Okt 29 ya CCM, ni sawa na Mauaji ya Kenya 2007 yaliyozaa Katiba Mpya. Komaeni, Pambaneni, Samia na CCM watabana ila Wataachia

    Hatuhitaji Tena Mauaji mengine kuleta KATIBA na Mabadiliko katika NCHI hii, hata hivo ikilazimu Maandamano, tútaandamana kwa kua ni HAKI. Hamna mahali popote pale DUNIANI, Kiongozi akaua watu wake siku za Uchaguzi kwa Maelefu vile, alafu akabaki salama na akatawala na Dunia ikamchekea, Hamnaaaa...
  3. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Asante VP Bal. Dr. Nchimbi kwa Maneno Makubwa, ya Faraja na Matumaini Kuhusu Katiba. Unamsaidia Sana Rais na Utawasaidiwa Sana Watanzania Iwapo...!

    Wanabodi, Hii ni Makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la leo, ambayo ni kumshukuru na kumpongeza Makamu wa Rais Balozi Dr. Nchimbi kwa maneno makubwa ya maana sana yenye faraja na matumaini makubwa kwa Watanzania kuhusu katiba mpya. Kiukwe huyu mtu, anamsaidia sana Rais Samia na atawasaidia...
  4. figganigga

    JamiiForums Tanzania CHADEMA hakikisha yule Waziri anayetuhumiwa kujihusisha na Madawa ya kulevya, haongelei Maridhiano na Katiba mpya

    Hawa wafanyabiashara ya Madawa ya kulevya, Mafisadi, Wahujumu Uchumi, Wauaji na Watekaji, wanafanya kila njia kuhakikisha katiba mpya haipatikani. Mara watasema, Katiba mpya si kwaajili ya kugawana vyeo, katiba mpya haituletea chakula nyumbani nk. Wengine wanasema tupate Muda wa miaka mitatu...
  5. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Je, mabeberu wataruhusu tupate katiba mpya itakayogusa Maslahi yao?

    Hamjambo! Wote tunajua kuna ukoloni mamboleo. Zaidi tunafahamu nchi nyingi za kiafrika zilipata uhuru wa bendera. Tunafahamu pia Katiba inayotumika ni ile ya 1977 ambayo kimsingi inatumia mfumo uleule wa Kikoloni licha ya baadhi ya amendments kadhaa kufanyika. Kupitia madhaifu hayo. Tumeona...
  6. funaku

    JamiiForums Tanzania Pamoja na Uwepo wa Ilani ya CCM bado nakataa suala la katiba mpya!

    Tafakuri yangu ni moja na ya msingi sana. Kama Taifa hatuna ushahidi usio na mawaa eti matatizo au changamoto tulizonazo zinatokana na katiba kuwa ya zamani.Hakuna ushahidi wa kisayansi ulioweza kunishawishi eti katiba yetu ni mbovu. Nilichoshuhudia na nilichosikia na nilichokifuatilia katika...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Rasimu ya katiba iandikwe na wataalamu ambao hawana chama. Hata kama wanatoka nje

    Ushauri: Rasimu ya katiba iandikwe na wataalamu ambao hawana chama. Hata kama wanatoka nje. Maoni yakisha kusanywa wataalamu pekee ndiyo waandike sio makada wala Bunge fake la katiba. Bunge la katiba nalo ambalo sio ya kivyama ipigie kura bila mabadilisho . Tukifanya kama wakati wa Kikwete...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Je wale CCM walio zuia katiba mpya wakati wa Kikwete ni wazalendo nao?

    Je wale CCM walio zuia katiba mpya wakati wa kikwete ni wazalendo nao?
  9. R

    JamiiForums Tanzania Dkt. Ayub Rioba: Ninachokataa ni watu kudhani shida zao zote zinasababishwa na Katiba

    Aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt. Ayub Rioba Chacha, amepinga mtazamo wa kwamba kupatikana kwa Katiba Mpya ndiyo suluhu pekee ya changamoto zote zinazoikabili nchi. Akizungumza Julai 28, 2026, katika kipindi cha One on One cha Wasafi Media, Dkt. Rioba...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Mtu pekee wa kutupa Katiba Mpya ni Tundu Antipasi Mughwai Lissu, au kwa maana hiyo CHADEMA ya Lissu na Heche

    Sima cha kuongeza. Ongeza wewe msomaji.
  11. A

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya sio mabadiliko ya mzunguko wa pesa na wizi utakuwepo tu

    Mabadiliko ya Katiba ni maboresho ya kilichopo siku zote lengo hua ni hilo na ni jambo sio la sisi Wananchi pekee pia linahusu ambao hatma ya Nchi yetu ipo mikononi mwao na ni jambo linalogharimu muda na pesa kwa hiyo Mimi kama Mwananchi usinichochee nifatilie Katiba kama haunilipi kufatilia...
  12. K

    JamiiForums Tanzania KUTOKA SEOUL HADI DODOMA: Rasimu ya Warioba, Hofu ya Watawala Wetu, na Mustakabali wa Katiba Mpya Kuelekea Chaguzi

    Wana-JF, Kasi ya siasa za kimataifa hivi sasa inatupa masomo makubwa sana kuhusu nguvu ya sheria na umuhimu wa mifumo imara ya kikatiba. Hivi karibuni, tumeshuhudia Rais wa zamani wa Korea Kusini, Yoon Suk Yeol, akihukumiwa vifungo vizito vya jela—ikiwemo kifungo cha maisha kwa kosa la uasi na...
  13. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Ukizungumzia suala la Katiba Mpya, maana yake unaizungumzia ilani ya uchaguzi ya CCM 2025-2030

    My friends, ladies and gentlemen. Ni ukweli usiopingika kwamba mtu yeyote yule anae izungumzia katiba mpya Tanzania, anazungumzia kuhusu ilani ya uchaguzi ya CCM 2025-2030, ambayo ndio inatekelezwa na serikali sikivu ya CCM hivi sasa chini ya Dr Samia Suluhu Hassan. Ndio ilani pekee ya chama...
  14. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Dkt. Slaa naye atupia lake neno kuhusu kauli ya Dr. Nchimbi ya kuwataka Watanzania wapambane wapate Katiba Mpya

    https://www.youtube.com/watch?v=_BjgSiVTCP0
  15. S

    JamiiForums Tanzania Namba 2 alikuwa anatoa ujumbe kuwa huyu Mama kuna watu wanamdhibiti na huenda ni Mzee wa Msoga ambae mwanae alipinga Katiba mpya

    Leo ndio nimesikiliza vizuri Namba 2 alipoongelea katiba mpya huku akisisitiza watu wapambane. Kama aliyoyaongea yana ukweli, basi kuna watu wamemdhibiti Namba 1 ingawa nae anaonyesha udhaifu licha ya madaraka aliyonayo. Kwanini nasema hivi? Siku kadhaa zilizopita, kijana wa Mzee wa Msoga...
  16. Ileje

    JamiiForums Tanzania Samia hataki Katiba mpya kwa kuwa Katiba ya sasa inamnufaisha!

  17. P

    JamiiForums Tanzania Abdul Nondo: Kauli ya Nchimbi kuhusu Katiba Mpya ni hadaa za Serikali kwa Umma

    Abdul nondo anasema..... Ngome ya vijana ACT wazalendo tumesikia kauli ya Makamu wa Rais Dkt.Emmanuel John Nchimbi aliyoitoa tarehe 24/Julai/2026 kuhusu hoja ya KATIBA MPYA. Makamu wa Rais Dkt. Emmanuel John Nchimbi anasema serikali inataka KATIBA MPYA, Rais Samia anataka KATIBA MPYA na CCM...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Nani hataki Katiba Mpya katika hawa watawala. Uchambuzi makini huu hapa. Nani ni mnafiki

    C&p Juzi, Tarehe 24/07/2026, Makamu wa rais, Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwa kwenye mkutano mkuu wa 15 wa mtandao wa watetezi za haki za binadamu, ametoa hotuba iliyopokelewa kwa hisia tofauti Hii ni kwa sababu hotuba yake imekinzana na kauli za awali zilizopata kutolewa na bosi wake, rais...
  19. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Pendekezo la timeline ya Katiba Mpya 2026-30

    Mchakato wa kupata Katiba Mpya nchini Tanzania unashauriwa kuchukua wastani wa miaka mitatu (2026–2029) ili kutoa nafasi ya kutosha kwa maridhiano ya kisiasa na ushiriki mpana wa wananchi. Kulingana na mapendekezo ya hivi karibuni ya wadau wa demokrasia, serikali, na Tume ya Jaji Chande (2026)...
  20. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Nchimbi aomba nguvu ya Umma kupata katiba Mpya

    Ndugu Nchimbi kaja kuomba nguvu ya umma isaidie kupatikana kwa Katiba Mpya, hili inamaana viongozi na serikali waeshakwama, Je ni nani anakataza isipatikane katiba Mpya? Mtu huyu ana nguvu kiasi gani? Hii ni wake up call,Katiba haitopatikana bila mnyukano mkali na mtu huyu asiyependa katiba...
Back
Top Bottom