Natumai ni wazima wakuu zangu
Ni siku mpya tumeweza kupata zawadi ya uhai na uzima, ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu ambaye ndio mpaji wa vyote.
Kuna wagonjwa mahospital, wafungwa magereza, vita, majanga ya asili, vifo nk.. ukiona umeamka huna changamoto hizo, inakupasa kushukuru sana...