katiba mpya tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Katambi: Ajenda ya katiba mpya sio ya wapinzani ilianza tangu Awamu ya Nne chini Kikwete

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema Ajenda ya Katiba Mpya sio Ajenda ya Wapinzani bali ni ajenda ya Chama cha Mapinduzi (CCM) iliyoanza tangu Awamu ya Nne chini ya Uongozi wa Rais wa Awamu ya Nne, Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ambapo Rais wa Awamu ya Sita, Dkt. Samia Suluhu...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Ado Shaibu: CCM na Serikali hazina nia ya dhati ya KATIBA mpya

    Mbunge Ado Shaibu wa jimbo la Tunduru Chama cha ACT-Wazalendo amewasilisha hoja nzito akibainisha kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan hazina madhumuni ya dhati ya kuwapatia Watanzania Katiba Mpya. Akizungumza katika Kongamano la Vijana...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mpina: Sijawahi kuona Serikali inayovunja Sheria na Katiba kama ya Awamu ya Sita

    Naibu Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amesema hajawahi kushuhudia Serikali inayokiuka sheria na Katiba kwa kiwango anachodai kufanyika katika Awamu ya Sita. Amesema katika kipindi chake cha miaka 20 akiwa Mbunge, ameshuhudia awamu mbalimbali za uongozi, lakini hali ya sasa ni...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Buberwa: Watawala wanaamini kwasababu wao wana silaha, wanaweza kumkamata Raia wakati wowote, hii haimalizi tatizo

    Mchambuzi wa masuala ya siasa Kaiza Buberwa amebainisha kuwa nchi inaendelea kukabiliwa na changamoto za kisiasa kwa sababu watawala wamekuwa wakiahirisha matatizo badala ya kuyapatia ufumbuzi wa kudumu. Amesisitiza kuwa Katiba ni mamlaka ya raia kuweka mwongozo wa jinsi nchi inavyopaswa...
  5. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Ni mambo gani ungependa yazingatiwe katika Katiba Mpya?

    Ni reforms zipi au mambo ungependa katika mpya izingatie? ✅️ Mamlaka ya Riasi yapunguzwe na Uhuru wa mihimili yote ✅️ Zuio la mwenyekiti wa chama tawala kua Raisi wa Nchi ✅️ Ardhi ya Tanzania iwe mali ya wananchi, si Raisi, kasoro mali asili Serikali imiliki 70% ya ardhi huru na kuwapa...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Heche: CHADEMA haitafanya maridhiano na CCM bila mpatanishi wa kimataifa

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche Juni 25, 2026 kwenye mahojiano na kituo cha Redio, cha VOS amesema kuwa chama hicho hakiko tayari kuingia kwenye maridhiano yoyote na Chama Cha Mapinduzi (CCM) bila uwepo wa mpatanishi wa kimataifa (mediator) asiyekuwa na upande, akitolea mfano wa...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Prof. Mkumbo: Ajenda ya Katiba mpya ni ya CCM, hakuna mwingine mwenye ajenda hiyo nje ya Chama kinachotawala

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amewashukia wanasiasa wanaozunguka nchi nzima kufanya mikutano au kutishia maandamano kwa kigezo cha kudai Katiba Mpya, akifafanua kuwa ajenda hiyo si mali ya upinzani bali tayari imeshaahidiwa kupitia llani ya Uchaguzi ya...
  8. W

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yaunda Kamati Maalum ya Upatikanaji wa Katiba Mpya

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeunda kamati maalum ya Katiba mpya, itakayohakikisha katiba mpya inapatikana kabla ya 2027. Akizungumza na waandishi habari leo tarehe 17 Juni 2026, John Mnyika Katibu Mkuu wa chama hicho amesema kuwa kamati kuu imeunda Kamati hiyo yenye wajumbe...
  9. Egnecious

    JamiiForums Tanzania CHADEMA nendeni kwenye maridhiano ndipo mdai Katiba Mpya

    MNYIKA unadai Bajeti ya katika mpya kwenye Serikali Ipi? nyinyi hamuitambui Serikali lakini mnataka bajeti iweke takwa lenu,kwanza mnachopaswa ni kuitambua Serikali halali ya awamu ya sita kisha mkae chini kwenye maridhiano haya mengine yote yatafanyika ama lah endeleeni na siasa zenu za...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania John Heche: Said Issa si Mtu maalum, ametumika kudhoofisha kampeni ya Free Lissu, hoja ya Fair election na katiba mpya

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, John Heche, amesema; Saidi Issa Mohamed ni mwanachama tu. Sisi tuna wanachama milioni nane. He is not special. Ni mwanachama wa kawaida tu. He is not special! Hata mimi nikitoka kwenye umakamu nitakuwa mwanachama wa kawaida...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ally Hapi: CHADEMA kila siku Katiba Mpya, Katiba Mpya inatuletea Ugali mezani? Wananchi wanataka hoja, siyo malalamiko

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Taifa, Ally Salum Hapi akiwa Shinyanga Juni 4, 2026 amesema; "Chama chenye sera nzuri, ni chama cha Mapinduzi. Wamepewa fursa ya kusema, waitumie fursa hiyo kusema. Lakini sasa saa nyingine mnashangaa, kila wakizungumza hawasemi shida za wakulima...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Prof. Mkumbo: Mchakato wa Katiba Mpya utaendelezwa ulipoishia

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo katika Mkutano wa Tume ya Taifa ya Mipango na Waandishi wa Hanari kuhusu Maelezo ya Utekelezaji wa DIRA2050, Ikulu Dar es Salaam 31 Mei, 2025 amesema; "Ndio maana umeona kwenye dira, kwenye mpango mrefu, na hata kwenye...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mnyika: Barua ya Msajili ni Hila za Kuizuia CHADEMA, Tuendelee na Ajenda ya Katiba Mpya! Free Lissu! Mpaka kieleweke!

    Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, leo Mei 16, 2026 akiwa Katoro amesema; "Niseme mambo machache mawili tu. Moja, niseme ni kweli tumeandikiwa barua hiyo na msajili wa vyama. Ni mwendelezo wa hila za kutaka kuizuia Chadema kuendelea kuwaunganisha Watanzania...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Katiba Mpya inahitaji utulivu, tusiandike Katiba ya hasira, iundwe kamati kusikiliza maoni ya wananchi

    Mwenyekiti wa Tume, Jaji Mohamed Chande Othman, amesema ni maoni ya Tume kwamba ni muhimu Katiba Mpya ipatikane ifikapo mwaka 2028 ili iweze kutumika katika uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa mwaka 2029 pamoja na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2030. "Maoni ya Tume kwamba ni muhimu Katiba Mpya ipatikane...
  15. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Katiba Mpya Tanzania: Mchakato wa kumpata mgombea mwenza uwe sawa na wa Rais

    Kitendo cha mgombea urais kuchagua mgombea mwenza (finger picking) kinaleta Makamu wa Rais dhaifu, ambaye Rais anapofariki makamu anapokuja anapwaya na kushindwa kuendeleza dira ya taifa. Katiba Mpya ya Tanzania inapaswa kuweka mchakato wa kumtafuta Mgombea Mwenza sawa na ule wa kumtafuta...
  16. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea urais Chama cha MAKINI: Mkinichagua ndani ya siku 100 za kwanza nitafanya mabadiliko kidogo ya katiba ya Tanzania

    Serikali ninayokwenda kuiunda nitaunda serikali ya umoja ya kitaifa ambapo ahadi yangu kwa Tanzania baada ya kuchagua kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ndani ya siku 100 za kwanza nitafanya mabadiliko kidogo ya katiba yetu ya Jamuhuri ya Muungano Tanzania ili tu iweze kutambua...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea Urais wa NCCR-Mageuzi, Haji Ambar Khamis aahidi Katiba mpya ndani ya siku 100

    Mgombea Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama NCCR- Mageuzi, Haji Ambar Khamis akiwa ameambatana na Mgombea mwenza, Everylin Munisi, amechukua fomu ya Urais katika Tume Huru ya Uchaguzi Jijini Dodoma leo August 15, 2025 huku akiahidi kuwa endapo Watanzania watamchagua kuwa Rais atahakikisha...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 RC Chalamila: Kubadili Katiba Miezi mitatu kabla ya Uchaguzi Mkuu, Haiwezekani

    Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema kuwa mchakato wa kupata katiba mpya si jambo jepesi hususan kwa kipindi cha miezi mitatu iliyobakia kuelekea uchaguzi mkuu. "Si jambo jepesi Asubuhi ukaamka Katiba ikawa imebadilika" "Miezi mitatu hii ambayo tumeibakisha mkakaa na majopo...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Maggid Mjengwa: Sielewi ajenda ya CHADEMA wanataka nini? Wanasema wanataka Katiba, hii sio ajenda ya mwananchi

    Wakuu! Hivi mnamwelewa Maggid Mjengwa kwa tafakari za kisiasa? 🤔 Maggid anasahau kuwa Katiba ndiyo chombo cha kuuongoza mfumo. === Maggid Mjengwa, Mchambuzi wa Masuala ya Siasa "Sielewi ajenda ya CHADEMA wanataka nini? Wanasema wanataka katiba, hii sio ajenda ya mwananchi kwamba itamtoa...
  20. Mathanzua

    JamiiForums Tanzania Wazo la siku: Katiba bora ni nzuri, lakini vizuri zaidi ni uadilifu wa wasimamizi wa Katiba hiyo

    Katiba Bora ni kitu muhimu, hilo halina mjadala na ubishi. Lakini mwisho wa siku kama wanaoisimamia hiyo 'Katiba Bora' ni wezi, wachumia matumbo, majitu yenye ubinafsi uliokithiri na wasiokuwa na uzalendo; basi Katiba bora yo yote huwa ni bure ghali. Rais Magufuli, Rais wa tano wa Tanzania...
Back
Top Bottom