overrated

"Overrated" is a song by English singer Siobhán Donaghy, released as the lead single from her debut studio album Revolution in Me (2003). It was released two years after her controversial departure from girl group the Sugababes. "Overrated" was written by Donaghy, Cameron McVey and Paul Simm, and produced by McVey. It is a guitar-led pop song about the experiences of disappointment and misery. The song received favourable reviews from critics, who praised Donaghy's vocals and McVey's production. The single became her biggest hit to date, reaching the top twenty in the United Kingdom, and achieving chart success in Australia, Ireland, and the Netherlands.

View More On Wikipedia.org
  1. Robert Heriel Mtibeli

    Mambo mengi ni ya kawaida ila wameyakuza na kuwafanya watu dhaifu kuyaogopa isivyostahili. Usiwe dhaifu

    MAMBO MENGI NI YAKAWAIDA ILA WAMEYA- OVERRATED NA KUWAFANYA WATU DHAIFU KUYAOGOPA ISIVYOSTAHILI. USIWE DHAIFU. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Kama ni msomaji wa makala zangu utagundua kuwa moja ya mambo ninayoyarudia ni pamoja na suala hili la uongo wa makusudi unaovumishwa ili kuathiri...
  2. Superficial

    Sioni sababu ya Mainoo kuwa overrated kiasi hiki na Man UTD

    Kusema kweli huyu dogo mainoo wa Man UTD wamezidi kum overrate mpaka inafika stage unajiuliza kwa kipi alichofikisha au ku achieve. Sasa nilikuwa najiuliza je ingekuwa cole pamer angekuwa man utd na kwa performance ya namna hii msimu huu situngemkuta adi kwenye billboards aisee😂😂 Ila kiukweli...
  3. MFALME WETU

    Pesa iko overrated

    kila kitu kina thamani kama hauna. Kipindi nipo mdogo nilikua na imagine the way ntavokua naspend nikipata hela kama kujenga jumba la kifahari, kudrive ndinga kali, kubadili wanawake na safari nyingi za nje ya nchi zisizoisha but guess what? things turned out to be against my imagination. Hizi...
  4. Kiboko ya Jiwe

    Wanawake hamna maajabu, tunatumia pesa nyingi bure!

    Mimi kama kawaida, niko upande wa wanaume na katu siachi kuwasanua wanaume wenzangu juu ya utapeli wa kingono. Hakuna maajabu. Nimefanya tendo la ndoa na wanawake wengi nimegundua kuwa hakuna jipya, wanawake ni overrated. Ukimwaga ndio utajua hili ninalolisema. Tunatumia pesa nyingi kuwinda...
  5. ndege JOHN

    Supu is overrated

    Supu ya nyama ina nini cha ziada Mimi naona kama ni maji tu,unakuta mtu anakunywa mapombe too much akiamini supu yenye kakipande kamoja cha nyama inasaidia kutibu madhara ya pombe alizokunywa. At least Ki dogo iwe supu nzito yenye viazi, karotihohonyama pc 5 ila sio supu hizi za uswahilini za...
  6. Championship

    Tunduma iko overrated, haipaswi kufananishwa na Mafinga wala Kahama

    Nimefika Tunduma jana nikashangaa sana imekuwaje hii sehemu ikafananishwa na eneo kama Kahama. Tunduma haifiki hata nusu ya Mafinga. Huu mji upo too local na umejengwa kiholela. Nyumba nyingi ni duni sana. Naweza kusema pia Mafinga ni robo tatu ya Kahama maana angalau pale pana viwango.
  7. badison

    Jeshi la Marekani Hamna kitu zimebaki sifa tuu in short US military is overrated

    Jeshi la Marekani linasifika kwa silaha za kisasa iwe za nyuklia, biolojia au kemikali. Bila kusahau mindege yao mikubwa, nyambizi za kisasa, aircraft career nk. Ila ukweli ni kwamba Marekani haijawahi kushinda vita vyovyote vile. Wala Marekani haijawahi kupigana na kushinda vita vya muda...
  8. D

    Messi ndie most overrated Player ever

    Kwa kweli mambo yamekuwa ya siku nyingi sana mpaka yanakaribia kutapisha sasa. Messi aliwezaje kushinda tuzo ya Man of The Match katika mechi ya fainali jana mbele ya Mbappe, Martinez au Di Maria? Kwa kipi kilichomfanya awe mchezaji bora wa mashindano? Vyombo vya habari vya Magharibi ni ovyo...
  9. zitto junior

    Je, CCM na TISS wanakuzwa nguvu zao kuliko uhalisia (Overrated)?

    Kumekuwepo na propaganda ya miaka mingi kuwa CCM inajua kuandaa na kulea viongozi sio tu ndani ya nchi mpaka nchi jirani (Enzi za Mwalimu) nakumbuka hta Mhe.Polepole alisema wana master plan ya kuongoza nchi mpaka 2075!! Kinachonishangaza toka Mama SSH aingie madarakani ni kama vile CCM...
  10. Vawulence

    Djuma ni overrated player

    Jana kwa mara ya kwanza nilitazama mechi baina ya Yanga na Ruvu. Nilimtazama kww makini mchezaji Djuma Shaban aliyesajiliwa kwa mbwembwe na kuwekwa kurasa za mbele za magazeti. Kusema kweli hana maajabu hata kidogo. Anapoteza mipira kizembe sana, hana utulivu mchezoni. Mwanzo...
  11. isajorsergio

    List ya wachezaji mpira overrated

    Habari 👋🏾 Kumekuwa na wimbi la wachezaji wa soka wanaopewa uwezo ambao kiuhalisia hawana na mara nyingi wanakuzwa na waandishi wenye mawazo hasi na vyombo vya habari vilivyojijenga katika propaganda. Tafiti ndogo niliyofanya inaonyesha wachezaji kuwa overrated hutokana na chuki dhidi ya klabu...
  12. Stephen Ngalya Chelu

    Ni chakula, tunda au kinywaji gani unaona kipo overrated/underrated?

    Kwa upande wangu, Underrated Makande: Nimekuwa nikiona watu wakiyadharau sana makande eti kwamba ni chakula cha ajabu ila kwa mimi naona makande hayapewi heshima inayostahili. Jamii zote za makande kama; makande njugu, makande maharage zina mabalaa yake. Halafu itokee siku hiyo likachanganuwa...
Back
Top Bottom