maisha

  1. Fbn

    Katika watu wanaishi maisha ya rahaa mfano ni prof mussa juma assad.

    Sijui kama kuna watu wanajua utakufa na maisha yako ndio mwisho. Ila mzee prof mussa juma assad. na wale idara yote ukaguzi sijui wameumbwaje na wengi sana wanaoshika hii idara. Hata ukipewa hii idara inaonesha ni bora kujiepusha na maovu ya unayosema kila siku kuhusu ushenzi wanchi. Ukiwa...
  2. kyaibumba

    Pamoja na vita maisha ya Ukraine yaendelea kawaida na wanakula bata zaidi ya Mwanamatumbi

    Juzi nilienda lviv japo ilikuwa naaminishwa kuwa wanaume wakiingia hawaruhusiwi kutoka, Lakin nimeingia nikatoka kawaida watu shughuli zao zinaendelea kawaida tu Ila maeneo ya Mashariki huko dnipro ! Khakive ndo kuna shida mizinga wanaisikia kawaida tumeruka music na mke wangu na familia then...
  3. britanicca

    EPISODE 01: Maisha yalivyo magumu kwa watoto wa kike wanaoenda Nje, hasa Asia

    Naaaam Jumapili fulan tulivu Ewe Mzazi usithubutu kumruhusu mwanao Kwenda kufanya kazi Dubai , Thailand na Maeneo mengine ya Asia hasa akiwa wa kike Hili ni suala gumu lakini muhimu kulizungumzia Wengi husikia "Dubai au China au Thailand ni pesa na kula maisha" lakini upande mwingine ni...
  4. funaku

    Trend ya Wabongo kuiga maisha ya Movie za 70s na 80s na kufanya ndio maisha yao bora kwa sasa

    Nacheka na inashangaza kuona namna wabongo wengi kwa sasa badala ya kuiga maisha na megacy za machifu au wazee wa mila wao wanaiga maisha ya miaka ya 70s au 80s ya walami. Karibuni kwa mjadala
  5. Papillon 1906

    Kujua maisha ni nini tembelea sehemu tatu

    1. Hospital 2. Jela 3. Makaburini Hospitalini utajua afya ni utajiri mkubwa. Jela utajua umuhimu wa uhuru Makaburini utathamini umuhimu wa maisha. Kuwa mtulivu!
  6. Papillon 1906

    Nani anafurahia maisha kati ya alieoa au alie kuwa single?

    Ukiwa kwenye ndoa ukitaka kuwa na furaha lazima na mwenza wako awe na furaha lakini ukiwa pekeako unafurahia uhuru wako wewe unachagua nini? Ukioa uwezi kulala bila ruhusa ya mwenza wako lakini ukiwa pekeako unachagua wewe muda gani ulale bora kipi?
  7. M

    Huyo mpenzi wako wa maisha vipi kwenye changamoto una uhakika atabaki ?

    Biashara ikiyumba hadi kufirisika Ukifukuzwa kazi Kupatwa changamoto kubwa za afya au ulemavu Kufungwa Jela n.k.
  8. instinct desire

    Waasisi wa Taifa letu waliwafukuza mabeberu ili ku-mantain Tanzania's sovereignty leo chadema wanawatumia mabeberu ili kuhujumu Tanzania's sovereignty

    Chadema haikuanzishwa ili kupingapa na dhamira ya waasisi wa Taifa letu ya ku-mantain national sovereignty. Nashangaa kuona Leo hii chadema wanafanya siasa kwa mgongo wa mabeberu hii ni aibu na ni ujinga mkubwa. Chadema haikuanzishwa ili kuirudisha nchi kwenye utawala wa mabeberu, chadema...
  9. britanicca

    Nje ya siasa ntakuja na Simulizi ya Maisha ya waafrika nje ya Africa na wanavyopata pesa Asia, Ulaya na Marekani, wengi wanawake wanateseka episode 10

    Nje ya siasa Kidogo Uzi huu utawasaidia wale wanaojitosa hasa watoto wa kike mabinti Kwenda Ulaya (Hapa hawateseki sana) Asia(China, India, Nepal, Thailand ,Hongkon, Malaysia , Macau, Philippines , Singapore, Indonesia, Laos, Vietnam) haya maeneo yote nshayapitia na kuona wadada wanavyoteseka...
  10. 2019

    Shangilieni ushindi kwa Iran kwa maana maisha yanaenda kuwa rahisi sasa

    Kama kichwa kinavyoeleza dunia nzima inapaswa kushangilia ushindi wa vita kwa Iran. Masharti yaliyowekwa na Iran US ameyakubali hii inaonesha mshindi ni Iran. Mashati ya Marekani yote alikataliwa, machache haya 1. Kutotengeneza makombora 2. Kutorutubisha uranium 3. Kufungua mlango bahari...
  11. mwehu ndama

    Tunaotegemea ulozi katika maisha yetu tukutane hapa

    Huu ni Uzi maalumu kwetu sisi vigagula , kwa ajili ya kupeana update za dawa mpya na michanganyo yake kwa lengo la sisi kupandishwa vyeo makazini, kuwaroga mabosi zetu watuachie Mali , kuroga wazungu, kujipatia Mali za kilozi n.k Binafsi tayari Nina mchanganyo mpya wa jinsi ya kuwavua na...
  12. D

    Punguzeni Ushauri Kwenye Maisha ya Watu!!

    Acheni watu waishi wanavyotaka kwani ndani yake Kuna msivyovijua.
  13. R

    Abdul Nondo: Maisha yetu ni siasa, huwezi kujitenganisha na siasa

    "Vijana kukosa ajira ni serikali kutokuamua kuchukua hatua. Uwepo wa ufisadi na ubadhirifu ni serikali kutokuamua kuwajibisha, wameamua kujilinda na kukaa kimya. Maisha yetu ni siasa, kila siku huwezi kujitenga na siasa. Aristotle, mwanafalsafa mashuhuri anasema mwanadamu ni kiumbe cha kisiasa...
  14. chakii

    Moshi: Kijana wa bodaboda apoteza maisha baada kukimbizwa kugongwa na gari la Polisi akihisiwa kubeba mirungi

    Gari ya polisi Rombo yadaiwa kumgonga dereva pikipiki aliyedaiwa kuwa na mirungi nakuondoka na mwili, barabara yafungwa RPC asema barabara ishafunguliwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amesema barabara ya Rombo na Moshi imefunguliwa tena baada ya kufungwa kwa zaidi ya saa...
  15. ShesRise_1

    Ladha ya maisha unaipata kwenye nini?

    Ladha ya maisha unaipata kwenye nini? Watu husema bila afya, maisha hayana ladha Wengine husema bila pesa, maisha hayana ladha Kuna wanaokunywa pombe wakiamini ndiyo njia ya kuonja ladha ya maisha na kujisitiri na mawazo ya kila siku Wengine huona raha na ladha ya maisha kupitia mapenzi na...
  16. N

    Natafuta Original Content (OG) za Maisha ya chuoni

    Habari wanajamii, Natafuta watu binafsi, creators au timu zenye Original Content (OG) zinazohusu maisha halisi ya wanafunzi wa vyuo vikuu na vijana waliotoka vyuoni. Maudhui ninayohitaji ni pamoja na: Burudani na maisha ya kila siku ya wanafunzi Elimu na maendeleo binafsi Mahusiano na...
  17. Kevzy

    Kama ungezaliwa tena ungependa uishi maisha gani? Kulingana na experience yako ya maisha ya sasa

    Kamwene Streight to the point / swali sio la kijumla ni la kibinafs, ningependa niwe kama hivi tu nilivyo ili hali ya moyo wangu ibadilike kidogo, nimekuwa na moyo wa huruma kupitiliza Ikitokea nimepita barabarani na mtu asiyejiweza kunizidi akiniomba pesa au msaada na kwa mda huo pengine sina...
  18. chakii

    Hatukuyazoea maisha ya Polisi na Wanajeshi kutapakaa mitaani, Nani ametufikisha hapa?

    Watanganyika hatukuzoea maisha haya ya askari polisi na wanajeshi kutapakaa mtaani saa 24 wakishinda kwenye vituo vya mwendokasi na makutano ya Barabara, wakiwa na mitutu ya Bunduki pamoja na magari ya kivita shida kubwa nini hasa? Tanganyika tumegeuka Somalia au Congo DRC pamoja na nchi...
  19. realMamy

    Ni kitu gani kizuri umewahi kufanyiwa na kimeacha alama katika maisha Yako?

    Mara nyingi watu hukumbuka mabaya tu waliyopitia au kufanyiwa katika maisha Yao na watu mbalimbali. Lakini leo ningependa tujue mambo mazuri ambayo watu wamefanyiwa na yameacha alama katika maisha Yao. Pengine watu waliozea kuwafanyia watu mabaya watajifunza kitu. Karibuni watu wangu wa Nguvu.
  20. M

    Maisha yangu mpaka kukata tamaa na kujikuta naangukia kwenye mikono ya shemeji yangu kikazi

    Kama Mlivyoona Kwenye Kichwa Hapo Juu Nataka kushea Story ya Maisha YANGU Kidogo Kama watu mtapata namna ya Kujifunza au kuburudika sawa Tuu.....ila story Ni ya kweli lakini Nitaichakachua kwa Asilimia 50 ili Kuficha ukweli na Baadhi ya Washiriki wasitambulike ....... KWAHIYO itakuwa Ukweli 50%...
Back
Top Bottom