maisha

  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Katiba ya Kenya ya 2010 yatimiza miaka 16: Je, imebadilisha maisha ya Mwananchi wa kawaida?

    Kenya leo inaadhimisha miaka 16 tangu Katiba ya Kenya ya 2010 ilipotangazwa rasmi tarehe 27 Agosti 2010, chini ya uongozi wa Rais wa wakati huo, Mwai Kibaki. Katiba hiyo ilileta mabadiliko makubwa katika mfumo wa utawala nchini, ikilenga kupeleka mamlaka karibu na wananchi, kulinda haki zao na...
  2. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Tanga: Said Yunusu (20) ahukumiwa jela maisha kwa kumlawiti mtoto (11)

    Mahakama ya Mkoa wa Tanga imemhukumu Said Yunusu maarufu kama Big Sela (20), kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti Mtoto mwenye umri wa miaka 11. Akisoma hukumu hiyo, Hakimu Mwanaheri amesema Mahakama imeridhishwa na ushahidi uliowasilishwa na Upande wa Mashtaka...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu ya Maisha ya Dolly Parton: Malkia wa Muziki, Muunganishaji wa Jamii na "Nyumba Aliyoijenga Whitney Houston"

    https://www.youtube.com/watch?v=GnLITwQf8s8&list=RDGnLITwQf8s8&start_radio=1 https://www.youtube.com/watch?v=3JWTaaS7LdU&list=RD3JWTaaS7LdU&start_radio=1 Wana-JF, Leo tunamkumbuka mwanamuziki wa kipekee, mfanyabiashara, na mwanaharakati wa kimyakimya wa haki za binadamu, Dolly Parton...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Dr. Alex Malasusa unajua VC wa TUMA hajalipa mishara mpk leo wakati yeye akiwa anakula maisha?

    Yule bwana Faustine Mahali siyo mtu, amemtoa mtoto wake sadaka akiwa ana uhusiano na binti moja wa KIBENA ndg wa mke wake anaitwa KISAVYAKE. Mpaka leo hajalipa mishahara akiwa nje ya ofisi anakula maisha. Mwaka jana kuanzia mwezi wa 8 mpk wa 12 hakulipa mishahara. Hv kanisa KKKT ni la...
  5. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa mfano Rais ghafla akapoteza maisha nchi inaongozwaje

    Sory naomba kujua kwa kuwa makamu ameshatangaza kujiudhulu na Rais akapokes barua yake ya kujiudhulu akadhibitisha.alafu hapo hapo au siku kadhaa kabla Rais hajateua Makamu wake ghalfa ikatokea(japo hatuombei itokee)Rais nae akafariki je!tutapiga kura upya kumpata Rais mwingine au nchi...
  6. Nestory Semeni

    JamiiForums Tanzania Maisha Yanapokuwa Magumu:

    Huenda wewe ni mfanyabiashara, Mwajiriwa, Au umeniajiri, Huwa unafanya ninibunapoona gafla mambo yamebadilika? kipindi hicho unafanyeje usikate tamaa na uendelee kupambana? Mimi natumia njia hii; - Kujitenga na kuliangalia swala kwa undani - kujua kwa nini limetokea na mimi...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi wa Wimbo wa "Mizele" wa Mayaula Mayoni: Sanaa, Simanzi na Maisha

    Utangulizi: Kutoka Uwanja wa Fisi na Yanga hadi Jukwaa la Muziki Fred Mayaula Mayoni (1945–2010) alikuwa msanii wa kipekee na mwenye historia ya kuvutia iliyounganisha mataifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Tanzania. Katika ujana wake mnamo miaka ya 1960, Mayaula alikuja na kuishi...
  8. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Tanzania Maisha Bila Mazoezi: Mnakabiliana Vipi na Stress?

    Wakuu nisiwachoshe msinichoshe leo nina swali dogo tu kwenu. Ivi msiofqnya mazoezi huwa mnakabiriana vipi na 1.Msongo wa mawazo na sonona 2.Tatizo la nguvu za kiume 3.Kusosholaizi na watu 4.Ukakamavu 5.Credibility Mnaishije???????
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo sababu ambazo hupelekea wakati mwingine umeme kukatika katika

  10. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu kwa maisha ya zamani sasa hivi tungemsoma kama Nabii mkubwa

    Hamjambo! Bila kuwa na maneno mengi. Ni hakika katika nchi yetu kama ingekuwa zamani basi leo hii tungekuwa na Nabii aitwaye Tundu Antipas Lissu. Anatimiza vigezo vyote vya kuwa Nabii. Nimewasoma kina Daniel, Ezekiel, Kina Yeremia, kina Isaya na wengineo. Kwa mambo anayoyafanya Lisu ni wazi...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Muendelezo wa miujiza ya Mungu kwenye maisha yangu.

    Habari wakuu,mara ya mwisho nilisimulia hapa jinsi ambavyo nilipitia kipindi kigumu kwenye maisha yangu baada ya kupoteza kazi ikafika kipindi nakosa hata shilingi 100 ndani na nina familia ila baada ya kuattend maombi ya fulani mambo yakafunguka hapo hapo Story yenyewe hii hapa...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Kuna maisha baada ya na maisha kabla ya

    Maisha yanafikirisha sana Mim ni form 4 point 29 enz hizo 2011 .Kichwani nipo empty kiasi chake Yote ni mipango ya Mungu .ckuwa na wazazi mambo ni mengi Tena hayaelezeki, Wabongo. wanasema mambo ni meng mda mchache, Kuna huu msemo 'AIBU UTAONA WEWE'- msemo wenye maana kubwa na fikrishi sana...
  13. livingroom_espionage

    JamiiForums Tanzania Kitambaa cheupe, sijui ni nini kinaendelea ila wakati mwingine Maisha ni Bahati tu

    Sijawahi kikutana na huyu Dada, ila nakumbuka tokea enzi za fastjet, mpaka ki grocery kwenye frame moja pale tabata, mpaka baa kubwa, Tabata, sinza na mbagala, Mara kuna ile microfinance, mara ile biashara ya Real estate na kadhalika. Sijui ila kimpangia mtu maisha sio vyema nadhani huyu Dada...
  14. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Wanaodai kwamba Jiji la Dodoma Linaongoza Kwa Maisha Ghali Hawajawahi Ishi Arusha.Dar level ya Maisha unapanga mwenyewe kuanzia ya chini Hadi Juu.

    Mtu hajatembea harafu anafika conclusion.Tafureni pesa acheni kulalamika.
  15. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Lindi: Alli Hamisi Mbelenje (30) ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumlawiti mtoto wa miaka 8

    Mahakama va Hakimu Mkazi Lindi imemhukumu Alli Hamsi Mbelenje (30), mkazi wa Kijiji cha Makonde, Kata ya Mtama, Wilaya ya Lindi, kifungo cha maisha Gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kosa la kumlawiti mtoto wa kiume, Mwanafunzi wa darasa la nne mwenye umri wa miaka nane Hukumu hiyo...
  16. B

    JamiiForums Tanzania Jamaa na Marafiki Wanasherehekea Miaka 80 ya Profesa Issa Shivji: Maisha, Uanazuoni na Harakati

    22 August 2026 https://m.youtube.com/watch?v=4x2ejQJnBQk Marafiki, wanazuoni na makamaradi wanampongeza proffesa Shivji kutimiza miaka 80 ya maisha yake na mchango wake katika jamii kupitia kazi zake za uwakili, mwanazuoni uanaharakati pamoja na maandishi mbalimbali ambayo ameandika kuwahusu...
  17. Silent King

    JamiiForums Tanzania Watu wanne ambao unatakiwa kuwasamehe kwenye maisha yako

    Wa kwanza ni wazazi wako, Yes wazazi wako,wazazi wetu kwa namna moja au nyingine kwenye makuzi yetu kuna mambo ambayo huenda sio kwa ubaya au bila wao wenyewe kujua,tunajikuta wametukwaza sana na kutuachia majeraha makubwa sana. Tumekuwa tukiwalaumu,tukiwa chukia na saa nyingine kutopenda kuwa...
  18. G

    JamiiForums Tanzania Upasuaji wa Tezi Dume Ukisaidiwa na AI Unavyowasaidia Wanaume Kurudisha Hali Yao ya Kawaida ya Maisha

    Mkisukumo wa maji wa kiroboti ukisaidiwa na AI (Akili Mbandia) unawasaidia wanaume waliovimba tezi dume kurejesha ubora wa maisha yao, huku mgonjwa mmoja akisema matibabu hayo yamempa "maisha ya kawaida tena." Hospitali ya General ya Cheltenham imekuwa kituo cha umahiri katika eneo la kusini...
  19. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Kitabu Cha Maisha ya John Lyimo Mwanasoka Nguli wa Tanganyika Enzi za Gossage Cup

    Kulingana na chanzo kipya kuhusu magwiji wa soka walioachwa, simulizi ya Mohamed Said inamwangazia John Robert Limo (John Limo), mchezaji hodari wa miaka ya 1960 aliyekuwa akicheza timu ya TPC mjini Moshi na baadae kuandika kitabu cha maisha yake ya soka. Hizi hapa ni nukuu muhimu kumhusu yeye...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Umewahi kupitia kipindi gani kigumu kwenye maisha?

    Wakuu, Nimepita huko kwingine nikakutana na hii video ya huyu mdada ambaye ni dereva wa bolt, aneleze nyakati ngumu alizopitia katika mapambano ya kujitafuta kimaisha, lakini kikubwa kutoka kwake ni kutokata tamaa "Kupoteza pesa, kupoteza biashara, kupoteza mahusiano, kupoteza ndoa ni sehemu...
Back
Top Bottom