Mzazi au mlezi, je unajisikia maumivu kuona mtoto wako:
Hajasoma wala kuandika vizuri?
Anapata tabu kuelewa masomo darasani?
Anashuka darasani licha ya juhudi zako zote?
Anaogopa masomo au hana kabisa hamasa ya kujifunza?
Usijilaumu. Watoto hawafeli kwa sababu hawana uwezo, mara nyingi...