Mafunzo Football Club is a Tanzanian / Zanzibarian football club.
The team competes in the Zanzibar Premier League.
They competed in the CAF Champions League for the first time in 2010.
Wana jamii habarini. Naomba msaada wa kujua ni wapi naweza nikapata mafunzo ya kinanda au keyboard ya mziki hapa arusha mjini. Hata kama ni mtu binafsi ila anifundishe kitaalam na awe na kinanda chake. Shukran
Unataka kufuga kwa faida kubwa lakini changamoto zimekuwa nyingi?
👉🏾 Chakula cha mifugo ni gharama, magonjwa yamekuwa kikwazo, au hujui ujenzi sahihi wa banda/bwawa?
Sasa ni muda wa kubadilisha hali hiyo!
Rubaba Media inakuletea Mafunzo ya Vitendo kwa Wafugaji, yakikupa maarifa ya moja kwa...
Vijana waliohitimu mafunzo ya jeshi la Akiba wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa wametakiwa kuishi kiapo walichoapa pamoja na kutumia vizuri mafunzo waliyoyapata katika kipindi chote Cha mafunzo ili kuendelea kuwa wazalendo.
Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi, Peter Ambrosi Lijualikali wakati...
Kitabu Rich Dad Poor Dad cha Robert Kiyosaki kinatoa masomo kadhaa ya msingi kuhusu pesa, uwekezaji, na mtazamo. Yafuatayo ni mambo makuu kumi tunayojifunza kutokana na kitabu hicho:
---
1. Matajiri Hawafanyi Kazi kwa Ajili ya Pesa
Maelezo: Baba maskini anafundisha kufanya kazi kwa ajili ya...
Wanabodi,
Niko hapa ukumbi wa JNICC ambapo Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, inatoa mafunzo ya Sheria mpya ya Gharama za Uchaguzi, kwa viongozi wa kitaifa wa vyama vyote vya siasa nchini.
https://www.youtube.com/live/joRKIIYROnk?si=1cVSWVZva0AACKkm
Karibuni
Paskali
Takribani wanafunzi 60,000 waliomaliza elimu ya sekondari nchi Burkina Faso wameanza mafunzo ya uzalendo yatakayodumu kwa mwezi mmoja kama sehemu ya kuwajengea uwezo wa kutetea na kupigania taifa hilo la Afrika magharibi linalokumbwa na changamoto za ghasia za kijahidi,
Mpango huo umepanga...
Website ya Utumishi ilikuwa msaada kwa watumishi kuona nafasi za mafunzo yenye ufadhili nje ya nchi. Lakini mwaka huu hakuna mafunzo yanayoonekana kwenye sehemu ya mafunzo, post ya mwisho ni ya december 2024. Matangazo ya nafasi za mafunzo wamehamishia kwenye kurasa zipi?
Anonymous
Thread
mafunzo
nafasi
nchi
nje
nje ya nchi
tena
utumishi
website
Husika na mada tajwa hapo juu, mimi ni part-time-employed katika sekta ya IT. nina bachelor degree ya Business Information Technology.
nimekuwa nikitoa mafunzo ya computer kwa ujumla na IT kwa wanaotamani kujua na kujifunza computer.
kuna ambao hawajapata nafasi ya kusoma haya mambo ya...
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa wazazi na walezi kote nchini kuhakikisha wanawapeleka vijana wao kupata mafunzo ya ufundi stadi yanayoratibiwa na Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) pamoja na Ofisi ya Waziri Mkuu ili kuwawezesha kupata ujuzi utakaowasaidia kujiajiri na kuchangia maendeleo...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa, amewatunuku vyeti Wafungwa 170 waliomaliza mafunzo ya ujasiriamali na stadi za biashara yaliyotolewa na Jeshi la Magereza kwa kushirikiana na Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) katika Gereza kuu Arusha.
Hafla ya kutunuku vyeti hivyo ilifanyika...
https://www.youtube.com/watch?v=9D6yvt12c8o
Updates
Ramadhan Kailima: Vyombo vya habari visipendelee chama cha siasa kuelekea Uchaguzi
Akizungumza wakati akifungua mafunzo kwa wanahabari wa vyombo mbalimbali vya habari leo Agosti 4, 2025 Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume Huru ya Uchaguzi (INEC)...
Chuo cha Ulinzi cha Taifa (National Defence College - NDC) kimehitimisha rasmi mafunzo ya muda wa wiki 47 (kuanzia Septemba 2024 hadi Julai 2025), kwa viongozi waandamizi wa Jeshi, vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na viongozi wa Serikali, kutoka Tanzania na mataifa mengine.
Mafunzo hayo...
Serikali imesema kuwa, mafunzo ya uimarishaji mpaka wa kimataifa kati ya Tanzania na Burundi yanalenga kujenga uelewa wa pamoja kati ya wataalamu wa nchi hizo mbili.
Hayo yamebainishwa leo tarehe 22 Julai 2025 jijini Dodoma na Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi...
Rais Samia ameongeza bajeti ya elimu na mafunzo kutoka TZS4.72Trilioni mwaka 2020/21 hadi TZS6.16Trilioni mwaka 2024/25 sawa na ongezeko la TZS1.45Trilioni.
Bajeti ya Elimu na Mafunzo ndio bajeti kubwa kuliko zote ikifuatiwa na bajeti ya Wizara ya Afya na huku Nishati na Kilimo zikifuatia...
Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe akiangalia mdoli wenye muonekano wa binadamu (Manikin) ambao umeunganishwa na teknolojia inayowezesha mdoli huo kujieleza namna inavyoumwa wakati huduma ikitolewa.
Midoli hii ambayo inatumika kwa mafunzo kwa vitendo (Skills Lab) katika Chuo Kikuu cha...
CHUO CHA SIKU:Chuo cha Mafunzo ya Magereza
M By monahyohana
June 27, 2025
Chuo cha Mafunzo ya Magereza nchini Tanzania, kinachoitwa rasmi Tanzania Correctional Training Academy (TCTA):
Taarifa ya Jumla
Kuanzishwa...
Wana Simba SC tutazunguka kila Kona, tutasema kila Maneno, tutatafuta Mchawi / Wachawi kila pembe ya dunia, Tutalaumiana mno, tutachukiana sana wenyewe kwa wenyewe ila Leo hii namaliza rasmi Utata kuwa Simba SC hatuwawezi Yanga SC na tusipojitathimini Kimkakati upo uwezekano mkubwa tukaendelea...
KFC ni kifupi cha Kentucky Fried Chicken, mgahawa maarufu duniani kwa kuuza kuku wa kukaanga. Historia yake inaanzia kwa mtu mmoja aitwaye Harland Sanders, ambaye alizaliwa mwaka 1890 huko Indiana, Marekani. Maisha yake hayakuwa rahisi. Baba yake alifariki akiwa na miaka sita, na hivyo...
🍞 JE, UNATAKA KUTENGENEZA VITAFUNWA VYA BIASHARA?
Kitabu hiki kinakuonesha hatua kwa hatua jinsi ya kutengeneza vitafunwa vitamu vinavyouzwa sana kama:
✅ Maandazi
✅ Chapati
✅ Vitumbua
✅ Halfcake
✅ Kababu za mayai
na vingine vingi!
📘 Softcopy PDF – Toleo la 1
💰 Bei: TZS 15,000
📱 WhatsApp: 0612...
PART 1
Kuna ukweli mmoja usiofichika wala kupingika kwamba watu wengi sana wanapenda kazi ya ushushushu, yaani Uafisa Usalama wa Taifa.Hiyo sio kwa Tanzania pekee bali sehemu nyingi duniani. Ukiingia mtandaoni utakutana na watu wengi wanaozungumzia taaluma ya intelijensia au/na wahusika katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.