macho

  1. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Hakuna uvunjifu wa amani uliofanyika kwenye mikutano ya CHADEMA. CCM wameona kwa macho yao namna wanannchi wanavyoichukia serikali CCM.

    Mikutano ya hadhara ndio kipimo cha kuonesha namna chama kinavyokubakika kwa sera na maono. Mikutano ya CCM iliyokuwa inaenseshwa na Mwenezi wa CCM Kihongosi ilikuwa inadorola. Hakuwa na hoja za msingi na hata alichokuwa anakinadi kwa wananchi hakuna aliyekuwa anamwamini. Hii ni kwa sababu...
  2. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Macho, mikono na miguu yako katika tafsiri ya kiroho

    Kwako vinaweza kuwa viungo vya kawaida vya mwili Ulimwengu wa kiroho unatambua viungo hivi kama nyenzo kuu za hatimiliki ya mwanadamu, ambapo 1. Macho yanawakilisha ufunuo na maono 2. Miguu inaashiria hatua na maendeleo 3. Mikono inabeba mamlaka ya uzalishaji. Kwa maana hiyo basi .Macho ya...
  3. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Kama taifa, yafaa kumshukuru Mungu kwa kutuonesha vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi mchana kweupe tena kwa macho ya nyama kabisa

    Wengi hawakuamini masuala ya uwepo wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, na mamluki wao, waliojificha ndani ya miongoni mwa vyama vya siasa nchini, wakiwa na nia na dhamira ovu dhidi ya taifa letu. Lakini sasa ni wazi maadui wa taifa letu, wamejidhirisha wenyewe mbele ya waTanzania na dunia...
  4. bless on

    JamiiForums Tanzania Macho ni mlango wa nafsi na silaha butu kwa wengi

    Katika matukio mengi yanayotendeka hapa duniani mtu anaweza kuficha siri lakini ukimtazama machoni kuna kitu utatambua! Moja ya Silaha kubwa sana kwa Mawakili na Wadau wengine wa haki ni MACHO......(Kuna aina 16 za mpepeso wa macho na kila mpepeso ni KIASHIRIA) kwani wanaweza kukutambua kwa...
  5. Kurunzi

    JamiiForums Tanzania Ziara za Waziri Mkuu Mwigulu Mchemba: Je, ni utatuzi wa kweli wa kero au ni Usanii na Kiini Macho? Mbona hatuoni mrejesho?

    Wana-JF, Kumekuwa na utaratibu uliozoeleka wa Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mwigulu Mchemba, kufanya ziara mbalimbali sehemu mbalimbali nchini. Katika ziara hizo, pamoja na mambo mengine, amekuwa akitenga muda wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Katika utatuzi huo, tumekuwa tukishuhudia mambo...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Trump ametufumbua Macho kuhusu nguvu ya Kijeshi ya Marekani

    Kwa matambo ya Trump hakuna mtu angeamini kuwa angepigana vita na Iran kwa kipindi chote hiki na kushindwa kupata ushindi. Hii imeonesha kuwa, Nguvu ya kijeshi ya Marekani sio kubwa kama wanavyo inadi ila inapropaganda nyingi sana kuliko uhalisia. Kwa sasa Trump anahaha kutembelea Ulaya na...
  7. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Mambo tata ya dunia hufichwa gizani, huku ukweli ukipotezwa mbele ya macho yetu✍️

    👉Chanzo halisi cha uumbaji wa dunia bado ni mjadala mkubwa wenye mitazamo ya dini, sayansi na falsafa. 👉Siri ya maisha baada ya kifo imeendelea kuwa fumbo linalowagawa wanaoamini mbingu, kuzimu au kutokuwepo kwa maisha mengine. 👉Swali la kama Mungu yupo au hayupo linaendelea kuzua...
  8. ShesRise_1

    JamiiForums Tanzania Mpaka Saa Hizi Bado Uko Macho?

    Kawaida usiku huchukuliwa kama muda wa mapumziko muda wa kuipumzisha akili na ubongo ambao pengine umefanya kazi kutwa nzima Ukiacha wale wenye shift za usiku madaktari, wauguzi, walinzi, na wengine ambao kwao muda huu ndio kama kumekucha Lakini kama wewe haupo kwenye kundi hilo halafu mpaka...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kofia(boshori) zibauso achia macho zinazoanza kushamiri mitaani sio nzuri kiusalama

    Hamjambo! 1. Siku za hivi karibuni ukipita mitaani na barabarani umezuka mtindo wa vijana kuwaona wakiwa wamevaa kofia boshori funikauso achiamacho aidha wakitembea barabarani au wakipita na bodaboda wakiwa wamepakizana. 2. Mtindo huu sio mzuri kiusalama hasa ukizngatia vijana wengi hawana...
  10. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kila nikisoma ahadi ya watakoingia peponi huwa naumizwa

    Kila nikiwaza, huwa nachanganyikiwa. Kila nikisoma ahadi ya watakoingia peponi huwa naumizwa. Ni pale ninapofikiria ahadi za baadhi ya pepo. Zinaahidi wanawake warembo wenye macho kama kikombe. Swali langu ni moja na rahisi. Je, wale wasiojiweza kingono, watafanyaje? Je, hii kitu ni kweli...
  11. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Mpumbavu hawez kua na Akili, Temba kauwawa wanasingizia 'Mganga', Mfanyabiashara Kauwawa 'Mwili umekutwa kwa ' Mganga'. Fumbueni Macho!

    Hawa Jamaa ni wapumbavu sana!! Kwao Kuua si kitu chochote Tena. Kuweni Makini , Kwasasa Kuna Mauaji yanafanyika na yataendelea kufanyika ni MIILI AU MAUAJI HAYO YATATENGENEZEWA MAZINGIRA YA KUHUSISHA NA 'USHIRIKINA" !!. Baada ya Kutafakari kwa kina, na kupitia rejea kadhaa kadhaa za Wauaji...
  12. Ileje

    JamiiForums Tanzania Kutana na Majaji macho kumchuzi

    Jaji Chande, Jaji Ibrahim Juma, Jaji Mwambegele na Jaji Francis Mutungi. Hawa ndiyo Majaji walioshusha hadhi ya mahakama hapa Tanzania. Hawa ni Majaji macho kumchuzi. Hawa ndiyo wamewafedhehesha Majaji na mahakimu wote Tanzania. Majaji hawa wameonyesha kujali sana matumbo yao kuliko taaluma...
  13. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Je WaTz Tuwe Macho na Makini Sana na Baadhi ya Majirani Zetu Wanatupenda Kweli Au?!, "I Fear The Greeks, Especially When They Bring Gifts!"

    Wanabodi, Kufuatia ziara ya jirani yetu mmoja, kwa jina la utani Kasongo, hivi karibuni nchini mwetu na kulihutubia Bunge letu, akatufungua macho kuhusu fursa za mtambo wa kusafisha mafuta ghafi, kwa ubia, na kueleza sisi ni dugu moja, tunapendana sana!. Je ni kweli sisi Africa Mashariki, je...
  14. Siri yangu

    JamiiForums Tanzania Kwamba Zanzibar kuwa majike mazuri zaidi yenye macho kama anasinzia ?

    kurekodiwa, huenda ukiwa umechochewa na mabadiliko ya tabia nchi, wanasayansi wanasema. Alionekana katika bahari ya pasifiki karibu na Colombia mwaka 2017, kisha kuzuka tena miaka kadhaa baadaye kisiwani Zanzibar katika bahari hindi - umbali wa kilomita 13,000. Wataalam wanaamini kuwa safari...
  15. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli kwamba Mungu ameamuru wanawake wavae mavazi(Hijabu) ya kufunika kila kitu hadi uso na macho?

    Ndugu zetu waislamu mnaweza kutuambia kuwa hilo ni Tamko la Allah moja kwa moja kwamba wanawake wavae hijabu ya kufunika kilakitu au pengine ni hekimu ama maoni ya mtume Muhammad S.a.w pekee? Je hii sio mila na desturi za kiarabu peke yake? Kama ndivyo Allah alikusudia hivyo mbona huku Africa...
  16. Yoyo Zhou

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Marekani yarupia macho njia ya baharini ya Bahari Nyekundu ya Eritrea

    Mlango-Bahari wa Hormuz umefungwa kutokana na vita kati ya Marekani, Israel na Iran, na jamii ya kimataifa imeanza kutafuta njia mbadala baharini. Hivi karibuni Marekani inafanya mawasiliano ya kidiplomasia na Eritrea, ambayo ni nchi muhimu ya njia za meli za Bahari Nyekundu. Kabla ya hapo...
  17. M

    JamiiForums Tanzania JF imenifumbua macho

    Nimejifunza kwamba kama taifa tuna safari ndefu ya maendeleo. Humu JF 99% ya member ni wasomi wa vyuo vikuu kama mimi. Naweza kusema ndio kinu cha kuchakata maendeleo. Chakushangaza member wengi tunafata mihemko na bila kufanya analysis. Trump anasema hivi jioni tunafata, mchana anasema...
  18. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Suala la watu kupoteza nyeti, tumesahau Ripoti ya CAG, kupanda bei ya Mafuta na Ripoti ya Chande. Fungua macho Mtanganyika!

    Aweeee, Ila serikali na CCM huwa wanajua kuchagua mambo ya kututoa kwenye reli, wanajua wakigusa nyeti na hivi wanaume 'wanadai' wao ni wachache na ongezeko la ushoga jambo litakuwa hot topic fastaaaaa! Afu jambo limesambazwa sehemu ambako litafika fasta, nimeshangaa hadi ukanda wa Gaza nao...
  19. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Nani yupo macho?

    Nani yuko macho muda huu Katika mazingira gani Ya furaha? Ya huzuni? Ya dharura? Ya sintofahamu Hospital au nyumbani? Gesti ama safarini? Peke yako ama? https://www.facebook.com/share/r/1AoHzi2ZDZ/
  20. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Lazaro Nyalandu, hili ni pozi la kuteuliwa kuwa Balozi na mshauri wa Rais Samia, kwa masuala ya kidiplomasia?

    Ili ni pozi la kuteuliwa kuwa Balozi na mshauri wa Rais Samia, kwa masuala ya kidiplomasia? Au macho yamekuwaje? Mh Rais Wenje, msigwa na Mzee wa sukuma ndani wamemkosea Nini mbona hawapi hata nafasi ya ujumbe wa NYUMBA kumi?
Back
Top Bottom