Je, hisia ni nini?
Mara nyingi utasikia mtu akisema baada ya jambo kutokea
Nilihisi tu itakuwa hivi au
Kabla hii issue haijatokea, nilihisi kuna kitu hakipo sawa
Maneno haya hujitokeza mara nyingi baada ya tukio husika kutokea
Je, hisia ndizo zinazoitwa machale?
Wengine husema :Machale...