Mkutano wa 28 wa Mawaziri wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), ngazi ya wataalamu umefunguliwa leo Julai 13, 2026, mjini Salima, Malawi ambapo wajumbe watajadili agenda mbalimbali, zinazolenga kuimarisha ulinzi na usalama, demokrasiaa na utawala...