ubunifu

  1. Vulmeko

    JamiiForums Tanzania Ubunifu wa Tundu Lissu utaleta faida au madhara kwa jamii?

    Tundu Lissu ameamua kufuata ubunifu wa wanasiasa na viongozi kama Kwame Nkrumah, Nelson Mandela, Mahatma Gandhi, Muammar Gaddafi, Julius Malema, Thomas Sankara na wengine. Hao walibuni mitindo ya mavazi na mwonekano, na wafuasi wengi katika jamii zao wakawaiga. Kuna uwezekano mkubwa watu wengi...
  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania Tujifunze biashara ya msosi ni kama ubunifu wa test

    Hii mada sikuweza kuwasilisha vizuri ila nitarudia ili kuachana na uchawi na akili za fulani kanifungulia. Biashara za misosi kitaalamu tunaita kemia ndio maana mtu anaweza kujua hii Pepsi na hii coca cola. Uwezi kwenda sehemu moja kila mtu wanapika kina fanana kama hupo gerezani. Yani leo...
  3. LIKUD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sugu ukikubali kudhulumiwa haki ya ubunifu wa wazo lako kimuziki safari hii nitakushangaa sana. Bado nasubiri response yako kuhusu hili tamasha.

    Ukiachana na mambo ya siasa, Sugu ni genius kwenye mambo ya biashara ya burudani. Fast toward, mwaka 2004 Sugu aliandaa / aliratibu tamasha maalumu la kutoa elimu ya na malaria na UKIMWI kwa vijana kwa njia ya tamasha la muziki. Sugu alienda hadi Marekani zaidi ya mara moja katika harakati za...
  4. britanicca

    JamiiForums Tanzania Ubunifu zero kabisa kupeleka makasha kwala, hatunaga watu wa mipango nchi hii

    Yaan unapeleka makasha kwala yaan “Tunayapeleka moja kwa moja Morogoro maana hata yakishuka Kwala bado yatafika Vigwaza na kuendeleza foleni ileile ya kuja Dsm na kuelekea Morogoro. WASOMI NA UPEMBUZI YAKINIFU🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭 Si afadhali kufungua ICD Dodoma ( Halfway to DRC, Burundi , Rwanda na...
  5. HONOURABLE PETER

    JamiiForums Tanzania Kuiga Biashara: Ukosefu wa Ubunifu?

    Je, kuiga na kufanya biashara zinazofanana ni kukosa ubunifu?
  6. idiomer

    JamiiForums Tanzania Hapa kwetu habari za kila siku ni ajali labda na teuzi. Wenzetu ni ubunifu na tafiti za kusaidia dunia

    Je hili mamlaka inaliona au ndio utamaduni wetu.
  7. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Karibu sana Peter Msigwa, Roho yako ni Hai kwa CHADEMA, ila Mwili ndio Ulikua Dhaifu! Akili, Uwezo, Ubunifu, Busara zako sio za kukaa CCM, Pole sana!!

    Kwa Peter Msigwa, Akili, Uwezo, Ubunifu wake ndani ya CCM Ulikua ni 'Umefungwa'. Peter Msigwa nayemfaham yeye hawezi kaa kuvumilia Watu watekwe, Kuuwawa, Kusumbua Kanisa, Kufunga wapinzani Kufungia Chama , Maisha ya Mtanzania kua Juu, Gharama kupanda ,huku Mafisadi wachache wakijineemesha ...
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yamal ana kipaji cha asili, Olise ana ubunifu wa kipekee, lakini Kvaratskhelia anakupa kila kitu

    Lamine Yamal ana kipaji cha asili (talent), Michael Olise ana ubunifu wa kipekee (flair) uwanjani, lakini Khvicha Kvaratskhelia ndiye mchezaji anayechanganya vitu vitatu muhimu kwa kiwango cha juu: uthabiti (consistency), kuibuka kwenye mechi kubwa (big games mentality), na kuwa na athari ya...
  9. McLaren

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda atangaza Wizara yake imetenga Bilioni 50 ili kuwawezesha vijana wanaojihusisha na sekta ya ubunifu

    Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imetenga mfuko wenye Sh50 bilioni kwa ajili ya kuwawezesha vijana wanaojihusisha na sekta ya ubunifu nchini, hatua inayolenga kukuza uchumi wa ubunifu na kutoa fursa zaidi za kiuchumi kwa vijana. Akizungumza jijini Arusha jana Machi...
  10. Keynez

    JamiiForums Tanzania Tanzania inakwama kwa sababu vijana wamepotezewa roho ya ujasiri, uthubutu na ubunifu

    Watawala wa Tanzania walidhani kwa kuua roho ya ujasiri, uthubutu na ubunifu kwa vijana wa Kitanzania kupitia mifumo mibovu ya kielimu, kisiasa na ya kijamii kwamba athari zake zingebaki tu katika mambo ya siasa ili kulinda maslahi ya hao watawala. Badala yake, athari za mambo haya tunaziona...
  11. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Udikteta uharibu uchumi demokrasia huleta ubunifu na maendeleo

    Jamii nyingi zilizoendelea Duniani huwa na aina Fulani ya demokrasia. Na jamii nyingi maskini Duniani hujawa na mfumo wa kidikteta. Mifumo ya kidikteta huzaa viongozi walafi, katili na wasiowekeza kwenye jamii zao zaidi ya kuwekeza kwenye familia zao. Marekani kwa sasa wana kiongozi dikteta...
  12. Damaso

    JamiiForums Tanzania Kodi ya Watengeneza Maudhui Mtandaoni: Ubunifu unakufa taratibu

    Ni Desemba 16, 2025, Kampuni ya Meta ilithibitisha rasmi kupokea ombi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) la kukata kodi ya asilimia 5 kwa kila malipo yanayolipwa kwa Watengeneza Maudhui (Content Creators) wanaoishi Tanzania. Utekelezaji wa mfumo huu unaanza Desemba 21, 2025, hatua inayozua...
  13. CHAGOSI GERALD

    JamiiForums Tanzania MAKALA YA SABA “JKT: Chuo cha Sayansi, Ubunifu na Uzalendo”

    Ndugu zangu, Kizazi cha taifa hakijengwi kwa silaha pekee. Hakijengwi pia kwa muziki wa starehe pekee. Kizazi cha taifa hujengwa kwa mafunzo ya uzalendo, sayansi, na ubunifu. Hapa ndipo JKT ilipaswa kusimama kama injini ya taifa. Tazameni ndugu zetu wa Burkina Faso, chini ya uongozi wa kijana...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara chipukizi PEDIMA aendelea kung’ara katika ubunifu na uongozi Tanzania

    Mfanyabiashara chipukizi, Peter Didas Mallya maarufu kama PEDIMA, ameendelea kuibua mvuto mkubwa katika tasnia ya biashara nchini kutokana na ukuaji wa kasi wa kampuni zake pamoja na mchango wake katika sekta za kifedha, teknolojia, afya na ajira kwa vijana. Kupitia kampuni zake Pedima...
  15. Damaso

    JamiiForums Tanzania TBC jifunzeni Kutoka kwa CGTN: Badala ya Kuisifu serikali, tumie Nguvu zenu pia kukuza Ubunifu na Utamaduni wa Kitanzania

    Wakati Shirika la Habari la China, CGTN (China Global Television Network), linaendelea kuonesha umahiri wake katika kukuza utamaduni, sanaa, na fikra za kitaifa kupitia filamu kama “The Legend of the Monkey King” na “Nezha”, Shirika la Utangazaji la Taifa Tanzania (TBC) linaendelea kutumia...
  16. N

    JamiiForums Tanzania Nilimwambia Maxence kuhusiana na ubunifu wa JamiiSpace akaniambia ni vizuri tukawa wengi kwenye kupigania uhuru wa kujielezea kidigitali

    Habari wakuu, Najua fika kuwa ni watu wachache sana wenye uwezo wa kiufundi kama huu wangu wa kuunda na kuikamilisha mifumo inayoweza kuhudumia mamilioni ya jamii, ninacho jivunia siyo utajiri wala umaarufu, bali ni ule uwezo wa kuingia kwenye mradi na kutengeneza na kukamilisha kitu chenye...
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Open University wana tabia zikibaki siku chache mwaka wa masomo uishe au Graduation ndiyo wanaanza kusikiliza shida za wanafunzi

    Ni jambo la kipumbavu sana (Mods please naomba mniache, sisi watu wazima na watanzania tunafanyiana mambo ya kijinga sana hawajui wanakwamisha madeal kiasi gani kwa wanafunzi wao) Mfano una shida yoyote ya ki Academic unaenda mpaka Dar makao makuuu, supervisor wako anakukwepa, ukipiga simu...
  18. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Godfather of Harlem S04 wameishiwa ubunifu na story waiue tu

    Wamemleta Frank Lucas ambaye sioni kama hata ana kauhalisia kwa mbali Bumpy yupo soft sana na hata hawa Gang leaders wengine hawana mvuto. The story is boring sana. Wanakosa stories za maana, wanakosa ubunifu. Wamechoka sana.
  19. B

    JamiiForums Tanzania Miaka 28 ya Benki ya Exim Tanzania: Safari ya Ukuaji, Ubunifu na Kusonga Mbele Pamoja na Wewe

    Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Exim Bank Tanzania, Jaffari Matundu (kulia), akikata keki wakati wa maadhimisho ya miaka 28 ya benki hiyo yaliyofanyika makao makuu yake jijini Dar es Salaam, Agosti 15, 2025. Kushoto ni Eugen Massawe, Mkuu wa Uendeshaji wa Matawi ya benki hiyo. Afisa Mtendaji Mkuu...
  20. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Dkt. Serera aipongeza posta kwa ubunifu wa usafirishaji

    DKT. SERERA AIPONGEZA POSTA KWA UBUNIFU WA USAFIRISHAJI 📍Nanenane, Dodoma 🗓️ 06 Agosti, 2025 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Suleiman Serera amelipongeza Shirika la Posta Tanzania kwa hatua kubwa ilizopiga katika utoaji wa huduma kwa njia za kidigitali pamoja na ubunifu...
Back
Top Bottom