saikolojia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Je, saikolojia inaweza kubadilisha maisha yako, maamuzi yako na namna unavyowaelewa watu

    Watu wengi hudhani psychology ni kwa madaktari au wataalamu pekee. Lakini ukweli ni kwamba saikolojia ipo kila sehemu ya maisha yetu — kwenye maamuzi tunayofanya, mahusiano yetu, biashara, pesa, social media, na hata namna tunavyofikiri kila siku. Lakini swali kubwa ni: 👉 Kwanini watu hufanya...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Saikolojia: Kikawaida mtu asipokuwa sawa ndio huonyesha tabia zake za ndani. Alichofanya Madam Rita ndio uhalisia. Kwa sasa ana fake

    Hamjambo! 1. Saikolojia ya binadamu ni very complicated kama usipoelewa baadhi ya patterns 2. Mtu asipokuwa sawa ni rahisi kujua tabia zake za ndani. Mfano kiburi, dharau, n.k. 3. Kutokuwa sawa ni kama vile mtu Kuwa na hasira Mtu kuwa na Stress au msongo wa mawazo, MTU kuwa amelewa Mtu...
  3. Jeremiah Stephin

    JamiiForums Tanzania Filamu fikirishi kuhusu Dini, Falsafa na Saikolojia

    Wale watu wa Philosophy,Psychology na Great Thinkers,Hizi ni baadhi ya movies ambazo ukiziangalia Lazima ufikirishe sana ubongo na kujiuliza hivi walifikiria nini kucheza hizi filamu. 1.The da vinci Code(kutoka kwenye riwaya ya Dan Brown) Movie inazungumzia siri zilizo fichwa kwa kutumia...
  4. Vien

    JamiiForums Tanzania Kwanini wateja wanatumia “mna” na “wingi” wanapoulizia bidhaa? Ni saikolojia au mazoea ya lugha?

    Habari wana JF Kuna kitu nimekuwa nikikiona mara kwa mara kwa wateja wanakuja kuulizia bidhaa dukani. Mteja baada ya salamu anauliza kwa kutumia wingi, hata kama anahitaji kitu kimoja tu. Mfano: •Hivi mna pump za Pedrollo? •Mna taa za Tronic? •Mna pipes za PVC? •Mna switches za umeme? •Mna...
  5. Penguinelli Cactussini

    JamiiForums Tanzania Msaada: Huwa ninaambiwa nina "potential" kubwa ila mimi siioni na ninahisi pengine siitumii kujinufaisha

    Sina lengo la kujisifu ila nahitaji msaada wa kisaikolojia au kitu kama hicho. Nilikuwa mtu wa ku share ideas ila watu wengi walikuwa wanazikataa kuwa hazifikiki au ni malengo makubwa kuliko uhalisia. So nikaamua kuto share chochote na watu zaidi nafanya mwenyewe kwa pace yangu. So huwa public...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Je, hili linaweza kuwa tatizo gani la saikolojia?

    Hivi ili linaweza kuwa tatizo gani la saikolojia? Mtu kuwa uuongo sana yaani anadanganya kupitia kiasi. Kushindwa kujitambua ( yaani kuwa mtu ambaye anashindwa kudadavua mambo yake mwenyewe au kujisimamia ) Kuwa mtu mwenye wivu wa kupita kiasi, Mchonganishi, Mpenda sifa sana na kuongea kupita...
  7. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Saikolojia kwanini watu wanaondesha brand za magari yanayofanana wanakuwa na tabia zinazofanana

    Unakuta gari fulani wamiliki wake ni walevi kinoma ukienda kwenye kumbi za starehe unazikuta kibao zimepaki na wanajuana wakikutana stori zao ni bata na kufuta kisahani. Ukiwa road ukakutana na bike ya Sinoray kaa kijanja Hao ni machalii wa chuga wazee wa michezo muda wowote anakuchomekea...
  8. Slobodan Mirosovich

    JamiiForums Tanzania Jinsi matapeli mamboleo hutumia mitandao na saikolojia kuliza watu

    Matapeli wa kisasa ni wahandisi wa akili (psychological engineers) au manipulators . Hawaji kuiba pesa zako mara moja; badala yake, wanajenga mazingira ambayo wewe mwenyewe utawapa pesa kwa hiari yako. Hivi ndivyo wanavyotumia saikolojia kumnasa mtu: 1. Kukuvutia na Maisha ya Ndoto zako (The...
  9. BICHWA KOMWE -

    JamiiForums Tanzania Saikolojia ya Rais Samia inaonesha hofu badala ya ujasiri au matambo

    Sifahamu kama aliyoyasema leo kwenye mkutano wa wazee wa dar ameandikiwa ama ameyatoa kichwani mwake? Kwa vyovyote vile inaonekana aliyafanyia mazoezi ya siku kadhaa kabla ya kuzungumza. Kwa sisi wenye "jicho la tatu" ni rahisi sana kubaini hofu iliyopo katika matamshi yake. Kwa juu...
  10. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Tuchambue saikolojia ya Mtu ajiitaye Agustino Polepole aliyetoa Masaa 24

    Mpo salama! 1. Nimekuwa miongoni mwa walioiona Clip inayomuonyesha mtu aliyejitambulisha kwa jina la Agustino Polepole. Ambaye mwenye anasema ni ndugu wa Humphrey Polepole. 2. Tangu imeripotiwa na kudaiwa Humphrey Polepole amepotea ndipo Mtu huyu alipojitokeza. Na watu wengi tumemjua kuanzia...
  11. Tanzaniavate

    JamiiForums Tanzania Siri za Saikolojia: Mbinu 5 za Kuwashawishi Watu Bila Wao Kujua

    Siri za Saikolojia: Mbinu 5 za Kuwashawishi Watu Bila Wao Kujua Umewahi kujiuliza kwa nini baadhi ya watu wana uwezo wa kuwashawishi wengine kwa urahisi? Sio kwa sababu wanatumia nguvu, bali wanajua siri za saikolojia ya binadamu. Kuelewa mbinu hizi kunaweza kukusaidia katika biashara...
  12. C

    JamiiForums Tanzania Hivi wataalamu wa saikolojia hii ni nini mwanaume anatamani kutukanwa kuwa yeye ni shoga?

    Nimekuwa nikijiuliza sana hili suala la mtu kutamani kuoga matusi katika akaunti zake za mitandao ya kijamii huwa linatokana na nini? Kuna hawa vijana wawili wa timu moja kubwa hapa nchini,mmoja ana mwanya na mwingine alionekana kulia kwenye arusi ya rafiki yake. Huyu mwenye mwanya hawezi...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Ndondi: NKANE v/s KIBWANA - Mapungufu mengine kitengo cha Saikolojia Yanga

    Kitengo cha 'Sheria' pale Yanga huko nyuma kilijidhihirisha kuwa na mapungufu makubwa ya weledi. Bwana Patrick Simon ndiye aliyekuwa mkuu Wa Kitengo alifeli sana Kwenye kesi nyingi za Yanga mpaka siku za karibuni akaamua ang'atuke.Ipo Mifano kama Kesi za Kina Morrison kule CAS na rufaa ya...
  14. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Utekaji, Mauaji na Hofu ya Kunyamaza: Taifa Linaangamia Kwa Saikolojia ya Uoga wa Kimfumo

    Je, kuteka raia wasio na hatia, kuwaua wanaharakati wa haki za binadamu, na kusaka watu kwa sababu tu wamekosoa mfumo dhalimu ni halali? Hivi tumefikia hatua ya kuwa taifa ambalo linaogopa hata kupumua kwa uhuru? Taifa ambalo linahitaji kibali hata kwa fikra huru? This is the psychological...
  15. Chuo Cha Tafakari

    JamiiForums Tanzania Safari ya Akili Huru: Tafakuri ya Maisha, Fikra na Uhuru wa Ndani

    SAFARI YA AKILI HURU: Mwaliko wa Kufikiri kwa Uhuru Na: Mwandishi Wako Swali hilo, japo rahisi kwa matamshi, linatetemesha msingi wa maisha ya kila mmoja wetu. Lakini kwa bahati mbaya, wengi wetu hatupendi kujiuliza. Tunashughulika, tunakimbizana, tunatii... ila hatufikiri. Karibu sana...
  16. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa sijui ni kwanini Simba SC, Serikali, TFF, CCM na Wanachama wa Simba SC walikuwa wanalazimisha Fainali ya CAFCC ipigwe kwa Mkapa

    Tafadhali anayezijua sababu hizo aniwekee hapa.
  17. Tuo Tuo

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kijana wangu anaongea vitu havieleweki, atakuwa na tatizo gani?

    Nina kijana mwenye miaka 18 sasa hivi yupo form four, anasoma day yaani kwenda na kurudi nyumbani. Changamoto yake si mtu wa kueleweka anapoongea. Anaweza ongea vitu viwili vinavyokinzana na bado yeye anaona yuko sawa. Kifupi yaani hawezi hata kuevaluate logic. Mfano: umeenda shule Yeye...
  18. OMOYOGWANE

    JamiiForums Tanzania Natamani kila mwana JF asome vitabu hivi viwili, ni zaidi ya degree ya saikolojia

    Aisee nyiee!! Huu mwaka nimejikuta nasoma vitabu viwili vya zamani ambavyo naamini kila mtu amewahi kuvisoma, lakini hivi vitabu ukisoma neno kwa neno, mstari kwa mstari, ukisoma kwa kutafakari na kuhusianisha na maisha halisi ya mtaani hskika utagundua mambo mengi yakushangaza sana Cha pili...
  19. Tized

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika

    Salaam sana Wakuu Inavyoonekana siku hizi japo kweli kuna tatizo la upungufu wa nguvu za kiume haswa kwa mazingira ya mijini, Lakini hili tatizo linaonekana kukuzwa kuliko lilivyo hadi imepelekea woga mkubwa kwa baadhi ya wengi wetu. Ndipo kwenye tafakari yangu nikaona NIANZISHE HUU UZI kwa...
  20. 3

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama unataka mshauri wa saikolojia

    Habari ya mchana Kuna jamaa amenisaidia sana kwa ushauri uliobadilisha maisha yangu baada ya kutengana na mke wangu miaka kadhaa iliyopita na kupata weweseko kidogo. Nimeona nishee maelezo haya ili kama Kuna mtu anayepitia mateso ya kisaikolojia basi aweze PATA nafuu. Sina maslahi na huyu mtu...
Back
Top Bottom