KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE KITAIFA ATOA WITO KWA WANANCHI KUITUNZA MIRADI YA MAENDELEO
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2026, Ndg. Wazo Michael Mwang'onda, ametoa wito kwa wananchi wa Iramba kuitunza miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali.
Wito huo umetolewa tarehe 24...
MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA IRAMBA TAYARI KUMULIKA MIRADI YA MAENDELEO
Mwenge wa Uhuru umewasili katika Wilaya ya Iramba ukitokea Halmashauri ya Manspaa ya Singida na kupokelewa rasmi na Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Mhe. Suleiman Mwenda kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhe. Godwin Gondwe...
Kigoma, Julai 20, 2026 – Mbunge wa Kigoma Mjini, Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo, amesema hataogopa kuwahoji na kuwashinikiza mawaziri kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa manufaa ya wananchi wa Kigoma.
Akizungumza mbele ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa uzinduzi...
MBUNGE SUBIRA MGALU AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KEREGE, ATOA MAELEKEZO YA KUTATUA KERO ZA WANANCHI
Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, Mhe. CPA Subira Khamis Mgalu, amefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo na kufanya mikutano ya hadhara katika Kata ya Kerege, akisisitiza kuharakishwa kwa...
Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba ameamuru kurejeshwa mara moja kwa zaidi ya Sh500 milioni zilizobainika kuhamishwa kutoka akaunti mbalimbali za miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni, mkoani Singida.
Akizungumza katika ziara yake waliyani Manyoni Jumamosi, leo Mei 30, 2026...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Masharik, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ametembelea Miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Wizara yake na taasisi zilizo chini ya Wizara jijini Arusha.
Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mount Kilimanjaro...
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Bank kuu kama msimamizi wa sera kuna wakati akitaka mfumuko wa bei uwe chini kwenye fedha tu achilia mbali dhahabu wanatumia ligwidipaper zake za kupunguza fedha za kwenye mzunguko ndani ya nchi.
Sasa leo hii kwa Bank Kuu wamesababisha wachimbaji wadogo...
Trump ni jiwe mtupu.
Mkomunisti wa Jiji la New York anayejitangaza mwenyewe, Zohran Mamdani, ambaye anagombea nafasi ya Meya, atathibitika kuwa moja ya mambo bora zaidi kuwahi kutokea kwa Chama chetu Kikuu cha Republican. Atapata matatizo na Washington kuliko Meya yeyote katika historia ya Jiji...
Naona misuluru ya magari tena wanaendesha kwa kasi maeneo mbalimbali kwa kigezo cha kampeni ya kutafuta kura nachojiuliza hawa watu wanashindana na nani ?
Kwanini pesa hizo wasizipeleke kwenye miradi ya maendeleo.
Kila mtu anajua mwaka huu hakuna uchaguzi isipokuwa kuna kiini macho cha...
RC ZAINABU TELACK: KASIMAMIENI KWA WELEDI MIRADI YA MAENDELEO
Na, Hilarry Shuma OR-TAMISEMI
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Zainabu Telack, amewahimiza Maafisa tarafa na watendaji wa kata nchini kuhakikisha wanasimamia miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwenye maeneo yao
Akifunga Mafunzo kwa...
Katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mkoa wa Kigoma umepokea jumla ya shilingi trilioni 11.4 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Kati ya fedha hizo, shilingi bilioni 731.5 zimetumika kwenye ujenzi...
Mamia ya wananchi wa Kata za Nyakaliro na Irenza walijitokeza kwa wingiJulai 3, 2025, kushuhudia makala za utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Jimbo la Buchosa, chini ya uongozi wa Mbunge wao Eric Shigongo
Zoezi hilo limeendelea kufanyika katika kata hizo ambapo wananchi waliwasilishiwa...
Ndugu zangu Watanzania,
Ukiona vyaelea Ujue Vimeundwa ,ukiona miradi ya maendeleo inachipua na kumalizika kwa uharaka ,ufanisi na kwa kupendeza ujue juu yake kuna mikono ya Rais Samia ,ukiona Bwawa la Mwalimu Nyerere lililoachwa likiwa 34% limekamilika kwa uharaka na kwa ubora wa 100% ujue ya...
Wakili mmoja wa jiji amempeleka mahakamani Mbunge wa Kajiado Kaskazini, Onesmus Ngogoyo, akimtuhumu kwa kuvunja sheria kwa kuweka jina lake na picha kwenye miradi inayofadhiliwa na fedha za umma.
Wakili Shadrack Wambui anasema uamuzi huo ni kinyume na maadili na unakiuka Sheria ya Uongozi na...
Wakati CCM wakitumia kodi za Wananchi kwa faida zao na starehe zao ikiwemo kuziiba ili kujitengenezea utajiri wa kutisha, kuhonga wasanii, kuhonga wananchi wahudhurie mikutano yao tena kwa kuwabeba kwenye maroli kama ng'ombe, Miradi ya Maji inayozinduliwa Kanda ya Ziwa kwa mikoa ya Mwanza...
Naibu Spika na Mbunge wa Ilala (CCM), Mussa Zungu, amewaaga wabunge na watumishi wa Bunge leo Ijumaa, Juni 20, 2025, akiwahimiza kuwa na ushupavu na kuzingatia mambo matano muhimu yatakayowarejesha katika Bunge la 13.
Zungu amewatakia heri Wabunge wote kuelekea kuhitimishwa kwa Bunge la 12...
Huku Serikali ikiwa inaendelea na juhudi za kuhakikisha huduma za kijamii zinawafikia wananchi haswa maeneo ya vijijini, kamati mbali mbali ambazo zimeundwa kusimamia utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo, hususani kwenye nyanja za Elimu na Afya, zimetakiwa kuhakikisha zinafuatilia hatua kwa hatua...
Rais Samia akiwa kwenye ziara ya Kikazi Mkoani Dodoma amesema Tanzania imeweza kuvutia mitaji kutoka kwa wabia muhimu kama Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), kutokana na 'Utulivu na Amani, Sera nzuri za Kiuchumi, Usimamizi dhabiti wa Miradi' mbalimbali ya maendeleo na kujituma kwa Watanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.