Katika nadharia ya sayansi ya siasa, uwepo wa uwanja sawa wa ushindani (level playing field) ndio nguzo kuu inayotofautisha mifumo ya kidemokrasia na ile ya kimamlaka (authoritarianism). Kauli ya Mary Pius Chatanda (Mwenyekiti wa UWT ) inatoa picha ya kile wataalamu wanachoita "ustahimilivu...
Kuna hivi vyombo vya habari vya machawa navyo siku hizi wanazungumza siasa, wasafi tv, clouds media na vyombo vingine vya habari zikiwemo youtube channel za machawa, nao siku hizi wanachambua siasa na matukio ya MO29.
Ila naona serikali inaendelea kutumia hivi vyombo na lengo kuu lao si kwa...
UCHOCHEZI
DEMOKRASIA
yai vurugaa
CHADEMA, makundi
yaendelea Kukemea
Siasa za Vurugu
wananchi
wadai Tanzania
haiwezi
kuongozwa kwa
maandamano
ya taharuki
za migogoro
kuharibu
amani na uchumi
NA MWANDISHI WETU
WIMBI la kukemea
siasa za vurugu,
uchechezi na
kuchochea migogoro
ya kisiasa...
Tanzania, nchi yenye mamlaka kamili iliyosaini mikataba mbalimbali ya Kimataifa hususani mikataba ya kulinda haki za binadamu na ulinzi wa rasilimali za umma imeacha misingi hiyo,na sasa inajinadi kuwa na Demokrasia yake na tamaduni zake.
Kwa kuwa lengo ni kukuza aina mpya ya Demokrasia ya...
Kichekesho cha Mama Samia kusema eti demokrasia yetu sio kama yao inabidi ifuate utamaduni!
Swali ni kwamba utamaduni upi? Utekaji, rushwa, demokrasia, wizi wa kura, undugu kazini ndiyo utamaduni wetu?
Wakina Rutto wanakucheka wenzako tayari wana katiba nzuri na wanashindana kwa hoja!
https://youtu.be/Pqc6iwqDZ_8?si=HiMSYksM92lL8jgJ
Bunge linatia aibu. Rutto anajua kuhusu utekaji, wizi wakura, rushwa , upendeleo wa undugu na uzanzibari. Anajua kuhusu mauaji
Kwa wanaoelewa huwezi kuwa mzalendo halafu ukaunga mkono kupinduliwa kwa demokrasia waziwazi October 29.
Pigania nchi na acheni ujinga kwa kuona powa hata kama wewe sio mpinzani.
Kuna watu wengi wenye uwezo ndani hata ya CCM lakini lakini nao wameporwa ndani ya chama chao.
Huwa nachukua sana kusikia kauli kama hizi
Bado tunajifunza na kukua katika mfumo wa demokrasia”
Demokrasia yetu bado ni changa
Hizi ni kauli za kisiasa zilizo dhaifu ambazo viongozi walioko madarakani huzitumia kukandamiza wengine kuonyesha kuwa, demokrasia ya nchi bado iko katika hatua ya...
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Bi. Dorothy Semu, amekabidhiwa uenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kwa kipindi cha mwaka mmoja, akichukua nafasi hiyo kutoka CHADEMA baada ya chama hicho kumaliza muda wake.
Kwa mujibu wa Katiba ya TCD, chama tawala cha Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 15, 2026 baada ya Mahakama ya rufaa kanda ya Dodoma kutengua zuio dhidi ya chama hicho kutofanya shughuli za siasa, Heche ameeleza walivyosikitishwa na namna Jaji Hamidu...
Dkt. Ayub Rioba Chacha aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu Shirika La Utangazaji Tanzania (TBC) anasema kwa namna ambavyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo anapenda kusikiliza Mawazo na maoni ya watu wengine inadhihirisha wazi kiwango chake cha Demokrasia
Matajiri wote wanaopigania demokrasia maana yake wawe na uhuru wa kupanga bei za bidhaa bila hata kuangalia mnyororo wa udhalishaji. Moja wapo ya njia hizo ni kutengeneza cartels. Matajiri wanakubalia bei ya soko ili kusiwe na ushindani makampuni ya mtandao ya simu ni mfano mzuri.
Ndugu zangu Watanzania,
Nawasogezeeni Habari Hii njema na nzuri kabisa kwa wake wasiopenda kuukubali ukweli mchungu.
Haya Kunyweni Kikombe Hiki👉Kiongozi wa Kijeshi wa Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traore, amewataka Wananchi wa Taifa hilo la Afrika Magharibi kuacha kabisa kufikiria kuhusu...
Takwimu ziko wazi kipindi Nyerere anapigania uhuru asilimia kubwa ya watanzania walikuwa wajinga
Kuwatetea kundi lenye watu wajinga wanaijiita machawa au mazuzu ni gharama kubwa sana.
Nyerere alifanya kazi ngumu sana kuongoza kundi la watu wajinga kuhusu uhuru
Aliutumia Kwa bidiii kipaji...
Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika (UNOAU), Bw. Parfait OnangaAnyanga, ambaye ni Mjumbe Maalum wa Mhe. Antonio Guterres, Katibu Mkuu UN ameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa...
Nimechukua muda kutafakari historia za kisiasa za Venezuela, Iran, Russia, China n.k pamoja na kuangalia Hali ya kisiasa ya dunia kwa sasa, ukweli mchungu ni kwamba katika nchi yetu ni vigumu sana upinzani halisi kama wa CHADEMA kupambana na kuishinda CCM na kuweza kuleta demokrasia.
Ukweli ni...
Demokrasia na haki inaanzia majumbani kwenye ngazi ya famila, inalelewa mashuleni, inakomalia vyuoni na kuanza kutumika Ikulu, taasisi za serikali, mahakamani na bungeni.
Juzi niligombana sana na mke wangu kwasabu alimpiga sana mtoto wetu wa miezi 8 eti kwa mujimu wa yeye alitenda kosa la...
Socrates anayeaminika kama Baba wa Filosifia, akiona kwamba Demokrasia sio njia nzuri ya kuingiza, Kwani ina wapa watu wasio jua nafasi ya kufanya Maamuzi. Njia Bora ni wajuzi ndio waongoze na sio wasio wajuzi. Hapa naona China style ndio njia Bora.
Licha ya Mitandao ya Kijamii kurahisisha mawasiliano na kupatikana kwa taarifa katika jamii, imesaidia pia kukuza demokrasia kwa kuwawezesha wananchi kutoa maoni, kuhoji viongozi, na kushiriki mijadala ya kidemokrasia.
Kupitia majukwaa ya mitandao hayo kama WhatsApp, X (zamani Twitter)...
Tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi Tanzania Mwaka 1992, safari ya kuelekea demokrasia kamili imekuwa na milima na mabonde.
Mfumo huu ulianzishwa kwa lengo la kutoa uwanja mpana wa mawazo, kuimarisha uwajibikaji, na kuruhusu wananchi kuchagua viongozi wanaowataka bila shinikizo la chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.