demokrasia

  1. funaku

    JamiiForums Tanzania Wazungu walijiendeleza kwa mbinu zote kabla ya kuanza drama za demokrasia

    Historia haijifichi na inaeleza wazi namna wazungu walivyojenga uchumi wao kwa vita na unyonyaji wa hali ya juu. Baadae sana walivyoshiba mema ya nchi zao na nchi nyingine ndipo walipoanza kutangaza demokrasia. hata hivyo hulka ya unyonyaji haijaisha japo kwa sasa inafanywa kwa ustadi mkubwa...
  2. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Tanzania 2050: Ajenda ya kulikomboa taifa kupitia katiba, demokrasia na utawala bora

    Utangulizi Tanzania ina rasilimali nyingi, watu wenye uwezo mkubwa, ardhi, madini, mifugo, kilimo, bahari na nafasi muhimu ya kijiografia. Hata hivyo, utajiri wa taifa pekee hautoshi kulifikisha taifa kwenye maendeleo endelevu. Tanzania ya mwaka 2050 inahitaji taasisi imara, Katiba inayolinda...
  3. NkomaBakhosi

    JamiiForums Tanzania Kitendawili cha Nyerere – swali: Alyetupa Uzalendo na Umoja, Ndiye Aliyeweka Misingi Inayobana Demokrasia Yetu Leo?

    Ikikumbukwa Mwalimu mwenyewe alituasa tusifanye fikra zake kuwa msahafu au Biblia. Kwenye hotuba zake za mwishoni mwa miaka ya 80 na 90, yeye mwenyewe alikiri kwamba mfumo wa chama kimoja ulikuwa umeanza kuoza na kulewa madaraka. Kuhoji Katiba ya 1977 siyo kumdharau Nyerere, bali ni kuendeleza...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Nini Jaji Warioba Kaongea Leo! Chini ni Muhtasari wa Alichokisema

    Tanzania kwa sasa inapita katika kipindi cha mpito wa kisiasa ambacho kinahitaji viongozi wenye busara na ujasiri wa kusimamia ukweli bila uoga wala upendeleo. Katika muktadha huu, Jaji Joseph Sinde Warioba anasimama kama moja ya tunu chache za kitaifa zilizobaki—sauti ya maadili na hekima...
  5. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Hakuna Mkenya Anayepaswa Kufa kwa Kukosoa Serikali” - Rais William Ruto Asema Maandamano ya Amani Ni Msingi wa Demokrasia

    Rais William Ruto amesema hakuna Mkenya anayepaswa kupoteza maisha, uhuru au heshima yake kwa sababu tu ya kuikosoa serikali, kutoa maoni yasiyopendwa na wengi au kushiriki maandamano ya amani. Akizungumza katika Kongamano la 16 la Katiba lililofanyika KICC, Nairobi, Agosti 27, 2026, Ruto...
  6. kavulata

    JamiiForums Tanzania Viongozi wakuu kujiuzulu ni kukua kwa demokrasia nchini, ni kama Uingereza tu. Tuambiwe makosa yao

    Kama na sisi tunaweza kumfanya makamu wa Rais ajiuzulu kwa amani kabisa ni dalili kuwa na sisi tumepevuka. Mambo kama haya hayapatikani sana nchi za Afrika bali Ulaya, NKorea, Japan na nchi nyingine za mbele huko. Pale Uingereza ndani ya miaka 10 wamejiuzulu viongozi wao wakuu zaidi ya 4...
  7. G

    JamiiForums Tanzania CCM na demokrasia ni paka na panya

    Chama kikongwe kinaogopa majadiliano. Katika vikao vyao kazi kubwa ni kupitisha anachokitaka mwenyekiti wao. Hakuna nafasi ya mawazo mbadala, kutokubaliana na mwenyekiti ni uasi usiovumilika. Je kwa utaratibu huu wa "zidumu fikra za mwenyekiti", chini ya Samia, tutaweza kupata kaba mpya ya...
  8. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu Imetufundisha Nini.? | Kwa Nini Haki, Demokrasia na Uchaguzi Havipaswi Kuwa Kapu Moja na Mwenye Maslahi ya Kisiasa

    Leo nimefuatilia kesi ya Lissu kuanzia Alfajiri mbaka Wasalamu, na nimepata picha kwamba Taifa letu linapaswa kupata Katiba mpya yenye Mamlaka ya Usimamizi wa Misingi yake. Kitu kikubwa hapa ni kwamba misingi ya haki, demokrasia za kisiasa, utawala bora na utawala wa sheria vimeifadhiwa kwenye...
  9. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Tangu tupate uhuru, Tundu Lissu ndio atakuwa Mwanasiasa wa kwanza Kunyongwa kwa ajili demokrasia ya taifa lake

    Hakuna mwingine ambae alishaandika historia kama ya Tundu Lissu. Kusingiziwa kesi isiyo na mashiko wala mbele. Kama watamtia hatiani atakuwa Mwanasiasa wa kwanza kumwaga damu yake kwa ajili ya demokrasia ya taifa lake.
  10. kavulata

    JamiiForums Tanzania TLS na LHRC tusaidieni haki na demokrasia ngazi ya familia zaidi kuliko ngazi ya Taifa

    Rais, mawaziri, viongozi na raia wote wanatoka kwenye familia. Familia ndio msingi wa Taifa kwakuwa tabia zote za viongozi na raia wa nchi zinazaliwa, kulelewa na kukoma kwenye ngazi ya familia kabla ya kuhamia mashuleni na vyuoni na hatimaye kwenye Taifa ambako TLS na LHRC mara nyingi kama sio...
  11. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Mbowe aliitangaza Demokrasia ili kujijenga yeye kwa manufaa yake binafsi kwa mgongo wa chama

    Wote tunajua namna FAM alivyokipigania CHADEMA Mpaka kikawa chama Tishio kwa kila Taasisi ya kiserikali,lakini katika kukijenga chama,chama kilizungumza,haki,usawa,utawala bora na demokrasia mambao ambayo wanainchi wengi wanapenda kusikiliza ajenda zake,chama kikakubalika. Lakini wakati wa...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Guinea -Bissau: Upinzani watishia kususia kura ya maoni Katiba mpya, wadai muundo unaotumika si Demokrasia

    Agosti 30, 2026 Guinea-Bissau inaelekea kwenye kura ya maoni ya katiba Mpya hatua ambayo bado ina utata. Vyama vya upinzani kama PAIGC, muungano wa API-CG, na COLIDE-GB vyote vimekataa mchakato huo jinsi ulivyo na kutoa wito wa kususia. Mabadiliko yanayopendekezwa na Katiba Mpya Chini ya mfumo...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Sauti ya Unabii na Kulinda Demokrasia: Wito wa Maaskofu wa Zambia Kabla na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2026

    Muhtasari wa Kitendaji Makala hii inachambua wito wa kichungaji wa Baraza la Maaskofu Katoliki Zambia (ZCCB) katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe 13 Agosti 2026, ikilinganishwa na misingi inayosimamiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC). Wakati mazingira ya kijamii ya Tanzania...
  14. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Afrika inapitia kwenye darasa bora kabisa la msamiati wa neno "demokrasia"

    Katika nchi ambayo barani afrika ndiyo iliyokuwa na demokrasia bora kabisa na tume huru kweli kweli iliyowahi kuwabadilisha viongozi wa taifa hilo mara kwa mara,leo hii inashindwa kuaminika na baaadhi ya viongozi walafi wenye uchu mkali wa kupata nyadhifa za ukuu wa nchi, Najaribu kutafakari...
  15. G

    JamiiForums Tanzania Nawapongeza viongozi wa Chadema wa mstari wa mbele wa kutetea haki na Demokrasia nashauri imarisheni mfumo wa uongozi hadi vijini

    Nchi yetu ni nchi ya demokrasia ya vyama vingi. Demokrasia inaleta ushindani wa hoja sera mawazo Bora zaidi ya kujenga nchi yetu. Viongozi wa Chadema wanastahili pongezi ya kukubali kukaa mstari wa mbele kutetea haki na Demokrasia KATIKA nchi yetu. Sisi kama WAZALENDO tunatamani tuone vyama...
  16. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Viongozi watatu wa CHADEMA kutoka mikoa ya Morogoro na Tanga wamewasilisha malalamiko rasmi kwa Msajili wa Vyama vya siasa

    Viongozi watatu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kutoka mikoa ya Morogoro na Tanga wamewasilisha malalamiko rasmi kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, wakipinga hatua zilizochukuliwa dhidi yao walipopaza sauti kuhusiana na tuhuma za ubadhirifu wa pesa za michango ya wadau kwa chama hicho...
  17. kavulata

    JamiiForums Tanzania Afrika isiposimama imara, wakoloni watarudi tena kwa njia ya Demokrasia

    Kimsingi Afrika yote hakuna demokrasia wala haki kama zile zinazotangazwa na nchi za Magharibi tuwe nazo. watu wetu wameishi kwenye hali hiyo hadi sasa bila shida sana. Hivyo ukosefu wa demokrasia kwao sio tatizo kubwa la kufa au kupona kuwa nalo. Waafrika wanaishi bila shida kwenye mazingira...
  18. G

    JamiiForums Tanzania Ibrahimu Traore mwisho wake utakuwa kama Gaddafi asipoweza kujua majira ya kuondoka madarakani na kuruhusu demokrasia. Hakuna dikteta mzuri

    Ibrahimu Traore Uhuru wa watu kuamua mambo Yao na viongozi wao ndo maendeleo ya kwanza katika taifa lolote. Kuna MAGEREZA unapewa chakula Bure na Kila kitu isipokuwa uhuru TU, Lakini hakuna anapenda kukaa huko Gerezani. Anaona bora aje mtaani apambane na hali kupata chakula chake mwenyewe...
  19. kavulata

    JamiiForums Tanzania Watanzania wanataka amani na maendeleo sio demokrasia

    Watanzania wako tayari kuvumilia ukosefu wa haki na demokrasia lakini hawako tayari kuvumilia ukosefu wa amani, utulivu na usalama. Hii inatokana na ukweli kwamba wamezaliwa, kulelewa na kukulia kwenye familia, mitaa, jamii na taasisi ambazo hazitoi haki wala demokrasia. Mfano, kuna jamii...
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila: CCM haiwezi kufundishwa demokrasia na yeyote nchini

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, ametoa jibu kali la kiitikadi dhidi ya vyama vya upinzani vinavyoishutumu serikali kwa kubana demokrasia, akisisitiza kuwa chama tawala cha CCM kina historia ndefu ya kupigania haki na kiko imara kisheria kufuatia ushindi...
Back
Top Bottom