maendeleo

Maendeleo is an administrative ward in the Mbeya Urban district of the Mbeya Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 3,704.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    SoC02 Maendeleo ya leo

    Jamii ya sasa imekuja na nadharia ya maendeleo ya Leo ambayo kwa kiasi Fulani imeshika hatamu katika kuifanya jamii iache kufata utamaduni wao . Nadharia hiii ndiyo iliowavisha dada zetu vimini na suruali mbano hadharani wakiamini ndio maendeleo ya Leo. Nadharia hiii ndio iliwafanya vijana...
  2. E

    SoC02 Kila maendeleo ya mtu basi kuna mtu nyuma yake kasaidia

    Mwandishi Efrahim Mabena mawasilino:0745323576 mahali: Makambako_Njombe Kundi la watalii walikuwa wakitembelea bwawa la ziwa na walikuwa kwenye jengo linaloelea katikati ya ziwa la mamba. Mmiliki wa bwawa hilo alipiga kelele: "Yeyote anayeruka ndani ya maji na kuogelea hadi kutoka, atapata...
  3. Godwin Matiko

    SoC02 Uwajibikaji na Maendeleo

    UWAJIBIKAJI NA MAENDELEO Palikuwa na kazi ya muhimu kufanyika na kilamtu aliamini kwamba mtu fulani angeliweza kuifanya. Mtu yoyote angeliweza kuifanya, lakini hapakuwa na mtu aliyeifanya. Mtu mmoja akapata kufadhaika kwa kazi kutokufanyika, kwasababu ilikuwa ni kazi ya kilamtu. Kilamtu...
  4. DaudiAiko

    Rais Samia Ingilia kati. Kodi zinazolipwa na wananchi zimezidi na haziendani na Miradi ya Maendeleo inayofanywa na Serikali

    Wanabodi, Tumeshuhudia nguvu iliyotumiwa na serikali katika kuhakikisha kwamba kuna tozo kwenye miamala ya kielektroniki inayofanywa na wananchi. Hii inaweza ikawa njia ya serikali kutanua wigo wa kodi ya kuwa wezesha kufanya shughuli zingine za ziada ambazo zinaweza zikawa na manufaa kwa...
  5. politicians

    SoC02 Chuki, ubinafsi na unafiki, ndio vinachelewesha maendeleo ya nchi yetu

    Utangulizi:nchi yetu ina utajiri mkubwa wa rasilimali lakini ina umaskini wa maendeleo, watu wengi wanajiuliza swali kwa nini? Sababu zipo nyingi ila tatizo kubwa ni fikra na mitazamo ya kimaskini iliyopo kwa wananchi walio wengi inayosababisha vitu hivi (chuki,ubinafsi na unafiki) ambavyo...
  6. N

    SoC02 Utafiti na Maendeleo Tanzania

    Utafiti na Maendeleo Tanzania Andiko hili limejikita katika kuangazia sekta ya utafiti nchini hasa kwa kuonesha changamoto zinazoikabili sekta hiyo na kutoa mapendekezo kwa ajili ya kuchukua hatua dhidi ya changamoto hizo. Utafiti ni moja ya kichocheo kilichochangia maendeleo ya dunia. Hii ni...
  7. R

    Ushauri kwa Serikali: Mtu anayepinga tozo na kodi kwa maendeleo ya Taifa akamatwe

    Nyakati kama hiziz kujikwamua kiuchumi kwa maendeleo ya taifa ni muhimu sana kwa kila mwananchi kuunga mkono juhudi hizi zinazochukuliwa na Mh Rais Samia na serikali yake. Hivyo natoa wito kwa kila mwananchi mzalendo kuunga mkono juhudi hizi za kujikomboa kama taifa dhidi ya mgogoro wa kiuchumi...
  8. Impimpi

    SoC02 Tujenge mtazamo chanya na kubadilisha fikra juu ya ushabiki wa soka la Simba na Yanga kwa maendeleo ya Taifa

    Historia ya mpira wa miguu katika nchi hii imetoka mbali sana , tunacho cha kujivunia tunapoona maendeleo na uwekezaji mkubwa katika soka letu. Mathalani, vuta picha enzi za chama cha soka cha Tanzania enzi hizo kikiitwa FAT hali ilikuaje kiuchumi kwa timu zetu? Ni ,mara ngapi timu zetu...
  9. D

    SoC02 Uboreshaji wa huduma za afya unavyoweza kuchochea maendeleo ya taifa

    UTANGULIZI Huduma za afya ni jumla ya huduma za umma zinazotolewa ili kuboresha afya ya wananchi. Mfano wa huduma za afya ni pamoja na uboreshaji wa mazingira ya kufanyia kazi kwa watumishi katika vituo vya afya na hospitali,ujenzi wa miundombinu ya kutolea huduma za afya, malipo bora kwa...
  10. N

    Tuendelee kushiriki zoezi la sensa kikamilifu kwaajili ya maendeleo yetu

    Ni watu wangapi wanaojishughulisha na Kilimo? Ni watu wangapi wanaohitaji mbolea ya Ruzuku? Ni mtu mwenye takwimu pekee anayeweza kujibu maswali haya muhimu kwaajili ya mipango ya kimaendeleo. Siku ya tatu sasa, baada ya zoezi la Kitaifa la Sensa ya watu na makazi kuanza rasmi na mfano...
  11. Lanlady

    Si rahisi watu kufanana namna ya kufikiri na kutoa maoni! 'Critics' lazima ziwepo ili kufikia maendeleo endelevu!

    Kwamba kwenye nchi hii haitakiwi kuwa na maoni tofauti? Kwamba kila mwenye maoni tofauti ni mpinzani wa maendeleo? Basi watafukuzwa wengi!
  12. G

    Sensa kwa maendeleo? Hapana

    Tumekuwa tukiaminishwa kuwa lengo la sensa ni kuisaidia serikali kupata takwimu zitakazosaidia kugawa keki ya taifa kulingana na idadi ya watu katika sehemu husika. Hiyo inabaki kuwa nadharia tu ila kiuhalisia sio hivyo. Tumeshuhudia wilaya kama Chato na sehemu nyingine wanakotoka viongozi...
  13. Sijali

    Neno hili 'Maendeleo'

    Ni gumu sana kulielezea au kulifahamu. Kila mtu ana tafsiri yake juu ya maendeleo. Japan imeendelea. Japan ina uwezo mkubwa wa kutengeneza magari na wananchi wake wana kiwango cha juu cha hali ya maisha. Pia wana barabara za juu kwa juu. Lakini Japan haina bomu la nuklia. Marekani imeendelea...
  14. Mpekuzi Tanzania

    SHAKA: Igunga ni shamba darasa kwa miradi ya maendeleo

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka H. Shaka (MNEC) ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Igunga kwa usimamizi mzuri wa Fedha za Miradi ya Maendeleo na kuiita ni "Shamba Darasa la Miradi ya Maendeleo". Ndg. Shaka (MNEC) ameyasema hayo akiwa kwenye Kituo cha Afya...
  15. N

    SoC02 Elimu changamoto ya maendeleo

    Elimu ni nguzo muhimu inayohitajika katika kujenga maendeleo ya taifa lolote duiani. Halikadhalika kwa nchi yetu ya Tanzania, elimu ni msingi mkubwa unaohitajiwa. Lakini kwa masikitiko makubwa, bado elimu inayotolea nchini mwetu haijaweza kuwa yenye tija toshelezi katika kuleta maendeleo...
  16. Rashda Zunde

    Dodoso za sensa, shiriki kikamilifu kwa maendeleo ya nchi yetu

    Ndugu zangu naomba niwataarifu kuwa Sensa ya Watu na Makazi 2022 itahusisha madodoso manne: 1: Dodoso la Jamii 2: Dodoso la Sensa ya Watu na Makazi 3: Dodoso la Makundi Maalum 4: Dodoso la Majengo 1. Dodoso la Jamii litaanza kwa kumuhoji mwenyekiti au mjumbe wa kitongoji au mtaa juu ya uwepo wa...
  17. Roving Journalist

    CCM yashangazwa na urasimu wa mifumo kutumika kama utetezi wa miradi ya maendeleo kutotekelezwa kwa wakati

    Katibu wa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka ameonesha kukerwa kwake na tabia ya fedha ya miradi ya maendeleo kucheleweshwa kwa kisingizio cha urasimu wa mifumo ya ulipaji kutofunguka kwa muda mrefu jambo ambalo linakwamisha baadhi ya miradi utekelezaji wake kuenda kwa kasi na haraka kama...
  18. Nduna shujaa

    Tunacheleweshana bure na maendeleo ya Taifa yanachelewa

    Ndg wanajukwaa kumekuwa na tabia ya ubaguzi ktk utoaji mikopo ya manispb kwa vijana.Mfano hai ni manispaa ya Songea mkoani Ruvuma. Miaka mi3 nyuma niliunda kikundi tukaakisajili, tukafungua akaunti tukandaa mchanganuo. Kabla hawajatutembelea ikaibuka hoja dhaifu eti miongoni mwa barua ipitie...
Back
Top Bottom