Salaam, Shalom.
Kuna Msanii mmoja Jina silijui, ameimba wimbo usemao,
" Sisi ndio wale waliobarikiwaaa na na Mungu." Nakubaliana naye 100%.
( Kumbukumbu 15:6)
"Kwani BWANA, Mungu wako atakubarikia, kama alivyokuahidi,nawe UTAKOPESHA, mataifa mengi, lakini hutakopa, tena utayatawala mataifa...