canada

  1. B

    JamiiForums Tanzania "Asilimia kubwa ya vijana kutoka Tanzania na Afrika nzima ujumla wanaoletwa na wazazi kusoma Marekani na Canada wamegeuka kuwa machoko ".. Elli David

    Elly David m Tanzania anaeishi nchini Canada anasema asilimia kubwa ya vijana wa ki Tanzania na kutoka sehemu mbalimbali barani Africa wanaopelekwa na wazazi wao kusoma Marekani, Canada na Ulaya wengi wao huishia my wa machoko na mateja... Du kama ndo hivyo Bora wasome Kayumba na waishi hapa...
  2. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Mwanasiasa wa Kanada Bill Oliver akosolewa vikali baada ya kusoma Bungeni hotuba iliyotengenezwa na AI bila kuihariri

    Wanasiasa mnaotengeneza speech kwa AI kuweni makini kuna mwenzenu yamemkuta huku Bill Oliver, mwanasiasa wa Kanada ameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kutumia Akili Mnemba (AI) kumsaidia kuandika hotuba, lakini akasahau hata kuipitia kabla ya kusimama kuongea Soma Pia: Bado watanzania...
  3. Ritz

    JamiiForums Tanzania Egypt, Turkey. Canada, Panama, United States, hawa wote kupita kwao lazima ulipe Tozo kwa nini Marekani hawataki Iran walipwe Tozo

    Wanaukumbi. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Arakçi: "Misri inatoza kati ya $200,000 na $700,000 kwa kila njia inayopitia Mfereji wa Suez; kwa meli kubwa za makontena au meli za mafuta, takwimu hii inaweza kuzidi dola milioni 1. Uturuki inatoza ada ya njia kwa Mlango-Bahari wa Istanbul...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania FT: Canada 0-3 Morocco | World Cup 2026 | NRG Stadium | 4 Julai, 2026 | Morocco wanafuzu Robo Fainali

    Morocco imefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji wenza, Canada, hivyo inasubiri mashindi wa mchezo wa Ufaransa dhidi ya Paraguay. Ushindi huo unaifanya Morocco kuendelea kuandika historia katika michuano hiyo...
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Hivi timu zetu za mpira zinajifunza kupitia michuano ya world cup 2026 inayo endelea huko marekani, Canada na Mexico?

    Mimi sio mchelzaji wa mpira bali ni shabiki wa mpira, natamani sana wachezaji wetu katika kipindi hiki wajifunze mbinu na maarifa ya mchezo wa mpira unao onyeshwa na timu mbalimbali. Huu ni muda wa kujifunza. Mimi tu nimejifunza mambo mengi. Kazi kwenu wachezaji. Kama mtatumbua macho tu shauri...
  6. I

    JamiiForums Tanzania Mo Salah ashangilia ushindi kwa kucheza kwenye mitaa ya jiji la Vancouver nchini Canada

    Mohammed Salah alionekana akiwa kwenye mitaa ya jiji la Vancouver nchini Canada akishangilia pamoja na raia wenzake wa Misri baada ya timu yao ya Misri kufanikiwa kuifunga timu ya New Zealand kwa mabao 3-1 . Huu ulikuwa ni ushindi wa kwanza kabisa kwa timu ya Misri kwenye mashindano ya kombe la...
  7. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Vancouver na Mapokezi ya FIFA 2026; Jengo la Science World Sasa ni limekuwa Mpira adidas Trionda!

    Kama umekuwa ukipitia mitandao ya kijamii hivi karibuni, bila shaka umekutana na picha za mabadiliko mapya ya jiji la Vancouver. Muonekano wa jiji hilo umechochewa rasmi na joto la kukaribisha Kombe la Dunia 2026, na safari hii wameamua kuonyesha ubunifu mkubwa sana katika majengo ya jiji hilo...
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Thomas Partey Kuikosa Mechi ya Ghana Baada ya Kunyimwa Kibali cha Kuingia Canada

    Ila hili kombe la dunia la mwaka huu linamambo ya ajabu sana Au ile kesi inayomkabiliwa na mashitaka ya ubakaji mara tano na shambulio moja la kingono? =========== Kiungo wa timu ya taifa ya Ghana, Thomas Partey (32), hatashiriki katika mechi ya kwanza ya timu hiyo kwenye mashindano ya Kombe la...
  9. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Baada ya Marekani, Mataifa ya Ulaya na Canada wanafuata

    Kwa nchi zinazojali utu, huwezi kushilikiana na serikali katili ya CCM. Kwa sasa ipi tofauti ya CCM na vikundi vya kigaidi kama Hamas, ISS, na Boko Haram. Maana wote wanaua,wote wanateka,wote wanalawiti, wote hawafati demokrasia. Kama ilivyotokea Zimbabwe, haiwezekani US akupige Pini then UK...
  10. Zirconium

    JamiiForums Tanzania Kikosi cha wachezaji 26 cha Uingereza ( England ) Chini ya Thomas Tuchel kuelekea kombe la Dunia 2026 ( USA , Mexico , Canada )

    Tayari mkufuzi Tuchel kataja majina ya wachezaji watakao wakilisha Taifa la Uingereza ( England ) kwenye mashindano ya Kombe la Dunia Kikosi hiki kimepokelewa kwa mitazamo tofauti na wapenzi wa soka ulimwenguni ( mashabiki ) kukosekana kwa Wharton toka Cyrstal Palace , Levi Colwill toka...
  11. Kubwa la Maadui

    JamiiForums Tanzania Takribani Watu 8 wauawa Canada na wengine kujeruhiwa kwa bastola

    Mshambuliaji aliwaua watu angalau wanane na kujeruhi wengi zaidi katika shule ya upili katika mji mdogo wa mlima wa Tumbler Ridge, Canada, siku ya Jumanne. Mshukiwa ni mwanamke mwenye umri wa miaka 18 ambaye alikuwa ameacha shule hiyo takriban miaka minne iliyopita, polisi walisema. Alizaliwa...
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Marekani yaonya yaweza kupeleka ndege za kivita angani mwa Canada ikiwa Ottawa itapunguza ununuzi wa F-35

    Marekani imetoa onyo adimu na la moja kwa moja kwa Canada, ikisema kuwa ndege zake za kivita zinaweza kupelekwa katika anga ya Canada iwapo Ottawa itapunguza au kufuta mpango wake wa kununua ndege 88 za kivita aina ya F-35 (stealth fighter jets). Kwa mujibu wa maafisa wa Marekani, uamuzi wa...
  13. X

    JamiiForums Tanzania Canada na Ufaransa zawalilia wawekezaji wa Kichina kuwekeza kwenye mataifa yao

    Mwaka 2024 Canada ikishinikizwa na Marekani iliweka ushuru wa 100% kwa magari ya umeme ya China kama ilivyofanya Marekani. The table has turned, hivi karibuni Waziri Mkuu wa Canada Mark Carney alikuwa na ziara nchini China. Katika ziara hiyo alifungua milango ya kibiashara kati ya mataifa hayo...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Uingereza, Canada na Norway waungana kulaani kinachoendelea Tanzania. Wataka Mamlaka kuzingatia mikataba ya Kimataifa

  15. K

    JamiiForums Tanzania Lema mjue anamfahamu Wenje mpaka familia huko Canada!!! ni snitch!

    Lema mjue anamfahamu Wenje mpaka familia yake huko Canada!!! ni snitch mkubwa Canada mwongo na mpenda pesa za deal. Hata jumuia ya watanzania ambako kuna familia ya Lema na Wenje hawataki kumsikia!. Hakuna anayeshangaza kila mtu anajua alikuwa dalali lakini hawakutana kumfukuza ingawa alikuwa...
  16. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Waislamu waziba barabara Canada wakishinikiza Palestina iachwe huru, watu wahoji kwanini wasiende kuandamana huko uarabuni

    Nchi nyingi za Magharibi kwa miaka mingi zimekuwa zikikariwa na jamii ya watu wa Dini ya kikristo, Nazungumzia Amerika Kaskazini, Amerika Kusini na Ulaya. Lakini hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la waarabu kutoka Mashariki ya Kati na Waafrika ambao upeleka tamaduni zao katika nchi hizo na...
  17. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ubalozi wa Canada Tanzania, watahadharisha raia wake kuhusu Oktoba 28 na 29

    Ubalozi unaamini kitawaka kwa hiyo wanawaambia raia wake wachukue tahadhari waepuke misongamano
  18. Il Padrino

    JamiiForums Tanzania Canada, UK and Australia say they recognize a Palestinian state as part of efforts to pile pressure on Israel over Gaza

    Here’s what that recognition typically symbolizes: 1. Legitimacy of Palestinian Statehood It signals that these countries formally acknowledge Palestine as a state (not just as a “territory” or “authority”). This boosts the international legitimacy of Palestinian claims to sovereignty. 2...
  19. S

    JamiiForums Tanzania GE2025 Katibu mkuu chama Makini: Waandishi wa habari watafanyiwa semina Canada

    Kituko hiki kimezungumzwa na mgombea mwenza wa Chama cha Demokrasia Makini. Haya ni matokeo ya kuachia masuala ya siasa mikononi mwa wajinga. Katibu Mkuu wa Chama cha Maarifa, Kilimo na Nishati (Makini), Ameir Hassan Ameir, amesema endapo wananchi watamchagua mgombea wa urais wa chama hicho...
  20. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania Marufuku ya Makonda kwenda US, UK, Australia & Canada

    Kwa ile ban ya kutoingia US ni wazi sasa Mheshimiwa Mbunge na Waziri (Mtarajiwa) analazimika kuishia Zanzibar na Juba kutekeleza majukumu yake ya WIZARA YA MAMBO YA NJE.
Back
Top Bottom