Kama umeitwa katika usaili wa mchujo, Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II au kwa kimombo, Record Management Assistant II utakuwa unajiuliza maswali yanatokaje hasa kama ni mara yako ya kwanza kufanya mitihani hii.
Katika mitihani hii, chochote kinaweza kuulizwa hata kile ambacho hujasomea. Hata...
Habari Nina maswali kwa tume ambayo ningependa kuyafahamu vizuri ili niweze kuelewa.
1.Tume imesema kulikua na mafunzo je nani alikua akiendesha mafunzo hayo ? Je mafunzo yalikua na silaha na ni Silaha aina gani na ngapi zilikamatwa?siku ya tukio.
2.Watu 518 walipoteza Maisha ,hawa watu...
Sekta ya 𝗠𝗦𝗠𝗘𝘀 nchini Tanzania ndiyo uti wa mgongo wa uchumi wetu, lakini pia ndiyo sekta inayobeba kiwango kikubwa zaidi cha “𝗰𝗮𝗽𝗶𝘁𝗮𝗹 𝗺𝗼𝗿𝘁𝗮𝗹𝗶𝘁𝘆” — yaani kufa kwa biashara na kupotea kwa mtaji kabla biashara haijakomaa.
Tafiti zinaonyesha kuwa SMEs zinachangia takribani 𝟵𝟱% 𝘆𝗮 𝗯𝗶𝗮𝘀𝗵𝗮𝗿𝗮 𝘇𝗼𝘁𝗲...
Vijana wengi wameitwa katika usaili wa mchujo TAKUKURU au PCCB. Usaili huu ni wa kuandika na unafanyika kwa njia ya kompyuta. Wengi walioitwa katika usaili, hawajui hasa ni maswali ya aina gani yanatoka. Ni jambo la hatari kwenda katika mtihani ambao hujui maswali yataulizwa kuhusu nini, endapo...
1. "Uko wapi?" (The Tracking Syndrome)
Kisaikolojia: Mwanamke huuliza kwa usalama, lakini mwanaume husikia kama anafuatiliwa au haaminiki (distrust).
Ushauri: Badala yake, sema: "Natumai uko salama huko uliko, nakusubiri nyumbani." Hii inampa hamu ya kurudi.
2. "Nipike nini?" au "Tule nini...
Tarehe 30, vijana walioomba nafasi za 'admission officer' wanakwenda kukutana na mtihani wa mchujo ili kuweza kuwapata wachache watakopita hatua ya pili.
Nafasi hizi zina waombaji zaidi ya 3,000, hivyo kama mtu anahitaji na amepania sana kupata fursa hizi ni lazima ajiandae.
Maswali...
👉Wahubili wengi wanashindwa kueleza kwa uhakika kwanini watu waovu wengine wanaishi maisha mazuri huku waadilifu wakiteseka kila siku.
👉Swali la kwanini maombi ya baadhi ya waumini hayajibiwi licha ya kufunga na kuomba kwa muda mrefu linaendelea kuwachanganya wengi.
👉Tofauti kubwa...
👉Wahubili wengi wanashindwa kueleza kwa uhakika kwanini watu waovu wengine wanaishi maisha mazuri huku waadilifu wakiteseka kila siku.
👉Swali la kwanini maombi ya baadhi ya waumini hayajibiwi licha ya kufunga na kuomba kwa muda mrefu linaendelea kuwachanganya wengi.
👉Tofauti kubwa...
Watu wamejitokeza kwa wingi lakini wananipa mashaka kama wameenda kwa hiyari yao au wamekusanywa kwa malipo.
Rio Ferdinand alishastaafu mpira miaka hiyo. Hakuwa na ushawishi mkubwa sana ukizingatia alikuwa anacheza nafasi ya beki.
Sasa kwa nyomi iliyojitokeza imenipa maswali maana hata wengi...
kazi zetu hizi zinatufanya tuwaze sana na pia kusoma mawazo ya wengine sana sana ili kujenga parten fulani...
katika baadhi ya paradox nilizowahi kuzifanyia utafiti wa kina ni pamoja na hizi mbili:
moja ina hoji kwamba je mimi nikiwa nina meli yangu nimeinunua. kisha baada ya miaka kadhaa...
Hatimaye Tume ya Uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imetoa ripoti yake baada ya kufanya uchunguzi kwa siku 153.
Tume hiyo iliyoongozwa na Jaji Mkuu mstaafu, Mohamed Chande Othman, ilikuwa na wajumbe wanane ambao ni: Dkt. Stergomena...
Waandishi wa bbc swahili hawapati kumuuliza maswali trump?
Karibu mwezi sasa wanaandika habari za Trump
1. Ndani ya siku 1 wataingamiza Iran
2. Ndani ya siku 10, mara wiki 2, mara siku 5, mara siku 30
Yaani ukisoma page yao ukiamka ndio habari hizo tu.
Jee hawapati ya kumuuliza maswali?
Huyo...
Mtoto mdogo mara nyingi huonyesha hali ya asili ya akili ya binadamu (default setting)kabla haijajazwa na uzoefu mwingi wa maisha.
Ukiangalia mtoto anavyoitazama dunia, utaona ana mwelekeo wa kuona mambo yana kusudi na chanzo fulani. Akiona kitu kikitokea, mara nyingi swali lake la kwanza huwa...
Wakuu nina maswali kuhusu Bima ya Afya na ningeomba haya maswali yajibiwe na wahusika.
Swali la kwanza:
Kwanini mgonjwa akitibiwa anatakiwa kukaa Wiki 2 au Mwezi ndio aende kutibiwa tena?
Yaan wanasema kwamba mgonjwa akitibiwa leo kisha akaugua tena kabla ya Wiki 2 kupita au Mwezi kupita na...
Wakuu nina maswali kuhusu Bima ya Afya na ningeomba haya maswali yajibiwe na wahusika.
Swali la kwanza:
Kwanini mgonjwa akitibiwa anatakiwa kukaa Wiki 2 au Mwezi ndio aende kutibiwa tena?
Yaan wanasema kwamba mgonjwa akitibiwa leo kisha akaugua tena kabla ya Wiki 2 kupita au Mwezi kupita na...
"Kwa hiyo nikifariki malaika wawili watakuja kwenye kaburi langu na kuanza kuniuliza maswali kwa Kiarabu. Ikiwa nitashindwa kuelewa, watanitesa kijana wa kiYoruba kwa sababu tu ya kushindwa kuelewa Kiarabu kaburini? 😂"
Quran ni kitabu kilichokamilika na hakina mashaka ndani yake
1. Issa alizaliwa chini ya mtende. Wapi?
Quran 19:22 - 23 Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali. Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye...
Habari za leo wapambanaji wenzangu.
Nimebahatika kuitwa oral interview nafasi ya relationship officer ii mwajiri ni Tanzania commercial bank.
Ningeomba mwenye kujua hawa jamaa huwa wanauliza maswali ya aina gani anisaidie..
Asante
Karibu ukope, maswali ya kujiuliza kabla ya kuja kukopa
Habari
Nikiwa kama mtoa huduma za mikopo mbali mbali kuna vitu au maswali ambayo ningependa mkopahi anapokuja kukopa awe amekwisha fanya tathmin yeye mwenyewe kwanza kabla ya kuja kukopa.
Swali la kwanza
Ninahitaji sh ngapi?
Hili ni...
Kauli isemayo “Taifa linaloogopa kuuliza maswali, huogopa kujijenga” ni tafakari nzito kuhusu umuhimu wa udadisi, uwazi, na uhuru wa maoni katika maendeleo ya nchi. Katika muktadha wa Tanzania ya sasa, kauli hii inatoa taswira ya mivutano kati ya jitihada za kimaendeleo na utamaduni wa kuhoji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.