balaa

Balaa (Urdu: بلا, lit. 'Monster') is a 2018 Pakistani thriller television series aired on ARY Digital. It is produced by Fahad Mustafa and Dr. Ali Kazmi under their banner Big Bang Entertainment. It stars Bilal Abbas Khan, Ushna Shah, Azekah Daniel, Samina Peerzada, Sajid Hassan, Ismat Zaidi and Mehar Bano. The series follows the story of a limping girl who destroys the lives of people around her due to her own insecurities and imperfections.

View More On Wikipedia.org
  1. TUKANA UONE

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Millenials ninayemkubali Diamond Platnumz, But kwenye Live Alikiba ni Balaa!

    Ndugu zangu wana jamiii Forums,Natumai mko salama! Binafsi nimekulia kwenye kizazi za kina Dully Sykes lakini ukweli ni kwamba,Namkubali sana msanii wa kizazi kipya aitwaye Diamond Platnumz!,Nimekuwa mshabiki wa muziki wa kizazi kipya tangu enzi za wasanii wenye umri wangu!,Nilishawishika sana...
  2. kimsboy

    JamiiForums Tanzania Ukikuta mchaga mwislamu, anakuwa mcha Mungu balaa

    Hapa sizungumzii wachaga wa Machame, Masama, Hai hadi Siha ambao wengi ni waislam Nazungumzia wachaga waislam kutoka Rombo, Marangu, Kibosho na Old Moshi, na Uru na maeneo mengine ya nchi ya Uchagga ukuwakuta hawa ni wachamungu balaa wameshika dini sana Tupe exprience yako ushawahi kuwaona pia?
  3. kimsboy

    JamiiForums Tanzania KERO Lugalo hadi Mwenge kuna foleni balaa

    Kama una mpango wa kuja Mwenge ukitokea Tegeta au mbezi au Kawe tafuta njia nyingine tu Kuna foleni ya kutisha na haisogei nimekaa hapa ni lisaa limekata hakuna matumaini ya kusogea hata, natamani hata nilitelekeze gari nichukue boda maana kuna mahali natakiwa kuwahi... Hii ya leo ni...
  4. and 998 others

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mishangazi ya siku hizi ina njaa balaa

    Tofaut na zaman ambapo ilizoeleka mishangazi inajiweza kiuchumi. Kwa sasa mishangazi mingi midangaji tu. GenZ stuka usipoteze nguvu kwenye show za mishangazi. Bora upige punyere tu. Utunze kibunda.
  5. Moto wa volcano

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukiangalia 'Nyash' kuliko tabia utakuja kuliona balaa lake

    Kuna ile umetoka kzn na stress mishe zimebuma halafu unarudi hm mke kanuna / kelele nyingi. Hapo ndo utajua umuhimu wa kuangalia tabia kuliko Nyash. Unakuwa na battle nyengine nyumbani
  6. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Tanzania Status WhatsApp yazua balaa kwa mume mwenye wake wawili

    Ukiwa mume mwenye mke zaidi ya mmoja basi kila hatua unayochukua inakubidi uitafakari mara mbili. Hayo yametokea jana baada ya baba mwenye mji wake kumpost mke mdogo kwenye Status WhatsApp Baada ya mara kwa mara mume kumpost bimkubwa status akaona leo ngoja nimrushe bimdogo nae hewani auze...
  7. Red black

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa akishavuta ganja akipanda on the stage ni balaa tupu😂

    smoking On the stage
  8. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Chadema ni wa MOTO Balaa CCM kazi wanayo uwanja wa uchaguzi ukiwa huru

    Guys guys Imagine hapa TAL Bado yupo jela lakini mwitikio bado ni mkubwa na unatisha hatari wamedhibitisha kweli ni chama kikuu Tanzania. Sipati picha Lissu awe huru hii chadema iko na MOTO 100 times kabla ya kufungiwa na baadhi wa wa mbunge wa CCM waanze kujitafakari mapema kama wataendelea...
  9. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Balaa laja. Bibi ayatakia heri majeshi.

    https://www.instagram.com/p/DWwlwwIjMM6/?igsh=MTR6eXB4MHVndWRqNQ==
  10. Red black

    JamiiForums Tanzania Old Milwaukwee Beer hii bia ni balaa nimeinywa juzi ila bado nimelewa siku ya tatu hii

    kama ni kichwa panzi utalewa week Moja Old Milwaukee beer ni tamu sana ikipita kwenye koo😂
  11. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Meli nyingine ya kivita ya Iran yatorokea India na kuomba hifadhi, hali tete, nyambizi za Marekani zinawinda balaa

    India yathibitisha kupokea meli ya Iran iliyokimbilia huko baada ya kutoroka mapambano, nyambizi za Marekani zinawinda chochote chenye ishara ya Iran. India has allowed an Iranian warship to dock as a humanitarian gesture, Foreign Minister Subrahmanyam Jaishankar says, after the US sank another...
  12. Tundusami

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke akitoka period muwai haraka haraka anakuwaga mtamu balaa

    Mwanamke akitoka period muwahi haraka haraka kwanza anakuwaga ana hamu ya mapenzi sana yani nyege zinajaa K ukiigusa ya motooo Yani mda mwingine unakuta anajibinua binua ovyo kumbe anataka mshedede
  13. Busu la Kenge

    JamiiForums Tanzania Mrusi arekodi kwa siri wanawake Kenya akiwatongoza na kumkubali mara moja. Wengine ni wake za watu

    Ni aibu kubwa kwa wanawake wa Kenya waliorekodiwa kwa siri na mzungu raia wa Urusi kwa siri na kumkubali mara moja na kukutana nao gesti na kuwapelekea moto. Video hizo ambazo zinasambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii imeleta gumzo. Cha kushangaza wanawake hao wanatongozwa chini ya dakika...
  14. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Ameamua kuishi kama mkimbizi, anajificha amekataliwa. Urais una raha gani? Ajiuzulu asione aibu

    Ameamua kuishi kama mkimbizi anajificha ficha amekataliwa. Sasa urais una raha gani ? Asione aibu kujiuzulu, hizi spana anazopigwa ni balaa. Anapigwa spana nje ndani na kila mtu mpaka anajificha, akipita hapa JamiiForums anachanganyikiwa. Huwezi kuua watu vile halafu uwe sawa. Umejitakia mwenyewe.
  15. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Leo vitu vimepanda bei balaa. Wanatumia kigezo cha maandamano kuumizana

    Leo sehemu nyingi vitu vimepanda bei balaa. Kilo moja ya nyama elfu 17 Nyanya moja 500 Chips yai elfu 5 Soda elfu 1 Nk nk Kwa mwendo huu ni ngumu watu kufikia lengo Hapo hakukuwa na maandamano hali ipo hivyo je maandamano yakiwepo angalau wiki 1 si itakuwa balaa zaidi Tamaa za...
  16. Trainee

    JamiiForums Tanzania Tangu internet izuiwe, baada ya kuruhusiwa mitandao inatupiga balaa sijui ni kwanini?

    Siku za nyuma hapo nimewahi kuunga vifurushi vya wiki mara nne kwa siku kama masihara vile. Nikicheki settings zangu ziko bomba nikipiga huduma kwa wateja wanang'ang'ana na hoja za kukariri tukaenda hivyo hivyo nadhani sijui kwajili nimewasumbia sana wakaacha ujinga wao (au niseme wakapunguza)...
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya Milioni 1.8 wakabiliwa na balaa la njaa, ukame

    Ripoti mpya ya usalama wa chakula nchini Kenya, inaonyesha kuwa karibu watu milioni mbili katika Kaunti kame nne za Kaskazini Mashariki mwa Kenya, wanakabiliwa na Uhaba mkubwa wa chakula. Serikali ya Kenya imetoa wito kwa wahisani kusaidia katika kukabili hali hiyo ya dharura ili kuepusha maafa.
  18. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Kuna vijana fulani humu basi wakionaga huu muunganiko huwa wanatetemeka balaa

  19. Surya

    JamiiForums Tanzania Uovu unatawala...... Leo kuna moto makanisani balaa

    Wakatoliki wote wanakemea uovu unaondelea kwenye nchi yetu.. Walutheri na sisi hatujabaki nyuma, kukemea japo huko juu viongozi wetu hawalushi makemeo wazi wazi, lakini waumini wote tunapewa neno la kutufungua fikra zaidi. Mchungaji wangu leo kanisani kafundisha Mambo mengi kwa ufupi. 1...
  20. Isenye

    JamiiForums Tanzania Lodge za Msamvu Morogoro zimejaa kunguni balaa

    Nimelala lodge ya 25k hapa msamvu ila imebidi tu nikatishe usingizi wangu. Kuna kunguni balaa. halafu kingine kuna malaya kila saa wanagonga milango wanaulizia kama unataka huduma ya papuchi.
Back
Top Bottom