The Western Australian Land Information Authority operates under the business name of Landgate. Formerly the Department of Land Information (DLI), the Department of Land Administration (DOLA) and the Department of Lands and Surveys (DOLS), it is the statutory authority responsible for property and land information in Western Australia.
Na Kijana Wa Ifoza
Katika Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari hali ya Kisiasa nchini uliofanyika leo, Septemba 8, 2026, Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Vijijini (RUJAT), Neville Meena, ametoa kauli inayochochea mjadala mzito kuhusu mustakabali wa tasnia ya habari nchini. Meena amedai...
Zanzibar sio dola huru hii ni kwa mujibu wa Montevideo convetion of statehood Article one.
Mtapiga kelele sana na hicho chama chenu cha wahafidhina wa Act Wazalendo lakini hamtafanikiwa.
Hizi ni pesa nyingi sana. Nyingi mno. US ina watu kama milioni 350 na inadaiwa dola Trilioni 40. Afrika nzima ya watu 1.4 bilioni inadaiwa kama trilioni 1.5 tu. Nchi inaweza kukopa hela zote hizo na isiendelee kweli? Hayo mahela yanajenga vitu vingi mno. Barabara, bandari, hospitali, shule na...
Mabadiliko ya viwango vya kubadilisha fedha tarehe 2 Septemba 2026 yanaonesha kuimarika kidogo kwa Shilingi ya Tanzania (TZS) dhidi ya Dola ya Marekani (USD) na Rand ya Afrika Kusini (ZAR).
Viwango vya Mabadilishano (NMB)
Dola ya Marekani (USD): Bei ya kununua imeshuka hadi Sh2,590 (kutoka...
CCM imekwama kila kona utawala huu haukubaliki ndani na nje ya CCM. Kuna dalili huu utawala usifike 2030 maana hata Mzee Warioba alishatamka haukuwekwa na wananchi.
Je, mmejipanga kukamata dola?
Je, mnaviongozi ambao watatosha kukamata nafasi zote muhimu?
Hilo kwasasa halipingiki kuwa, unapozungumzia maridhiano pande zinazohusika ni:-
kundi la kwanza linaundwa na watawala, serikali na vyombo vya dola na wafanyabishara wakubwa ambao wamehozi CCM na wanaushawishi juu ya serikali. Kwenye kundi hili pia zipo baadhi ya Taasisi za dini kikristo...
Kuna silaha ambayo haihitaji bunduki, risasi wala mabomu ili kuligawa taifa. Silaha hiyo ni propaganda—hasa propaganda inayolenga kuwafanya wananchi waamini kwamba tofauti zao ni sababu ya kuchukiana.
Watanzania tunapaswa kuwa makini.Mara nyingi propaganda ya mgawanyiko haiji kwa kusema wazi...
Katika zama hizi ambazo maendeleo ya nchi yamekuwa makubwa upo umuhimu wa kuwa na Serikali au Dola lenye maguvu na makucha zaidi ...la sivyo kila aliyefanikishwa kuwa tajiri atatutawala sana kutokana na uwezo wake kifedha.
Ukiwa na matajiri wenye uwezo wa kununua vyombo vya habari kutaka...
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Dorothy semu, ameweka wazi kuwa chama chake hakina ushirikiano, urafiki wala mahusiano ya na Dola wala Chama Cha Mapinduzi (CCM), bali ACT inalenga kutimiza wajibu wake wa kisiasa kwa mujibu wa Katiba na sheria za nchi.
Akizungumza katika mahojiano...
Habari za wakati huu;
Nachokoza mjadala kidogo ambao naamini kabisa ndio mjadala unaoendelea kwa sasa hapa nchini kwetu.
Mara nyingi nimekuwa nikisikia tuhuma kwamba Chama Tawala CCM kimeungana na serikali sana na hivyo kinaitwa chama dola.Katika siasa tunapozungumzia Chama Dola tunazungumzia...
John Heche, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA amesema; “CCM sio Chama cha siasa bali ni Dola iliyojivisha nguo za Kijani, CHADEMA ndio Chama cha siasa kwakuwa huko field hatukutani na CCM bali vyombo vya Usalama”
Video: Clouds Media Digital
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayeshughulikia Oganaizesheni, Paulo Chacha, amesema CCM imejijengea msingi imara wa kisiasa unaoiwezesha kuendelea kushinda uchaguzi katika ngazi mbalimbali za uongozi nchini, huku ikijiwekea lengo la kuendelea kuongoza dola...
Tujikumbushe kuhusu kisa hiki cha Zimbabwe
Thamani ya fedha iliporomoka kiasi kwamba manunuzi ya kawaida yalihitaji kiasi kikubwa sana cha noti, hali iliyozalisha picha maarufu za watu kubeba mafungu makubwa ya fedha kwa ajili ya bidhaa za msingi.
Cha kushangaza zaidi ni kwamba, pamoja na...
Salamu sio lazima twende moja kwa moja kwenye kisa Cha kweli chenye hekima kubwa👇
Zamani kidogo, kulikuwa na mzee mmoja tajiri na mchapa kazi aliyekuwa anamiliki mali na biashara nyingi. Alikuwa na mtoto mmoja wa kiume aliyekuwa mvivu sana, asiyetaka kufanya kazi yoyote na aliyekuwa anasubiri tu...
Kifo cha mwigizaji maarufu Chadwick Boseman mwaka 2020 kiliwashtua mamilioni ya mashabiki duniani kote. Boseman, aliyefahamika zaidi kwa nafasi yake ya T'Challa katika filamu ya Black Panther, alikuwa akipambana kwa siri na saratani ya utumbo mpana (colon cancer) huku akiendelea kufanya kazi...
"Vyombo vya habari vya Magharibi vinatumia dola 800 kwa video moja kuweka umwamba wa masimulizi barani Afrika. China imefanya mengi, lakini imesema kidogo sana."
Hayo yamesemwa na mwandishi wa habari kutoka Rwanda, Eugene Uwimana ambaye amewahi kufanya kazi katika vyombo vya habari vya...
Lengo tuliloweka kama Nchi kupitia Dira ya 2026-2050 ni kubwa sana na linahitaji juhudi za ziada sana.
Ni sawa na mtu mwenye Milioni 1 kuweka lengo la Kufikia Milioni Bilioni 1.
Kama tutafika inamaana tutakuwa miongoni mwa mataifa.
Nigeria wao wameshindwa Kufikia Lengo lao mwaka 2030 na Sasa...
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inatarajia kufanya kuwa wa kudumu mpango wa majaribio unaowataka raia wa mataifa 50, mengi yakiwa ya Afrika, kutoa dhamana kubwa wanapoomba viza, huku gharama zake sasa zikitarajiwa kufikia hadi $20,000.
Ilani ya awali, iliyochapishwa Ijumaa katika Rejista...
Ndugu zangu Watanzania,
Nenda Sehemu yoyote ile Ya Dunia hii,Nenda kila pembe ya Dunia, nenda Ulaya ,nenda Marekani,nenda Afrika ,nenda kwenye Tawala za kifalme au Kichifu Hakuna ambako utakuta Dola ikichezewa na mtu Akachekewa tu na kuachwa aendelee kuyumbisha Dola na Usalama wa Taifa.
Hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.