Oliver Manjet Chambuso (born September 7, 1992), known as Oliver Kesi or just Kesi (stylised as KESI), is a Danish rap artist. He promoted himself through his own YouTube channel within the grime genre also cooperating with others, notably Kidd. He also made music with a group of Nørrebro-based rap artists BOC (abbreviation for Bars of Crack or Bombs Over Copenhagen or Bombs Over Centrum). Success on the Internet with particular debut song "Byen Sover" (meaning "The City Sleeps") led to a series of concerts and interest from established record labels, such that Kesi, at the age of 18 signed with Universal Records in July 2011.In August 2011 Kesi released his first official single "Slem dreng" (meaning bad boy). This brought in great visibility in the media and an appearance on TV 2 in a special feature Kesi also performed in a series of concerts, including at Roskilde Festival, Distortion-festivalen and festival Sounds. His follow-up single on Universal is the single "Født I Dag" (meaning born today) produced by Benny Jamz from BOC and also the single "Ku godt". His debut album Bomber Over Centrum was released in February 2012 followed by Ung hertug in 2013 and Barn af Byen in 2015.
Wakati CHADEMA ikianza operesheni ya “Katiba Mpya Free Lissu” katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, tayari hofu imeshatanda serikalini, ambapo Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imeiandikia baria ikitaka ijieleze kwa nini isifungiwe au kutozwa faini.
Miongoni mwa makossa wanayotakiwa kujieleza ni...
Ndugu zangu Watanzania,
John Heche Inapaswa kwa sasa asiwepo Mitaani,inapaswa awe ndani ,inapaswa awe kwenye ulinzi mkali wa Magereza ,inapaswa awe kwenye Mfululizo wa mahojiano na kujibu mashitaka ya kauli zake za kuchochea vurugu wakati wa uchaguzi,anapaswa kuunganishwa katika kesi...
Ukisikiliza hii hotuba ya mh. Heche utagundua taifa hili tuna rasilimali ya watu wema sana na tunatakiwa kuwatumia kama taifa kwa manufaa yetu sote na Heche kwangu amethibitisha hilo baada ya Tundu Lisdu
Msikilize
https://youtu.be/0vuyOE2_9GA
𝗟𝗜𝗦𝗦𝗨 𝗡𝗜 𝗕𝗢𝗥𝗔 𝗔𝗕𝗔𝗞𝗜 𝗝𝗘𝗟𝗔 𝗧𝗨
𝗖𝗛𝗔𝗗𝗘𝗠𝗔 𝗧𝗨𝗠𝗘𝗥𝗜𝗗𝗛𝗜𝗔.
Huyu ni mwalimu wa sheria na anafundisha sheria huko mahakamani na anawafundisha sheria akina Katuga.
Kwa hiyo aendelee kukaa jela tu mbona muda bado mrefu tu anao wa kutoa shule ya sheria! Sasa Mandela wa Ikungi anachoka mapema hivi? Yaani siku...
Kwema Wakuu.
Yamenikuta majanga wakuu mpaka kufikishana polisi then baadae mahakamani kwa Madai ya wizi(mashine za kampuni). Ilinipa changamoto sana katika hatua za mwanzo kutatua hii changamoto pesa zilikuwa zinanitoka tu lakini hakuna matumaini.
Kuanzia polisi mpaka mahakamani na...
Mbunge wa Lahn-Dill nchini Ujerumani, Mheshimiwa Johannes Volkmann wa chama cha CDU ameihoji Serikali ya nchi hiyo kwamba, inachukua hatua gani kwa Tanzania kutokana na mauaji ya raia katika uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 na kuhusu kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, aliyosema inakiuka...
Kuna story imeleta mjadala mkubwa sana kwa wananchi baada ya mwanamke mmoja kufungua kesi dhidi ya Kenya Medical Research Institute (KEMRI) kutokana na conflicting HIV results.
According to taarifa, mwanamke huyo alipimwa HIV positive mwaka 2023 katika hospitali ya serikali na akaanza ART...
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linaendelea na uchunguzi wa tukio la mauaji ya kikatili ya mwanafunzi wa Chuo cha IFM, James Rogers Temba, ambaye mwili wake ulikutwa ukielea kwenye maji ya Mto Msimbazi, eneo la Kipawa Ilala ukiwa hauna kichwa, Aprili 30, 2026.
Polisi tayari...
Mahakama zinaogopwa sana hata kwa watu wenye haki , niliwahi kufungua kesi Mahakama ya kisutu , sikutegemea mashahidi niliowaamini wote walikimbia ☺️ kwa hofu ya jengo la mahakama ijapokuwa wanaujua ukweli.
Kuna mashahidi walikuja kutoa ushahidi kufika kwenye ma benchi ya mahakama wakati wa...
Wananchi hawa wa Mbagala Rangitatu, Dar es Salaam, wamedai kubomolewa makazi, vibanda vya biashara zao na Manispaa ya Temeke wakati kesi iko mahakamani, tukio hilo limetokea Mei 2, 2026.
Wananchi wanadai wana zuio la Mahakama Kuu na kesi ipo mahakamani ila Manispaa ya TEMEKE walifika ghafla Mei...
Mahakama Masjala Ndogo ya Dar es salaam April 30, 2026 imekataa ombi la Tundu Lissu la kuunganishwa katika shauri namba 8323/2025 lililofunguliwa na Said Issa Mohamed na wenzake dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Chama pamoja na Katibu Mkuu wa Chama.
Awali, baada ya Lissu kuwasilisha ombi hilo...
Yaani wameshindwa kabisa kuficha udhaifu wao kiasi kwamba hata wale waliokuwa hawaamini kuwa hii kesi no ya mchongo, sasa watakuwa wameamini.
Tundu Lissu anaingia katika kundi la watu maarufu wa kupigania haki za watu duniani huku wao wakiingia katika historia ya watawala waovu na...
Baadhi ya kesi za kubaka Tanzania zinaweza kuwa za mchongo sana tuwe makini vijana ,ukiona kijana mwezako yamemkuta usifurahie mara nyingi tumezungukwa na watu wabaya sana mitaani .
Mahakama Kuu ya Gauteng imeamua kuwa kampuni ya uwekezaji ya Patrice Motsepe, African Rainbow Capital (ARC), haiwezi kuwajibishwa katika kesi ya dola milioni 195 (Tsh. Bilioni 505.7) iliyofunguliwa na kampuni ya Marekani, Pula Group.
Mahakama hiyo pia ilibainisha kuwa ARC haiwezi kubeba lawama...
Hukumu imetoka sasa hivi. Jela miaka 5 kwa kukutwa na silaha bila vibali, kuitumia bila vibali, kuhatarisha maisha ya wengine ..etc etc
Naona wana mitigate rufaa asiwekwe ndani mpaka rufaa yake itoke. Mahakama imekubali sentence appeal but not conviction
--------------
Kiongozi wa Chama...
Mahakama ya Rufaa inatarajiwa kusoma uamuzi wa kesi ya Saidi Issa Mohamed dhidi ya CHADEMA leo Aprili 15, 2026. Chama kimesema kimepokea taarifa hiyo kutoka mahakamani na kuahidi kuujulisha umma kuhusu matokeo ya uamuzi huo mara tu utakapotolewa.
Kesi hii inahusiana na mgawanyo wa mali na...
Jaji Mkuu wa Tanzania, Jaji George Masaju katika ufunguzi wa wiki ya Usuluhishi Aprili 09, 2026 Wiki ya Usuluhishi, inayofanyika katika Ukumbi wa PSSSF Golden Jubilee Tower jijini Dar es Salaam tarehe 9 Aprili, 2026, amekemea vikali Mahakama kukaa na shauri kwa muda mrefu.
Aidha, Jaji Masaju...
Nimekutana na hii taarifa ya maamuzi ya rufaa ya kesi ya Bernard Membe dhidi ya Cyprian Musiba.
Kwanza ikumbukwe kesi ilipokuwa inasikilizwa Mahakama Kuu, upande wa washitakiwa, yaani upande wa Musiba, hawakutokea Mahakamani kwa hiyo kesi ilisikilizwa upande mmoja na mdai yaani Membe kupewa...
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu ameomba kuahirisha kutoa ushahidi katika kesi yake ya ufisadi ya muda mrefu ambayo ilipangwa kuendelea wiki ijayo, akitoa sababu ya hali ya usalama inayoendelea katika eneo hilo, wakili wa Netanyahu alisema katika kesi iliyowasilishwa mahakamani Ijumaa.
Kesi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.