Msemaji mkuu wa serikali ya DRC, Patrick Muyaya, ametangaza kusitishwa kwa matumizi ya mitandao ya kijamii ya X na Tik Tok, kwa alichokiita kuepuka usambazaji wa taarifa za uongo, zinazopotosha raia na kuwaweka katika hali ya sintofahamu.
Zaidi, google play na yenyewe imezuiliwa ili watu...