godbless lema

Godbless Jonathan Lema (born 26 October 1976) is a Tanzanian Chadema politician and Member of Parliament for Arusha City constituency from 2010 to 2015. He was also a candidate for the same constituency in the 2015 general election which was conducted on 25 October 2015. However, the parliamentary election for Arusha Constituency had to be postponed following the death of Estomoh Malya who was the parliamentary candidate for the Alliance for Change and Transparency, a newly established opposition political party in Tanzania.
The by-election was scheduled for 13 December 2015 and Lema was expected to win since Arusha is one of the Chadema strongholds. In the October 2015 general election, his party won 23 out of 24 members of the Arusha City Council. Lema has been vocal and well known following his activists politics against the ruling Chama cha Mapinduzi. He led a number of political rallies and protests against the government and CCM, some of which resulted in serious injuries and deaths after fierce police confrontation. However, his leadership increased Chadema popularity in the Northern City of Arusha and for the first time, its council is led by the opposition.In 2020 he moved to Canada as a refugee, after being arrested without cause in a government crackdown on the opposition Chadema party following the 2020 Tanzanian general election.

View More On Wikipedia.org
  1. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema atakapobanduliwa chadema unadhani anaweza kujiunga na chama gani cha siasa nchini?

    Maana kuna viashiria vya wazi kabisa na tuhuma za usaliti zinamzonga na kumuandama mwanasiasa huyu wa chadema kutoka kanda ya kaskazini ya chama hicho cha upinzani. Endapo hilo litatokea, na akabanduliwa uongozi na uanachama wa chadema, Kwa haraka haraka na kwa mtazamo wako, unadhani Godbless...
  2. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Kwa kudinda kutibua minywele kama wengine, Godbless Lema anaweza kubanduliwa Chadema?

    Na kwamba, Godbless Lema ni msaliti kwa mambo ya chama kama vile kutibua minywele? Au kuna jambo jingine zito zaidi linataka kufunikwa na kufichwa na kwamba Lema ndio mfichuzi na amelishupalia sana? Je, suala la kutibua minywele linaweza kuzua kizaa zaa cha usaliti chadema,na watu kufukuzwa...
  3. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania GODBLESS LEMA: NDOA HAIJENGWI KWA ELIMU YA DEGREE

    Ujumbe wa aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini @godblessjlema1 kuhusu suala la ndoa baada ya @pastor_roseshaboka kusema ana Degree 4 hivyo hawezi kuishia kupika na kufua. "Tatizo la zama hizi ni kwamba tunawasilisha ndoa kana kwamba ni gereza la ndoto, wakati ukweli ni kwamba ndoa bora ni mahali...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Lema amjibu Rose Shaboka: Kufua boxer au kupika ukiwa na degree nne si udhaifu

    Kufuatia Mjadala uliosambaa Mitandaoni baada ya kauli ya Mtumishi Rose Shaboka kuongelea kuhusu uwa na Elimu 'Degreee' na kuishia kuwa Mke wa kufua boxer na Kupika, basi Godbless Lema amesema yake; ------ Naandika kwa ajili ya binti yangu Brilliant! Tatizo la zama hizi ni kwamba tunawasilisha...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Lema: Wote waliohama kwa kusaliti, kushawishiwa au hofu kutokana na mazingira yaliyokuwepo wanakaribishwa tena

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mbunge wa zamani wa Arusha, Godbless Lema, ametoa wito kwa wanachama wote waliokihama chama hicho kutokana na ushawishi, hofu au mazingira mbalimbali kurejea na kushiriki katika kukijenga upya. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya...
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema amwalika Mrisho Gambo Ijumaa Mei 22 atoe ushuhuda, aliyokutana nayo. "Huku hakuna nyama za matambiko"

    Tuseme kwamba Mrisho Gambo amechoka kuwa mnafiki? Haya tutayaona mengi sana hadi kufika 2030 ========= Sawa bhana Dhambi zako zote zimekuwa cleared. Sasa Ijumaa 22/5 fika Releni utoe ushuhuda live. Na usiwe na wasi wasi... huku hakuna nyama za matambiko
  7. McLaren

    JamiiForums Tanzania Katibu Uenezi CCM Arusha: Godbless Lema ni kama Afisa Masoko wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)

    Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Saipulan Ramsey, amefunguka kuelekea mkutano wa chama cha Chadema amesema kwamba Godbless Lema ni mkuu wa masoko wa CCM Soma Pia: Godbless Lema: Watu wa Ikulu walipiga simu wanaomba watu wa CHADEMA isaidie...
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Godbless Lema: “Oktoba Tunatiki, ‘No Reforms No Election’ Inachocheaje Maandamano? Maandamano yamechochewa na Uhuni na Ukandamizaji wa Haki

    Godbless Lema amendelea kukiwasha na kutoa maoni yake yalitokea Oktoba 29, 2025. Godbless Lema amesema Oktoba tunatiki, No Reforms No Election inachocheaje maandamano? Maandamano yamechochewa na uhuni na ukadamizaji wa haki na Demokrasia katika nchi ya Tanzania. Soma Pia: Godbless Lema: Watu...
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Godbless Lema: Watu wa Ikulu walipiga simu wanaomba watu wa CHADEMA isaidie kutuliza maandamano

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Godbless Lema, amesema wakati maandamano yakiendelea Oktoba 29, Boni Yai pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Amani Golugwa, walimpigia simu na kumueleza kuwa watu kutoka Ikulu walikuwa wanataka kuzungumza na viongozi wa...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Kwako Godbless Lema: Kutana na Lisu kujua kama kweli Lisu alimtuma kusema aliyosema

    Tafuta any means kutembelea Lisu kupata ukweli wa alichokisema Lisu! Inaonekana Kisabo anataka kuleta ushenzi! Tafuta any means kujua ukweli wa Lisu!
  11. R

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema kutoka X: Note: Alishasema hakulelewa kupingana na serikali

    Godbless Lema kutoka X: Baba Askofu, Bwana Yesu asifiwe. Nimekuwa nikiona mijadala mingi katika mitandao ya kijamii kuhusu madai ya kuhusishwa kwa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania na mikakati ya kisiasa kuelekea uchaguzi wa mwaka 2030. Ingawa si rahisi kuthibitisha kwa uhakika, kelele...
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe maneno mazito ya Godbless Lema alimwambia Rais Samia, Nilinusurika kuuawa zaidi mara 3

    Mwanasiasa wa muda mrefu katika siasa za Tanzania kutoka ndani ya CHADEMA Godbless Lema aliwahi kuzungumza mambo mazito sana kuhusu uongozi wa Rais Samia huku akimsii sana kwenye kauli zake na namna ya kuliongozo taifa zima la Tanzania Mh Rais wetu nimekusikiliza zaidi ya mara 20, Mh Rais wewe...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa Jumapili toka kwa Godbless Lema: Kwanini tuko duniani

    Usipokuwa makini katika maisha na kutafakari kwa kina, unaweza kujikuta unaishi bila kusudi. Ukizaliwa, unaishi kwa ajili ya kula, kunywa, mapenzi, kuzaa, kuzeeka na hatimaye kufa. Kukosa purpose ya maisha ni tatizo kubwa sana, na ndilo chimbuko la ujinga na upumbavu kutawala duniani. Bila...
  14. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi upo? Huyu ndiye Katibu wa itikadi, uenezi na propaganda wa CCM - Mwigulu Nchemba katika ubora wake. Anaustahili u - PM huyu?

    Tunaishi katika nyakati ambazo ni za ajabu sana, kijana asiyeoa anahangaika hata kupata msichana wa kumpenda, lakini mwanaume aliyeoa ana mahusiano ya siri ( michepuko) zaidi ya mitano. Imagine this guy ni kiongozi? =========================
  15. R

    JamiiForums Tanzania Anaandika Godbless Lema: Dhihaka dhidi ya Ukatoliki

    Nina uhakika kinachoendelea dhidi ya Katoliki si mzaha wala burudani, bali ni dharau, dhihaka na kejeli ya wazi dhidi ya Katoliki na Imani ya Kikristo kwa ujumla. Hii ni hatua hatari sana kwa Taifa. Mzaha wa aina hii hauwezi hata kufikiriwa kufanywa na vijana wa Kikristo dhidi ya taasisi za...
  16. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Jeshi la Polisi lifuatilie hii kashfa ya OCD Georgina Matage kutaka kumpulizia Godbless Lema pilipili sehemu za siri

    Wakuu kama alichosema Lema ni kweli basi huyu Georgina Matage ni mwanamke katili kwelikweli. Simjui Georgina Matage ila nashindwa kuelewa ujasiri alionao kuweza kumvua nguo mtu mzima kama Lema hadi kuona nyeti zake na kutaka kumpulizia pilipili sehemu za siri. Lema alishawahi kuwa mbunge wangu...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Serious note ya Godbless Lema juu ya mapungufu ya taaluma, utaalamu, uzembe, elimu ndogo, UONGO ndani ya mifumo ya VYOMBO vya Usalama wa Taifa

    Anaandika Godbless J Lema TAARIFA ZA UONGO NA MATESO NA MAUAJI YA RAIA. Mwaka 2011, jijini Arusha, kulitokea sakata zito la mauaji yaliyosababishwa na Polisi kufuatia maandamano ya wananchi waliopinga uchaguzi Meya feki wa Arusha Mjini. Tukio hilo liliacha majeraha makubwa katika mioyo ya...
  18. The Magnifico

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasanii waanza kutia huruma baada ya Godbless Lema kushauri njia ya kudili na wote wasiosimama pamoja na wananchi, wadai wao siyo chanzo cha shida zao

    Leo asubuhi Lema alitoa ushauri ufuatao wa namna ya kudili na machawa wanajibaraguza wa wanasiasa na kuacha kusimama na wananchi ambao ndiyo nguzo kuu yao: "Ni rahisi sana kuwaweka CHAWA straight bila fujo yoyote. Hii ni kwa Gen Z na watu wengine wote. Hatupigi kelele, hatutukani , tunapiga...
  19. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania (Kumbukizi) Lema: Jenista, kwa jinsi unavyopenda Uwaziri siku ukitumbuliwa unaweza ukafa

    Godbless Lema ni Nabii wa Kweli heshimuni maono yake kuepuka Majanga Godbless Lema akiwa Bungeni aliwahi kusema: "Jenista kwa jinsi unavyopenda Uwaziri siku ukitumbuliwa unaweza ukafa baada ya siku si nyingi. Huwezi ku--defend kila jambo kwa sababu unataka uonekane. Kuna saa unachill, wisdom"
  20. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema ampiga za uso Nabii Bashando, umeingia kwenye anga za mtoto wa Mungu utakufa hivi karibuni

    Kuna kutupiana maneno Kati ya Lema na huyu Nabii Sasa kilichotekea ni hivi ====== Post ya juu (nabii_bashando): “Nimekuwa na maombi ya kuutakasa mji wa Arusha na kwa siku sita hatimaye leo nimemaliza…. Ujumbe nilioupata ni juu ya huyu nabii wa CHADEMA kwamba atengeneze mambo ya nyumbani kwake...
Back
Top Bottom