Nsunu kanyoko wena njaa,kwa tulioishi kidogo south africa,maana yake ni,""Hatutajali chochote,au liwalo na liwe,kwa lugha za kuko kwao,
Kama kuna watanzania tafadhalini rudini tu hawa jamaa hawana utu tena,3 day left ,kabla ya tarehe ya mwisho #JUNE 30.