Nchi za ulaya mangaribi zinatumia western liberal model of development
Nchi za asia: south korea, Taiwan, Thailand, Singapore, na Malaysia zinatumia: developmental state model
US wanatumia command and market economic model
Sasa, naomba kuuliza kiungwana tu, Tanzania yetu na hasa serikali hii ya ccm inafuata model ipi kutuletea maendeleo ya kiuchumi?
Nchi za asia: south korea, Taiwan, Thailand, Singapore, na Malaysia zinatumia: developmental state model
US wanatumia command and market economic model
Sasa, naomba kuuliza kiungwana tu, Tanzania yetu na hasa serikali hii ya ccm inafuata model ipi kutuletea maendeleo ya kiuchumi?