ambulance

An ambulance is a medically equipped vehicle which transports patients to treatment facilities, such as hospitals. Typically, out-of-hospital medical care is provided to the patient.
Ambulances are used to respond to medical emergencies by emergency medical services. For this purpose, they are generally equipped with flashing warning lights and sirens. They can rapidly transport paramedics and other first responders to the scene, carry equipment for administering emergency care and transport patients to hospital or other definitive care. Most ambulances use a design based on vans or pick-up trucks. Others take the form of motorcycles, cars, buses, aircraft and boats.
Generally, vehicles count as an ambulance if they can transport patients. However, it varies by jurisdiction as to whether a non-emergency patient transport vehicle (also called an ambulette) is counted as an ambulance. These vehicles are not usually (although there are exceptions) equipped with life-support equipment, and are usually crewed by staff with fewer qualifications than the crew of emergency ambulances. Conversely, EMS agencies may also have emergency response vehicles that cannot transport patients. These are known by names such as nontransporting EMS vehicles, fly-cars or response vehicles.
The term ambulance comes from the Latin word "ambulare" as meaning "to walk or move about" which is a reference to early medical care where patients were moved by lifting or wheeling. The word originally meant a moving hospital, which follows an army in its movements. Ambulances (Ambulancias in Spanish) were first used for emergency transport in 1487 by the Spanish forces during the siege of Málaga by the Catholic Monarchs against the Emirate of Granada. During the American Civil War vehicles for conveying the wounded off the field of battle were called ambulance wagons. Field hospitals were still called ambulances during the Franco-Prussian War of 1870 and in the Serbo-Turkish war of 1876 even though the wagons were first referred to as ambulances about 1854 during the Crimean War.

View More On Wikipedia.org
  1. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Edward Lekaita Akabidhi Ambulance Hospitali Ya Wilaya Ya Kiteto na mifuko 900 ya saruji katika kata za Jimbo la Kiteto

    Mbunge wa Jimbo la Kiteto Mkoa wa Manyara, Mhe. Edward Ole Lekaita amekabidhi Ambulance 🚑 mpya kwa uongozi wa Hospitali ya Wilaya ya Kiteto na kuwataka kulitunza ili liwanufaishe. Vilevile, Mhe. Edward Ole Lekaita amekabidhi Mifuko 900 ya Saruji kwa Kata ya Bwawani (Mifuko 50), AMCOS Matui...
  2. Stephano Mgendanyi

    Bilioni 4 Kujenga Ambulance Boat Kupitia TASAC Ziwa Viktoria, Mwanza

    BILIONI 4 KUJENGA AMBULANCE BOAT KUPITIA TASAC ZIWA VIKTORIA, MWANZA Serikali ya Tanzania kupitia Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) December 22,2023 imetia saini mkataba wa mradi wa ujenzi wa boti yenye vifaa vya matibabu (Ambulance Boat) ambao umesainiwa baina ya TASAC na Kampuni ya...
  3. Chizi Maarifa

    Hamas wahojiwa waelezea matumizi ya Ambulance na Jinsi ambavyo wanaitekeza Israel

    Israel imekwisha. Hamas wameshaimaliza Israel. Sisi tunasheherekea hapa Tandale kwa Mtogole kwenye Ms..... Wa Ijumaa Israel... Wamekwisha kabisa. Vita imewashinda..... Hamas wamejificha kwenye mahandaki wakipigana na wadudu kama panya nk. Israel wapo palestine hamas wapo mashimoni. Wakiendelea...
  4. benzemah

    Serikali Kupeleka Magari Mawili ya Wagonjwa Kila Wilaya Nchini Ifikapo Agosti Mwaka huu 2023

    Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amesema Serikali inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, itapeleka magari mawili ya wagonjwa na moja la kusaidia shughuli za usimamizi wa masuala ya afya katika wilaya nchini ifikapo Agosti mwaka huu. Akizungumza na mamia ya...
  5. K

    DOKEZO Baadhi ya wagonjwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro wanachangishwa fedha za mafuta ili wabebwe kwenye Ambulance

    Jambo lingine ni kuwa baadhi ya wagonjwa wanaopatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro wamelalamikia kuchangishwa fedha za mafuta katika magari ya kubeba wagonjwa kutoka hospitali hiyo kwenda kupata matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam. Wananchi wamesema...
  6. M

    Je, ni sahihi wananchi kuchangia mafuta ambulance au magari ya polisi wanapohitaji huduma?

    Imekuwa kama kasumba sasa. Mwananchi akipata tatizo kwenye mahospital ya wilaya ambazo ziko na hospital za rufaa na kisha kuandikiwa rufaa huwa anaambiwa kuchangia mafuta ili mgonjwa apelekwe. Polisi nao ukienda kuripoti tukio la uhalifu ili waende eneo la tukio huwa wanahitaji mafuta ya...
  7. Mparee2

    Ambulance za Hospitali za Serikali

    Mtu akitaka kutumia ambulance ya serikali kusafirishia mgonjwa kwenda Hospitali ya Serikali anatakiwa kufuata utaratibu gani?
  8. kavulata

    Adhabu ya TFF/bodi ya ligi kwa Mbwana Makata, sio kila gari ni Ambulance.

    Makata kudai ambulance kuwepo uwanjani ni suala la kikanuni na Ambulance haikuwepo uwanjani bila kujali kuwa ilikwenda wapi kufanya nini. Ambulance ni gari maalumu lenye miundombinu inayoweza kuokoa maisha ya mgonjwa mwenye afya mbaya wakati anakimbizwa kuwahi matibabu kamili ya hospitali. Sio...
  9. buffalo44

    SoC01 Iundwe idara ya ambulance na uokoaji ili kusaidia kwenye dharura na uokoaji kuepusha vifo vinavyoepukika kwa kuwahi matibabu

    Salaam wakuu. Nchi hii ni yetu sote, matatizo yetu tunaweza kuyatatua kwa rasimali kidogo tulizonazo. Hapa Tanzania suala la Ambulance hata hatuelewi linafanyaje kazi. Mara nyingi ambulance zinasafirisha referred patient (Wagonjwa pendekezwa kwenda hospital nyingine). Kwa matatizo ya dharura...
  10. Cannabis

    Mbunge wa Rorya abadili rangi ya gari la kubebea wagonjwa kwa kile alichoita maslahi mapana ya wananchi wake

    "Nimewasikia wananchi wangu na tumefanya mabadiliko ya rangi ya gari hili (Ambulance) kwa maslahi mapana ya Wana Rorya wote bila ya kujali vyama vyao. Poleni sana kwa wale waliovurugwa na rangi ya awali, nia yetu ni njema kwa watu wote wa Rorya" Mhe. Jafari Chege Mbunge, Rorya.
Back
Top Bottom