jnhpp

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP): Hayawi hayawi sasa yamekuwa

    Katika mazingira yenye wingi wa taarifa kutoka vyombo vya habari na tofauti za mitazamo, mafanikio halisi na miradi mikubwa ya maendeleo hubaki kuwa kigezo cha kuaminika zaidi cha kutathmini asili ya mahusiano kati ya mataifa. Hii ni kwa sababu huakisi ukweli uliopo ardhini na kiwango cha...
  2. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Mradi wa JNHPP: Fursa Mpya za Maendeleo Tanzania

    Samia Amkosha, Mbowe JNHPP! JNHPP ni mradi wa kihistoria na fahari ya Tanzania. Ni hatua kubwa itakayoongeza fursa za uzalishaji, uwekezaji na ajira kwa Watanzania. “Ndoto imetimia,” Rais Samia amesema, akisisitiza umuhimu wa mradi huu katika kuchochea maendeleo ya Taifa.
  3. Bishweko

    JamiiForums Tanzania Makamanda mnaomnaga Mbowe kushiriki uzinduzi wa JNHPP mnamanisha au mihemko?

    Sina utaratibu wa kuandika andiko fupi lakini leo naomba nijaribu. Nimeona kwenye mitandao makamanda na wengine wanao amini kua ni wanaharakati wakimnanga Mh.Mbowe kushiriki uzinduzi wa mradi mkubwa wa umeme wa JNHPP. Wengi wanaotoa shaka na tuhuma kua Mh.Mbowe amekosea sana na kuonesha kua ni...
  4. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania WANANCHI WAMSHUKURU RAIS SAMIA KUKAMILIKA KWA MRADI WA JNHPP

    Wananchi mbalimbali wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan kufuatia kukamilika kwa mradi wa kuzalisha umeme wa Julius Nyerere Hydropower Project, mradi ni miongoni mwa miradi mikubwa zaidi ya miundombinu ya nishati nchini ikiwa na uwezo wa MW 2,115...
  5. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Hili bwawa kwa uhalisia lilipaswa kuitwa Magufuli Hydro power project sio JNHPP. Nyerere alishindwa kulijenga kupigana vita visivyo na maana

    Nyerere aliacha kuangalia maendeleo ya taifa lake. Akabaki kupigana vita Msumbiji , Afrika kusini Zimbabwe N.k Magufuli akafunga mkanda bwawa limejengwa na leo hii linakwenda kuzalisha Mw 2115. Mwinyi, Mkapa na Kikwete hawakuweza hata kidogo. Hili bwawa linapaswa kuitwa MHJPP.
  6. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Mradi wa JNHPP si 'white elephant', umeme utamfikia kila mwananchi

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewakosoa wanaodai kuwa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Bwawa la Mwalimu Julius Nyerere (JNHPP) ni “white elephant” na kwamba hauna tija kwa Taifa, akisisitiza kuwa ujenzi wa njia kuu za kusafirisha umeme unaendelea kwa kasi kubwa...
  7. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ni urithi wa uongozi wa Rais Samia utakaokumbukwa daima

    Leo, 22 Agosti 2026, Rais Samia anatarajiwa kuzindua rasmi mradi huu wenye uwezo wa kuzalisha MW 2,115. Mitambo yote tisa, kila mmoja ukiwa na uwezo wa MW 235, ilikuwa tayari imekamilishwa na kuunganishwa katika Gridi ya Taifa kufikia mwaka 2025. Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP)...
  8. Superbug

    JamiiForums Tanzania Uwepo wa Mbowe kwenye ufunguzi wa bwawa la Mwl Nyerere ni usaliti kwa Lissu?

    MBOWE ameonekana kupitia TBC kwenye shughuli ya UFUNGUZI WA BWAWA la Mwl Julius Nyerere je ni USALITI KWA LISSU?
  9. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania JNHPP imewashwa na ndoto za watanzania zimetimia

    Julius Nyerere Hydropower Project ni miongoni mwa miradi mikubwa zaidi ya miundombinu ya nishati nchini ikiwa na uwezo wa MW 2,115. Ukubwa wake unaonyesha dhamira ya Tanzania kuongeza uwezo wake wa kuzalisha nishati na kuimarisha msingi wa uchumi wake kwani ni mradi mkubwa wenye maono makubwa...
  10. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Uzinduzi wa JNHPP: Tanzania Kilele cha Nishati Afrika

    Tanzania inasimama tena kwenye kilele cha mafanikio makubwa ya kiuchumi na kiufundi barani Afrika huku taifa likijiandaa kwa ajili ya uzinduzi rasmi wa mradi mkubwa wa kimkakati wa kuzalisha umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHPP) huko Rufiji Jumamosi hii. Kila Mtanzania mwenye uzalendo...
  11. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Uzinduzi Rasmi JNHPP: Safari ya Karne ya Umeme wa uhakika Tanzania

    Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Maji wa Julius Nyerere (JNHPP) utazinduliwa rasmi Jumamosi hii. Mradi huu wenye historia ya zaidi ya karne moja, ulioanza kufanyiwa tafiti tangu enzi za ukoloni, ukaasisiwa kama wazo la kimkakati wakati wa Mwalimu Julius Nyerere, na hatimaye kupewa msukumo mkubwa wa...
  12. CM 1774858

    JamiiForums Tanzania TZS6.6 Trilioni zimekamilisha ujenzi wa Bwawa la Mwl Nyerere na kuifanya Tanzania kuwa na uzalishaji wa MW4,032 sawa na ziada ya MW740

    Rais Samia ametumia TZS6.6Trilioni kukamilisha ujenzi wa Bwawa la Mwl Nyerere na kuifanya Tanzania kuwa na uzalishaji wa MW4,032 sawa na ziada au umeme usio na kazi MW740. Bwawa la umeme la Nyerere (JNHPP) ni kichocheo muhimu katika kuifikisha Tanzania kwenye uchumi wa kati wa juu Miongoni...
  13. F

    JamiiForums Tanzania Nini sababu iliyomfanya Zitto kabwe kupinga ujenzi wa bwawa la rufiji JNHPP na kutaka Tanzania itumie Umeme wa gesi ,je alipewa rushwa na wenye gesi ?

    Hii video inamuonesha zitto kabwe akipinga kwa nguvu ujenzi wa bwawa la umeme JNHPP, zitto kabwe alikuwa anataka tanesco wazalishe umeme 2100 MW kwa kutumia gesi asilia, zitto alisema maji hayatajaa kwenye bwawa la JNHPP maana uwezo wa maji kwenye mto umepungua kwa asilimia 47, cha...
  14. F

    JamiiForums Tanzania Professa Muhongo anajisikiaje Kutumia umeme wa Bwawa la JNHPP ? Rushwa za makampuni ya gesi zilimchanganya akapinga bwawa wazi wazi

    Nimekumbuka maneno ya proff mwenye mbwembwe kuhusu bwawa . Watu Puppet kama huyu proffessor ilipaswa wasiruhusiwe kutumia umeme wa Tanesco unaotokana na bwawa . Hawa wazawa waliotumiwa na mabeberu kulikwamisha bwawa lisijengwe. Walipaswa wawe wanalala gizani tu. China inaendelea sababu...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mitambo nane Bwawa la Nyerere yakamilika, bado mmoja

    Mitambo nane kati ya tisa inayojengwa katika Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere, imekamilika na mmoja uliobakia utakamilika mwishoni mwa mwezi huu. Kauli hiyo imetolewa bungeni jana Januari 31, 2025 na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko wakati akichangia kwenye azimio...
  16. B

    JamiiForums Tanzania BWAWA LA UMEME JNHPP 1,075

    20 December 2024 BWAWA LA UMEME JNHPP Sasa linazalisha Megawatts 1,075 kati ya Megawatts 2115 https://m.youtube.com/watch?v=uurfxrQkAi8 Vinu namba 9, 8, 7, 6 na 5 sasa vimekamilika hadi leo 18 December 2024 na huku vinu namba 4, 3, 2 na 1 kazi ya usimikaji inaendelea. Kazi zote za...
  17. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, Nyamo-Hanga: Mashine tano Mradi wa JNHPP zimekamilika kwa 100% na zimeanza uzalishaji wa umeme

    Uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania ( TANESCO) Desemba 19, 2024 umetembelea Mradi wa Kufua umeme wa Bwawa la Julius Nyerere kujionea kasi ya maendeleo ya ujenzi unavyoendelea na kuweka mkazo kwa wasimamizi kuhakikisha usimikaji wa mashine nne zilizobakia unafanyika ipasavyo ili umeme...
  18. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dkt. Biteko na Waziri wa Nyumba wa Misri kusimamia ukamilishaji Mradi wa JNHPP

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko leo Oktoba 17, 2024 jijini Dar es Salaam amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Nyumba, Huduma na Jumuiya za Mijini kutoka nchini Misri, Mhe. Sherif EI Sherbiny. Katika mazungumzo yao viongozi hao wamekubaliana kusimamia...
  19. Waka Waka

    JamiiForums Tanzania Mgawo wa Umeme umerudi upya baada ya kukamilika kwa Bwawa la Mwalimu Nyerere?

    Habari, Hali ya mgawo wa umeme imerejea kwa kasi sana ni wiki tangu kuanza kwa changamoto hii. Ndani ya jiji la Dar es Salaam wilaya ya kinondoni hali sio nzuri. Watanganyika tulijua baada ya Bwawa kukamilika ingekua ni mwarobaini tosha ya kukatika katika huku. TANESCO wilaya wametenga masaa...
  20. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Bunge liazimie Bwawa la JNHPP libadiilishwe jina liitwe Magufuli hydro project power. Marais wote walishindwa aliweza JPM pekee

    Hayati Julius alijikita zaidi kuwakomboa Wazimbabwe na Waafrika kusini akasahau kujenga nchi yake. Hayati Mwinyi akaruhusu ufisadi na kila namna ya upigaji. Mkapa akajitahidi kidogo kukusanya mapato ila kukawa na upigaji. Kikwete awamu yake ikajaa upigaji tu na uswahili. Hayati Magufuli...
Back
Top Bottom