mafisadi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Idugunde

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kituo kinachofuata iwe Mwanza. CHADEMA wafanye mkutano mkubwa Furahisha. Wananchi wa Mwanza wapewe pole kwa ndugu zao kuuliwa

    Huo ndio ukweli wenyewe. Hapo Mwanza zilitembe risasi mithiri ya watu wapo Vietnam. Ghana, kilimahewa, Ilemela na maeneo yote ya Mwanza yalichafuka. Mijegejo ilimiminwa kama vile watu wapo Vietnam. CHADEMA nendeni Mwanza mkawape pole wananchi wa Mwanza. Mueleze ukweli tofauti na tume ya Jaji...
  2. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwanini hakuna adhabu ya kifo kwa mafisadi nchi za Afrika?

    Pamoja na ubaya mkubwa wa ufisadi katika maendeleo ya nchi kwa nini hakuna nchi hata moja ya Africa iliyoweka adhabu ya kifo kama China kuthibitisha dhamira kubwa ya kupambana na ufisadi?
  3. A

    JamiiForums Tanzania Kiongozi anaye jali watu wake Vs mafisadi

    Huyu ndio Kiongozi WA kuigwa afrika
  4. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kihongosi Chadema sio ombaomba. Inachangiwa na wananchi sababu wanaona kina nia thabiti ya kuwakomboa dhidi ya mafisadi.

    Aibu kubwa kwa CCM kwa kuwa na Mwenezi wa taifa ambae ana hoja zisizo na masshiko kama hizi. Hajui hata Tanu ilipokuwa chama cha ukombozi kilichangiwa na wananchi? CCM inachangiwa na wafanyabiashara mafisadi wasiolipa kodi. Amesahau juu ya bil 200 za uchaguzi walizochangiwa CCM na bado...
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz -Ni kundi la wanasiasa mafisadi wanaojiita wawekezaji

    Kumekuwa na 'wave' ya mtu anayejiita mfanyabiashara Rostam Aziz kujitokeza kwa uwekezaji mkubwa ktk nchi. Ghafla uwezo wa Rostam umekuwa kwa kasi sana! Rostam Aziz ni jina la kibubu cha wanasiasa marafiki ktk serikali ya JK na hii ya lita 8,000. Wakubwa hawa wanachota pesa ya serikali na...
  6. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki lijifunze Kuwalinda Viongozi wa Juu wa Serikali walio Wakatoliki dhidi ya Mafisadi !!

    Nyerere akaondoshwa, Mkapa akaondoshwa, Magufuli akaondoshwa , Makamo Isidori akaponea chupuchupu, Sahizi kabakia Nchimbi ambaye kama Kanisa kwa kutumia Vyombo vyake, likishindwa kumlinda, naye anaondoshwa Unajiuliza, ilikuaje Kanisa likashindwa Mlinda Magufuli?. Haya Kanisa linashindwaje...
  7. ngara23

    JamiiForums Tanzania Inakatisha tamaa kulipa kodi katika nchi yetu, mafisadi hawana cha kuogopa

    Deni la Taifa ni Trillion 110 Taasisi nyingi wametumbua pesa bila aibu 1. ATCL wamekula pesa, hasara zaidi ya billion 90 ATCL hii haiendeshwi kiuweledi Kutwa kusafirisha machawa na kubeba bure Yanga na Simba kwanini isipate hasara 2. TRC wamekula mabilion ya fedha Hii reli inapataje hasara...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kwa hiyo adhabu ya mafisadi ni kuwaaibisha?! Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Rais Samia

    Leo Rais Samia amesema kuwa ripoti ya CAG ijayo itaje wanaofanya vibaya ili waone aibu, hivi anatambua kuwa kuiba ni aibu tosha ambayo wameivumilia hivyo ya kutajwa ni ndogo na hawawezi kuwaza wala kustuka? https://www.instagram.com/reel/DWgypeRjIYe/ Yaani mtu aibe pesa inayoweza kujenga...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Serikali hatujali misiba yenu ya viongozi Mafisadi Watanzania wanataka haki na uhuru

    Serikali mnataka kulazimisha Watanzania wote tuache kazi na kusikitika nanyi kupoteza marafiki wenu lakini watanzania wengi hatuna muda tunataka democracy na katiba mpya. Hatuta waonea huruma viongozi walio ingia kwa wizi wa kura, kunyanyasa watanzania masikini, kuunga mkono mafisadi wakati...
  10. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Watanganyika wana akili sana. Wamemkataa Jesca Magufuli baada ya kutumiwa na mafisadi wa CCM kama chambo

    CCM mtandao ni wajinga na hawana akili za kuweza kuwadanganya Watanganyika. Walidhani Jesca Magufuli atakuwa bait ili wakubalike kwa Watanganyika. Yuko wapi Humphrey Polepole?
  11. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Angekuwepo shujaa wa Afrika hayati JPM leo taifa letu lisingekosa kama anavyohangaika Rais Samia sababu ya kukumbatia mafisadi

    Hayati Magufuli alikuwa smart hasa kwa kusimamia pesa za umma tangu akiwa Waziri mpaka anakuwa rais. Taifa lenye utajiri na rasilimali nyingi kama Tanzania sio la kukosa pesa za kujenga viwanja vya mpira likae vikao na na nchi kama Kenya ambayo haina uwezo hata wa kudhalisha mahindi ya ugali...
  12. A

    JamiiForums Tanzania AHMED SHABIBY AWALIPUA MAFISADI, ASEMA YEYE NI USALAMA WA TAIFA WA KUJITEGEMEA

    MBUNGE wa Gairo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, Ahmed Shabiby amewalipua mafisadi akisema kuwa, kwa sasa wanapiga pesa kiuhakika na kuporomosha majumba ya maana. Shabiby ameyasema hayo, leo bungeni Dodoma katika Bunge la 13, Mkutano wa pili, Kikao cha pili kilichoongozwa na Spika Mussa Azzan...
  13. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Watanzania walikaa kimya na sio hawana nguvu za kuwashughulikia wauwaji na hao askari wala rushwa wananchi wananguvu zote kuliko jeshi la nchi

    Watanzania walikaa kimya na sio hawana nguvu za kuwashughulikia wauwaji na hao askari wala rushwa wananchi wananguvu zote kuliko jeshi la nchi. Tulipagana na jeshi la Ukoloni lenye silaha za kisasa tukalishinda tukiwa hatuna silaha wala mabuti na hizo kofia za kuzuia risasi hatuwezi kushindwa...
  14. H

    JamiiForums Tanzania Katika nchi hii sasa hivi mafisadi sio wanapiga kidogo wanapiga kiuhakika

    "Katika nchi hii sasa hivi mafisadi sio wanapiga kidogo wanapiga kiuhakika ni walaji na ni walafi na wanafanya vitu kama vile wananchi wa sasa hivi hawana elimu, lazima tufahamu sasa hivi ukienda sehemu yoyote hata kama ni kwenye kijiwe cha bodaboda utamkuta mtu wa chuo kikuu, utamkuta wa 'form...
  15. Idugunde

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ukweli wasioutaka Mafisadi: TEC hawajaoverride madhehebu mengine bali Wanapinga uonevu na ufisadi

    Hata kwenye Biblia walikuwepo manibii kama Elisha na Eliya walipinga uonevu na ufisadi. TEC wanapinga utekaji, wizi wa mali za umma na nepotism ya hali juu. Mfano Dp World kupewa usimamizi wa Bandari bila sababu ili kutengeneza mianya ya upigaji na kuwanufaisha warabu. Utekaji usio na...
  16. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Kuanzia #D9 Wananchi tunapaswa kugoma kulipa kodi hatuwezi kufadhili wauwaji na mafisadi wanunue siraha kutuuwa kwa kodi zetu

    Kuanzia #D9 Wananchi tunapaswa kugoma kulipa kodi hatuwezi kufadhili wauwaji na mafisadi wanunue siraha kutuuwa kwa kodi zetu. Tunalipaje kodi ili zituletee maendeleo kama mnauwa watu. Kataa wahuni !
  17. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Kizazi cha Gen Z kimekuwa na nguvu na mwiba mkubwa kwa mafisadi kwenye mataifa mbalimbali kuliko upinzani wa vyama vya siasa

    Kizazi cha Gen z kimekuwa na nguvu na mwiba mkubwa kwa mafisadi kwenye mataifa mbalimbali kuliko upinzani wa vyama vya siasa. Je, gen z wa Tanzania wanaweza kupindua serikali ya Tanzania? hili ni jibu ambalo linaweza kuwa ndio, kulingana na uchunguzi idadi ya gen z ni zaidi ya asilimia 60% ya...
  18. H

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kama Mwigulu hana biashara yoyote, Basi atakuwa Fisadi na Mwizi mkubwa wa Pesa ya Umma

    Mwigulu amesikika akisema kuwa yeye hana biashara yoyote, hana hata Noah ya biashara! Kama hana biashara yoyote, basi kwa vyovyote atakuwa mwizi mkubwa! Aueleze umma, kama hana kitega uchumi chochote, aueleze umma, pesa anayowalipa wale wachezaji wa Timu take ya mpira, anachukua wapi? Maana...
  19. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Tumeshashinda mapambano wanapumulia kisoda mafisadi, tumesha wapoteza hawaaminiki tena na wananchi wala kimataifa

    Utaona wanajifanya wapo bize kana kwamba hakuna kinachoendelea kumbe presha zao zipo juu sana, Tukutane kwenye Final #D9 tuwakimbize kwenye nchi yetu
  20. M

    JamiiForums Tanzania Hivi hizi video za maiti wengi kutokea vyumba vya kuhifadhia maiti viongozi wanaziona?

    Kuna video imepositiwa instagram mpaka nikajiuliza hivi hawa viongozi wanaziona kweli hizi video, na kama wanaziona wanasubiri nini kumwajibisha Samia. Yaani binadamu wamekufa kama kumbikumbi mpaka unahisi kama movie vile. Samia hafai wazee, tuache masihara huyu mama angejiondoa tu mwenyewe
Back
Top Bottom