Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Mlisjisahau mkadhania kupiga vita ufisadi ni udikteta . Mkabakiza kashfa na maneno yasiyo na tija eti Megastructures hazina faida.
Leo hii mnakatiza wami.
Soon mtakatiza busisi.
Na ndio msingi mkuu wa kupiga vita ufisadi
Leo hii mnakatiza wami.
Soon mtakatiza busisi.
Na ndio msingi mkuu wa kupiga vita ufisadi