Kupiga vita ufisadi sio udikteta. Leo hii ikulu Chamwino imekamlilika, Umeme toka JNHPP utaanza kuzalishwa. Daraja la busisi je?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,086
6,568
Mlisjisahau mkadhania kupiga vita ufisadi ni udikteta . Mkabakiza kashfa na maneno yasiyo na tija eti Megastructures hazina faida.

Leo hii mnakatiza wami.

Soon mtakatiza busisi.

Na ndio msingi mkuu wa kupiga vita ufisadi
 
Waoneshe megaprojects wakati huu oooh tunamalizia miradi basi leteni hata plan tuone
 
Mlisjisahau mkadhania kupiga vita ufisadi ni udikteta . Mkabakiza kashfa na maneno yasiyo na tija eti Megastructures hazina faida.

Leo hii mnakatiza wami.

Soon mtakatiza busisi.

Na ndio msingi mkuu wa kupiga vita ufisadi
Umejitafutia mwenyewe kuitwa mbwa. Uzi gani huu sasa?
 
Mlisjisahau mkadhania kupiga vita ufisadi ni udikteta . Mkabakiza kashfa na maneno yasiyo na tija eti Megastructures hazina faida.

Leo hii mnakatiza wami.

Soon mtakatiza busisi.

Na ndio msingi mkuu wa kupiga vita ufisadi
Hivi esijiara ya MoroDar imeishia wapi
 
Mlisjisahau mkadhania kupiga vita ufisadi ni udikteta . Mkabakiza kashfa na maneno yasiyo na tija eti Megastructures hazina faida.

Leo hii mnakatiza wami.

Soon mtakatiza busisi.

Na ndio msingi mkuu wa kupiga vita ufisadi
Majinga chadema hayana yanachokielewa
 
Back
Top Bottom