saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 602
- 1,407
Taarifa muhimu kuhusu Mradi wa JNHPP zimeshindwa kuwekwa wazi licha ya kutambua kuwa Mradi huu ni wa watanzania na wala sio mali binafsi ya familia ya 'Watu wazuri hawafi"
Ni sababu zipi zilizosababisha watanzania washindwe kuambiwa Mradi utakamilika lini?
Ni sababu zipi zilisosababisha kutokuwekwa wazi uongo kuhusu Madai ya Trilioni 1.5 ambazo Mkandarasi alipaswa kuilipa Serikali kwa kukiuka mkataba na kuchelewesha mradi badala ya mradi kukamilika Juni 2022 hadi sasa mradi haijulikani utakamilika lini.
Spika wa Bunge, Tulia aliyeanzisha hoja hiyo ya mkanganyiko wa taarifa kuhusu kukamilika kwa mradi bungeni Novemba, 2022 amepewa nafasi ya kuongea ameshindwa kuuliza maswali hayo kwa lengo la kumfaidisha nani?
Mpaka sasa watanzania wote wako gizani hawajui mradi utakamilika lini na lini utaanza uzalishaji. Kwanini wanaomundalia Hotuba Mh Rais wameshindwa kuweka time frame ya mradi?
Kwanini Waziri mwenye dhamana ya nishati ameshindwa kuweka time frame ya mradi kukamilika.
Maswali haya yalipaswa kujibiwa siku ya jana
Ni sababu zipi zilizosababisha watanzania washindwe kuambiwa Mradi utakamilika lini?
Ni sababu zipi zilisosababisha kutokuwekwa wazi uongo kuhusu Madai ya Trilioni 1.5 ambazo Mkandarasi alipaswa kuilipa Serikali kwa kukiuka mkataba na kuchelewesha mradi badala ya mradi kukamilika Juni 2022 hadi sasa mradi haijulikani utakamilika lini.
Spika wa Bunge, Tulia aliyeanzisha hoja hiyo ya mkanganyiko wa taarifa kuhusu kukamilika kwa mradi bungeni Novemba, 2022 amepewa nafasi ya kuongea ameshindwa kuuliza maswali hayo kwa lengo la kumfaidisha nani?
Mpaka sasa watanzania wote wako gizani hawajui mradi utakamilika lini na lini utaanza uzalishaji. Kwanini wanaomundalia Hotuba Mh Rais wameshindwa kuweka time frame ya mradi?
Kwanini Waziri mwenye dhamana ya nishati ameshindwa kuweka time frame ya mradi kukamilika.
Maswali haya yalipaswa kujibiwa siku ya jana