Taarifa hizi za Mradi wa JNHPP zimefichwa kumlinda nani?

saidoo25

JF-Expert Member
Jul 4, 2022
602
1,407
Taarifa muhimu kuhusu Mradi wa JNHPP zimeshindwa kuwekwa wazi licha ya kutambua kuwa Mradi huu ni wa watanzania na wala sio mali binafsi ya familia ya 'Watu wazuri hawafi"
Ni sababu zipi zilizosababisha watanzania washindwe kuambiwa Mradi utakamilika lini?
Ni sababu zipi zilisosababisha kutokuwekwa wazi uongo kuhusu Madai ya Trilioni 1.5 ambazo Mkandarasi alipaswa kuilipa Serikali kwa kukiuka mkataba na kuchelewesha mradi badala ya mradi kukamilika Juni 2022 hadi sasa mradi haijulikani utakamilika lini.
Spika wa Bunge, Tulia aliyeanzisha hoja hiyo ya mkanganyiko wa taarifa kuhusu kukamilika kwa mradi bungeni Novemba, 2022 amepewa nafasi ya kuongea ameshindwa kuuliza maswali hayo kwa lengo la kumfaidisha nani?
Mpaka sasa watanzania wote wako gizani hawajui mradi utakamilika lini na lini utaanza uzalishaji. Kwanini wanaomundalia Hotuba Mh Rais wameshindwa kuweka time frame ya mradi?
Kwanini Waziri mwenye dhamana ya nishati ameshindwa kuweka time frame ya mradi kukamilika.
Maswali haya yalipaswa kujibiwa siku ya jana
 
Taarifa muhimu kuhusu Mradi wa JNHPP zimeshindwa kuwekwa wazi licha ya kutambua kuwa Mradi huu ni wa watanzania na wala sio mali binafsi ya familia ya 'Watu wazuri hawafi"
Ni sababu zipi zilizosababisha watanzania washindwe kuambiwa Mradi utakamilika lini?
Ni sababu zipi zilisosababisha kutokuwekwa wazi uongo kuhusu Madai ya Trilioni 1.5 ambazo Mkandarasi alipaswa kuilipa Serikali kwa kukiuka mkataba na kuchelewesha mradi badala ya mradi kukamilika Juni 2022 hadi sasa mradi haijulikani utakamilika lini.
Spika wa Bunge, Tulia aliyeanzisha hoja hiyo ya mkanganyiko wa taarifa kuhusu kukamilika kwa mradi bungeni Novemba, 2022 amepewa nafasi ya kuongea ameshindwa kuuliza maswali hayo kwa lengo la kumfaidisha nani?
Mpaka sasa watanzania wote wako gizani hawajui mradi utakamilika lini na lini utaanza uzalishaji. Kwanini wanaomundalia Hotuba Mh Rais wameshindwa kuweka time frame ya mradi?
Kwanini Waziri mwenye dhamana ya nishati ameshindwa kuweka time frame ya mradi kukamilika.
Maswali haya yalipaswa kujibiwa siku ya jana
Sio kila ucheleweshwaji wa kukamilishwa kwa mradi unabidi mkandarasi alipe. Katika mikataba kuna vitu ambavyo vinaweza kuruhusu makubaliano ya mradi kuchelewa, ambavyo vinakuwa chini ya kitu kinaitwa Force Majeure. Hivi ni pamoja na vitu kama tetemeko la ardhi, mafuriko nk, ambavyo katika lugha ya sheria vinaitwa acts of god. Sasa hapa kumetajwa Covid kuchelewesha logistics za mradi, na within reason, ni kweli Covid iliathiri logistics za miradi mingi.

Kwa hiyo hata kwenye Nyerere HEP mradi kucheleweshwa kwa mwaka mzima kwa mazingira ya Covid ni suala linaloeleweka.

Mkandarasi analipishwa pale ambapo kunakuwa hakuna sababu za msingi za kucheweshwa tarehe ya kumaliza mradi, yaani contract inakuwa frustrated zaidi kwa negligence tu ya mkandarasi
 
Sio kila ucheleweshwaji wa kukamilishwa kwa mradi unabidi mkandarasi alipe. Katika mikataba kuna vitu ambavyo vinaweza kuruhusu makubaliano ya mradi kuchelewa, ambavyo vinakuwa chini ya kitu kinaitwa Force Majeure. Hivi ni pamoja na vitu kama tetemeko la ardhi, mafuriko nk, ambavyo katika lugha ya sheria vinaitwa acts of god. Sasa hapa kumetajwa Covid kuchelewesha logistics za mradi, na within reason, ni kweli Covid iliathiri logistics za miradi mingi.

Kwa hiyo hata kwenye Nyerere HEO mradi kucheleweshwa kwa mwaka mzima kwa mazingira ya Covid ni suala linaloeleweka.

Mkandarasi analipishwa pale ambapo kunakuwa hakuna sababu za msingi za kucheweshwa tarehe ya kumaliza mradi, yaani contract inakuwa frustrated zaidi kwa negligence tu ya mkandarasi
Nafkr huyo kiazi atakuwa ameelewa
 
Taarifa muhimu kuhusu Mradi wa JNHPP zimeshindwa kuwekwa wazi licha ya kutambua kuwa Mradi huu ni wa watanzania na wala sio mali binafsi ya familia ya 'Watu wazuri hawafi"
Ni sababu zipi zilizosababisha watanzania washindwe kuambiwa Mradi utakamilika lini?
Ni sababu zipi zilisosababisha kutokuwekwa wazi uongo kuhusu Madai ya Trilioni 1.5 ambazo Mkandarasi alipaswa kuilipa Serikali kwa kukiuka mkataba na kuchelewesha mradi badala ya mradi kukamilika Juni 2022 hadi sasa mradi haijulikani utakamilika lini.
Spika wa Bunge, Tulia aliyeanzisha hoja hiyo ya mkanganyiko wa taarifa kuhusu kukamilika kwa mradi bungeni Novemba, 2022 amepewa nafasi ya kuongea ameshindwa kuuliza maswali hayo kwa lengo la kumfaidisha nani?
Mpaka sasa watanzania wote wako gizani hawajui mradi utakamilika lini na lini utaanza uzalishaji. Kwanini wanaomundalia Hotuba Mh Rais wameshindwa kuweka time frame ya mradi?
Kwanini Waziri mwenye dhamana ya nishati ameshindwa kuweka time frame ya mradi kukamilika.
Maswali haya yalipaswa kujibiwa siku ya jana
Ni sababu zipi zilisosababisha kutokuwekwa wazi uongo kuhusu Madai ya Trilioni 1.5 ambazo Mkandarasi alipaswa kuilipa Serikali kwa kukiuka mkataba na kuchelewesha mradi badala ya mradi kukamilika Juni 2022 hadi sasa mradi haijulikani utakamilika lini.
 
Ni sababu zipi zilisosababisha kutokuwekwa wazi uongo kuhusu Madai ya Trilioni 1.5 ambazo Mkandarasi alipaswa kuilipa Serikali kwa kukiuka mkataba na kuchelewesha mradi badala ya mradi kukamilika Juni 2022 hadi sasa mradi haijulikani utakamilika lini.
Mkuu Mshana Jr soma post namba 2 hapo juu nadhani inalo jibu la ulichokiuliza.
 
Taarifa muhimu kuhusu Mradi wa JNHPP zimeshindwa kuwekwa wazi licha ya kutambua kuwa Mradi huu ni wa watanzania na wala sio mali binafsi ya familia ya 'Watu wazuri hawafi"
Ni sababu zipi zilizosababisha watanzania washindwe kuambiwa Mradi utakamilika lini?
Ni sababu zipi zilisosababisha kutokuwekwa wazi uongo kuhusu Madai ya Trilioni 1.5 ambazo Mkandarasi alipaswa kuilipa Serikali kwa kukiuka mkataba na kuchelewesha mradi badala ya mradi kukamilika Juni 2022 hadi sasa mradi haijulikani utakamilika lini.
Spika wa Bunge, Tulia aliyeanzisha hoja hiyo ya mkanganyiko wa taarifa kuhusu kukamilika kwa mradi bungeni Novemba, 2022 amepewa nafasi ya kuongea ameshindwa kuuliza maswali hayo kwa lengo la kumfaidisha nani?
Mpaka sasa watanzania wote wako gizani hawajui mradi utakamilika lini na lini utaanza uzalishaji. Kwanini wanaomundalia Hotuba Mh Rais wameshindwa kuweka time frame ya mradi?
Kwanini Waziri mwenye dhamana ya nishati ameshindwa kuweka time frame ya mradi kukamilika.
Maswali haya yalipaswa kujibiwa siku ya jana
Makamba amwongea maneno mengi yenye porojo ili kumsifia mama
 
Ila timeframe wameiextend had June 2024 l, labda tatizo ndio lipo happ kwann iwe mbali badala ya ili yopangwa awali
 
Taarifa muhimu kuhusu Mradi wa JNHPP zimeshindwa kuwekwa wazi licha ya kutambua kuwa Mradi huu ni wa watanzania na wala sio mali binafsi ya familia ya 'Watu wazuri hawafi"
Ni sababu zipi zilizosababisha watanzania washindwe kuambiwa Mradi utakamilika lini?
Ni sababu zipi zilisosababisha kutokuwekwa wazi uongo kuhusu Madai ya Trilioni 1.5 ambazo Mkandarasi alipaswa kuilipa Serikali kwa kukiuka mkataba na kuchelewesha mradi badala ya mradi kukamilika Juni 2022 hadi sasa mradi haijulikani utakamilika lini.
Spika wa Bunge, Tulia aliyeanzisha hoja hiyo ya mkanganyiko wa taarifa kuhusu kukamilika kwa mradi bungeni Novemba, 2022 amepewa nafasi ya kuongea ameshindwa kuuliza maswali hayo kwa lengo la kumfaidisha nani?
Mpaka sasa watanzania wote wako gizani hawajui mradi utakamilika lini na lini utaanza uzalishaji. Kwanini wanaomundalia Hotuba Mh Rais wameshindwa kuweka time frame ya mradi?
Kwanini Waziri mwenye dhamana ya nishati ameshindwa kuweka time frame ya mradi kukamilika.
Maswali haya yalipaswa kujibiwa siku ya jana

Mkuu ujenzi wewe uusikie tu, ujenzi siyo kama uhakika wa wewe kwenda chooni baada ya kuvimbiwa!!
Na kukamilika kwa vile hutaki kuelewa, ni June 2024.
 
Sio kila ucheleweshwaji wa kukamilishwa kwa mradi unabidi mkandarasi alipe. Katika mikataba kuna vitu ambavyo vinaweza kuruhusu makubaliano ya mradi kuchelewa, ambavyo vinakuwa chini ya kitu kinaitwa Force Majeure. Hivi ni pamoja na vitu kama tetemeko la ardhi, mafuriko nk, ambavyo katika lugha ya sheria vinaitwa acts of god. Sasa hapa kumetajwa Covid kuchelewesha logistics za mradi, na within reason, ni kweli Covid iliathiri logistics za miradi mingi.

Kwa hiyo hata kwenye Nyerere HEO mradi kucheleweshwa kwa mwaka mzima kwa mazingira ya Covid ni suala linaloeleweka.

Mkandarasi analipishwa pale ambapo kunakuwa hakuna sababu za msingi za kucheweshwa tarehe ya kumaliza mradi, yaani contract inakuwa frustrated zaidi kwa negligence tu ya mkandarasi
Kuna watu wajinga wajinga wanafikiri kujenga ni kama kuchomoa shati kutoka kwenye shelf ya duka.
Wanakera sanan.
 
Ila timeframe wameiextend had June 2024 l, labda tatizo ndio lipo happ kwann iwe mbali badala ya ili yopangwa awali
Hiyo time Frame umeisema wewe wahusika hawajaisema. au tuwekee ushahidi labda sikusikiliza vizuri
 
Mkuu ujenzi wewe uusikie tu, ujenzi siyo kama uhakika wa wewe kwenda chooni baada ya kuvimbiwa!!
Na kukamilika kwa vile hutaki kuelewa, ni June 2024.
Ujenzi wowote unakuwa umeshafanyiwa upembuzi yakinifu unaoonyesha kila hatua na kila kitu wewe unaongea kienyeji yaani tuache kuzungumzia mkataba tuzungumze mambo ambayo hatuyajui
 
Mkuu ujenzi wewe uusikie tu, ujenzi siyo kama uhakika wa wewe kwenda chooni baada ya kuvimbiwa!!
Na kukamilika kwa vile hutaki kuelewa, ni June 2024.
Rais Samia na Waziri wa Umeme na MD wa TANESCO Maharage taarifa zao zote hazijaonyesha mradi utakamilika lini na utaanza lini uzalishaji hiyo ya Juni 2024 umeitoa kwenye kinywa cha nani kati ya hao viongozi watatu.
 
Sio kila ucheleweshwaji wa kukamilishwa kwa mradi unabidi mkandarasi alipe. Katika mikataba kuna vitu ambavyo vinaweza kuruhusu makubaliano ya mradi kuchelewa, ambavyo vinakuwa chini ya kitu kinaitwa Force Majeure. Hivi ni pamoja na vitu kama tetemeko la ardhi, mafuriko nk, ambavyo katika lugha ya sheria vinaitwa acts of god. Sasa hapa kumetajwa Covid kuchelewesha logistics za mradi, na within reason, ni kweli Covid iliathiri logistics za miradi mingi.

Kwa hiyo hata kwenye Nyerere HEP mradi kucheleweshwa kwa mwaka mzima kwa mazingira ya Covid ni suala linaloeleweka.

Mkandarasi analipishwa pale ambapo kunakuwa hakuna sababu za msingi za kucheweshwa tarehe ya kumaliza mradi, yaani contract inakuwa frustrated zaidi kwa negligence tu ya mkandarasi
Hayo maelezo yako wewe umeyatoa wapi kama Waziri mwenyewe Makamba hajawahi kuyatoa popote wewe unayatoa wapi na je wewe ni mamlaka zaidi ya wahusika wa mradi ambao mkataba ndio unasema adhabu ni hiyo
 
Taarifa muhimu kuhusu Mradi wa JNHPP zimeshindwa kuwekwa wazi licha ya kutambua kuwa Mradi huu ni wa watanzania na wala sio mali binafsi ya familia ya 'Watu wazuri hawafi"
Ni sababu zipi zilizosababisha watanzania washindwe kuambiwa Mradi utakamilika lini?
Ni sababu zipi zilisosababisha kutokuwekwa wazi uongo kuhusu Madai ya Trilioni 1.5 ambazo Mkandarasi alipaswa kuilipa Serikali kwa kukiuka mkataba na kuchelewesha mradi badala ya mradi kukamilika Juni 2022 hadi sasa mradi haijulikani utakamilika lini.
Spika wa Bunge, Tulia aliyeanzisha hoja hiyo ya mkanganyiko wa taarifa kuhusu kukamilika kwa mradi bungeni Novemba, 2022 amepewa nafasi ya kuongea ameshindwa kuuliza maswali hayo kwa lengo la kumfaidisha nani?
Mpaka sasa watanzania wote wako gizani hawajui mradi utakamilika lini na lini utaanza uzalishaji. Kwanini wanaomundalia Hotuba Mh Rais wameshindwa kuweka time frame ya mradi?
Kwanini Waziri mwenye dhamana ya nishati ameshindwa kuweka time frame ya mradi kukamilika.
Maswali haya yalipaswa kujibiwa siku ya jana

Wanajiuma uma tu. Ila huyu tulia ackson ni kichwaa
 
Wanajiuma uma tu. Ila huyu tulia ackson ni kichwaa
Akiwa bungeni kichwa akikaa karibu na Rais anajitoa ufahamu anasahau aliyosimamia bungeni. Wakati anamuagiza Waziri Mkuu kuleta maelezo baada ya wizara kutoa taarifa yenye mkanganyiko na isiyoeleweka kwanini hakuuliza mbele ya Mh Rais kwamba mradi utakamilika lini?
 
Ni sababu zipi zilisosababisha kutokuwekwa wazi uongo kuhusu Madai ya Trilioni 1.5 ambazo Mkandarasi alipaswa kuilipa Serikali kwa kukiuka mkataba na kuchelewesha mradi badala ya mradi kukamilika Juni 2022 hadi sasa mradi haijulikani utakamilika lini.
Covid 19 ndiyo tatizo kubwa lililosababisha mradi kutokamilika Juni 2022. Na akaomba nyongeza ya mwaka mmoja zaidi hadi Juni 2023. Mpk hapa mm nakubaliana na mkandarasi.

Kitu ambacho kinanitia kinyaa ni huo mwaka mwingine wa ziada yaani kwamba mradi Sasa utakamilika Juni 2024. Why? Kwanini? Pourquoi?
 
Covid 19 ndiyo tatizo kubwa lililosababisha mradinkutokamilika Juni 2022. Na akaomba nyongeza ya mwaka mmoja zaidi hadi Juni 2023. Mpk hapa mm nakubaliana na mkandarasi.

Kitu ambacho kinanitia kinyaa ni huo mwaka mwingine wa ziada yaani kwamba mradi Sasa utakamilika Juni 2024. Why? Kwanini? Pourquoi?
Ukisikiliza taarifa zote za Kamati za Bunge zilizowasilishwa bungeni hizo sababu zilikakatiwa na Serikali chini ya Kalemani akiwa Waziri kwanini zikubaliwe Oktoba 2021 baada ya Januari kuwa Waziri?
 
Sio kila ucheleweshwaji wa kukamilishwa kwa mradi unabidi mkandarasi alipe. Katika mikataba kuna vitu ambavyo vinaweza kuruhusu makubaliano ya mradi kuchelewa, ambavyo vinakuwa chini ya kitu kinaitwa Force Majeure. Hivi ni pamoja na vitu kama tetemeko la ardhi, mafuriko nk, ambavyo katika lugha ya sheria vinaitwa acts of god. Sasa hapa kumetajwa Covid kuchelewesha logistics za mradi, na within reason, ni kweli Covid iliathiri logistics za miradi mingi.

Kwa hiyo hata kwenye Nyerere HEP mradi kucheleweshwa kwa mwaka mzima kwa mazingira ya Covid ni suala linaloeleweka.

Mkandarasi analipishwa pale ambapo kunakuwa hakuna sababu za msingi za kucheweshwa tarehe ya kumaliza mradi, yaani contract inakuwa frustrated zaidi kwa negligence tu ya mkandarasi
Jibu tulivu sana hili ulilompa jamaa.

Tusitafute visababu hata mahala pasipostahili kuwepo visababu.

Kuna mambo makubwa zaidi na yaliyowazi wanayovuruga hawa viongozi, hakuna upungufu kabisa wa mambo ya kuwalaumu juu ya utendaji wao mbovu.
Shikia shoka hayo.
 
Back
Top Bottom