The Kibiti lampeye (Lacustricola lacustris) is a species of fish in the family Poeciliidae. It is endemic to Tanzania. Its natural habitats are rivers and intermittent rivers.
RE: URGENT REQUEST FOR FOOD STUFFS SUPPORT TO FLOOD AFFECTED KIBITI DISTRICT COMMUNITIES
Dear: Well-wishers, Friends, Sympathizers, Neighbors, Fellow Tanzanians.
Date: 09th April, 2024.
Kindly be reminded on the caption above.
I am humbly presenting to you this hand of pity plea, with an...
Mbunge Twaha Mpembenwe Afika Kibiti Kutoa Pole, Rais Samia Suluhu Hassan Kutuma Misaada ya Kibinadamu Kusaaidia Wahanga wa Mafuriko
Mbunge wa Jimbo la Kibiti Mkoa wa Pwani, Mhe. Twaha Ally Mpembenwe amefanya ziara ya kuwatembelea wananchi wa Kata, Vijiji, vitongoji na mitaa katika Wilaya ya...
Wadau hamjamboni nyote
Habari mbaya kutoka.
Wezi wamevunja na kuiba mahindi ya Kande kilo 50, Maharage kilo tano, mafuta Lita moja na nusu usiku wa kuamkia jana. kwenye Kanisa la Waadventista Wasabato Kibiti
Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Rufiji Protas Mutayoba amethibitisha tukio hilo na...
MBUNGE MPEMBENWE: JIMBO LA KIBITI LILIPOKEA BILIONI 31 ZA MIRADI YA MAENDELEO KUTOKA KWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
"Katika Jimbo la Kibiti, Rais Samia Suluhu Hassan ametupatia fedha nyingi za maendeleo. Juni 2023 nilisoma utekelezaji wa Ilani, tulipewa Shilingi 31,634,560,924.43. Sekta ya Elimu...
MP (Kibiti) Twaha Mpembenwe: The Unsung Hero (Samia Suluhu Hassan)
I am humbly writing you to heartily congratulate and appreciate on the resounding sustainable administrative revolution accomplishment. Since the time you assumed office in March 2021, your administration branded its
actions...
Mwamba aliyeondoka aliwapa Kazi ya Kusaficha Wazee wa Morogoro na hao Wapumbavu na Wahuni walidhibitiwa vilivyo na Wengine hadi Kukimbilia nchi Jirani.
Cha Kushangaza aliyeko sasa anatanguliza Huruma na Imani yake ya Kidini kwa Kuogopa kuruhusu tena Wazee wa Morogoro warejee ili Safari hii siyo...
He'll
Katika kutimiza majukumu ya kazi leo nilikuwa Kibiti sehemu moja inaitwa mkamba nimetoka mjini saa nne nimefika saa nane mda ukawa umeenda sana na ilikuwa lazima kumaliza kazi leo sikutaka kulala uko
Nikawa nimemaliza kazi saa kumi na moja nikawa nauliza wenyeji usafiri wakaniambia boda...
Dar es Salaam. Mkuu wa Jeshi la Polisi Mstaafu, Simon Sirro ametaja changamoto nne alizokabiliana nazo wakati wa utumishi wake ikiwamo mauaji ya Kibiti.
Sirro ametoa kauli hiyo leo Jumatano Mei 10, 2023 wakati sherehe za kumuaga baada ya kustaafu rasmi utumishi katika kipolisi, zilizofanyika...
IGP Mstaafu Balozi Simon Sirro baada ya kuagwa rasmi na Jeshi la Polisi leo Dar es salaam amesimulia tukio ambalo hatolisahau akiwa kazini ambalo amesema ni la Askari Polisi kupigwa risasi na Majambazi baada ya kushambulia kwa risasi gari la Polisi katika Kijiji cha Uchembe, Kata ya Mjawa...
Position: Records Management Assistant II
Government Job Opportunities Kibiti District Council 2022, Ajira Mpya Kibiti 2022, Nafasi Za Kazi Serikalini 2022
Kibiti District is a new district in the Coast Region established in 2015 with postcode number 61800. Its areas were set aside by Rufiji...
Wakuu naomba kujuzwa kuhusu shule tajwa hapo juu. Naomba kujua ipo umbali gani toka Kibiti mjini na mambo wawili matatu kuhusu shule hiyo. Mtu atalajie nini na ajiandae na nini. Kijana wangu amepangwa kufundisha hapo. Shukran sana.
Paka kiwepo pahala,panya hawana pirika,
Pale kakamata dola, panya wanadhoofika.
Mashimoni wanalala, kero tunapumzika.
Tangu paka kuondoka,panya nyumba watawala.
Paka walikuwa jela,kifungo walifungika,
Wakawa si wa kitala,midomo walifungika.
Kuondoka wa kuwala,jikoni ni patashika,
Tangu paka...
Rais Magufuli amemteua Luteni Kanali Patrick Kenani Sawala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani
Luteni Kanali Sawala anachukua nafasi ya Juma Njwayo ambaye uteuzi wake umetenguliwa
Rais Magufuli leo amesikiliza kero za Wananchi katika Wilaya hiyo akiwa njiani kutoka Mtwara ambapo...
Rais Magufuli leo akiwa njiani kutoka msibani, amesimama mara kadhaa kuwasalimu wananchi na kuwasikiliza. Ameshangazwa na watu walio chini yake kushindwa kujenga choo cha soko ilihali mapato ya halmashauri yao ni zaidi ya bilioni 1.8
Rais Magufuli ametoa agizo la choo husika kukamilika ndani ya...
Rais Magufuli akiwa Ikwiriri wakati akitoka kwenye Mazishi ya Mzee Mkapa, baada ya kusikiliza kero za wanaikwiriri hususani suala zima la afya ameamuru gari la Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti ligeuzwe kuwa ambulance mpaka hapo halmashauri hiyo itakapopata machungu na kutengeneza...
Nimeinasa kwenye Mitandao ya Kijamii ya usembassytz kuhusu Kaimu balozi wa Marekani kwenda Kumtembelea na kumtakia heri ya Sikukuu Mke wa Muandishi wa Habari za Uchunguzi Azory Gwanda ambaye Alitoweka miaka kadhaa hadi sasa kwa kuchukuliwa nyumbani kwake usiku na Watu wasiojulikana (Siwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.