propaganda

Propaganda is communication that is used primarily to influence an audience and further an agenda, which may not be objective and may be presenting facts selectively to encourage a particular synthesis or perception, or using loaded language to produce an emotional rather than a rational response to the information that is presented. Propaganda is often associated with material prepared by governments, but activist groups, companies, religious organizations, the media, and individuals can also produce propaganda.
In the 20th century, the term propaganda has often been associated with a manipulative approach, but propaganda historically is a neutral descriptive term.A wide range of materials and media are used for conveying propaganda messages, which changed as new technologies were invented, including paintings, cartoons, posters, pamphlets, films, radio shows, TV shows, and websites. More recently, the digital age has given rise to new ways of disseminating propaganda, for example, through the use of bots and algorithms to create computational propaganda and spread fake or biased news using social media.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    JamiiForums Tanzania Mtazamo: Hizi ni propaganda ili Lissu akiachiwa, ionekane ni mazungumzo ndio yamesaidia na si shinikizo kutoka ndani na nje ya nchi

    Kwa mtazamo wangu, hiki ndio kinachoendelea lengo ni kuficha aibu ya kushindwa kesi au kuufyata mbele ya shinikizo la kimataifa hasa kutokana na Muswaada wa Bunge la Marekani unaotaka kuachiwa kwa wafungwa wa kisiasa hapa nchini. Pia, naomba niwajulishe kuwa teyari kuna barua ya tarehe 26 May...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Tuache propaganda juu ya uhai wa Watanganyika

    TUACHE PROPAGANDA JUU YA UHAI WA WATANGANYIKA. Hakuna Taifa linalotuonea wala kutuingilia mambo yetu ya ndani kinyume na Sheria za Kimataifa. Yanayotupata leo yanatokana zaidi na ujinga wetu wenyewe, ukatili wetu wenyewe, na kushindwa kuwajibika kwa mujibu wa Sheria na Katiba ya nchi...
  3. Kaptula la max

    JamiiForums Tanzania Ya, 29/10 Haiwezi kusafishwa na propaganda

    Muda unaweza kusonga mbele. Kauli za kisiasa zinaweza kubadilika. Ripoti za ndani zinaweza kutungwa kwa lugha laini. Lakini 29/10 ni kumbukumbu ya kudumu ndani na chamber za kimatifa Na sasa dunia inaanza kuonyesha kuwa haikusahau. Wiki hii, maseneta wa Marekani kutoka pande mbili tofauti za...
  4. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Tanzania: United for Peace & Sovereignty

    Tanzanians are united in defending their country’s dignity, sovereignty, and peace. External campaigns built on misinformation will never define Tanzania’s identity or future
  5. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Warioba tubuu badala ya kujisafisha kwa Propaganda dhaifu

    Ukitaka kujua tabia ya paka chunguza anakula nini. Warioba (na mwenzie Butiku) ni watu ambao mikono Yao imejaa damu na machozi ya wahanga wengi. Ukitaka kujua hili durusu Sheria ya kuweka watu kizuizini ambayo ilianza kufanya kazi tarehe 5 oktoba 1962 (Act No. 60 of 1962). Wakati huo...
  6. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Kwa propaganda hizi zilizoandaliwa na Tume ya Chande kweli mko serious mnataka Maridhiano? Bila ukweli na Uwajibikaji sioni Maridhiano yakifanikiwa

    Taifa liweze kupona msingi wake lazima huwe ukweli na uwajibikaji sasa hii Tume Jaji chande imejikita kwenye propaganda za kitoto Je kweli nyie mnataka kuliponya Taifa? Watanzania au wananchi wa karne hiii hamtaweza tena kuwadanganya kitoto tena...
  7. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Maulid Kitenge: Nina imani kubwa na Tume ya Jaji Chande. Ripoti ya kesho itaenda 'kuponya' Watanzania

    Wakuu, Nakumbuka hata kipindi kile cha Uchaguzi MaCCM yalitumia mbinu hizi hizi za kutumia watu maarufu kuhalalisha Uchaguzi ila kilichotokea hadi leo hawaamini Ni lini CCM itakubali kwamba Generation imebadilika and that kutumia watu maarufu ilikuwa ni trick ya zamani sana ambayo sasa hivi...
  8. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Hizi zote ni propaganda za CCM tu na chawa wao. Behind the scene, Samia alisha - surrender kitambo kwa mwamba Tundu Lissu. Fuatilia mjadila👇🏻

    Wote nimewaelewa Ila kuna mmoja hajamuelewa Mwingine kwako MangeKimambi na kaka @HecheJohn Tusiwape Mwanya CCM kupata upenyo wa kutugawa kupitia nyufa za Majadiliano ya namna ya tunavyojadili masuala, Kwa namna yeyote ile @TunduALissu Lissu lazima awe out na ndo suala muhimu! Tunajua...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Iran imetufunza jambo kama taifa

    Kwamba umoja, mshikamano na kujipanga kiteknojia na kijeshi ni jambo muhimu sana. Wananchi kukataa Propaganda za wanaharakati na nchi za magharibi ndio msingi wa uzalendo. Tujifunze kwamba sote ni binaadam, hakuna mwenye nguvu wala mdogo, umoja na mshikamano hakuna lisilowezekana
  10. M

    JamiiForums Tanzania Aibu ya Propaganda: Baada ya kushindwa kudanganya kifo cha Netanyahu, Iran wamekuja na nyingine ya Marekani kuwalipa Dola Bilioni 6.

    Taarifa zinazosambaa kwamba Marekani imekubali kuilipa Iran dola bilioni 6 ni propaganda za zinazorejelea tukio la zamani lililotokea Septemba 2023 kipindi Biden akiwa Rais wa Marekani. Dola Bilioni 6 zilikuwa sehemu ya makubaliano ya kubadilishana na wafungwa, ambapo Marekani ilitoa ruhusa...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hizo propaganda zina mwisho wake mmoja au wawili lazima anywe kikombe

    Kumekuwa na storie niseme propaganda zikiongozwa na mtu mzima Rais wa Marekani huku zikijibiwa kwa vitendo na Iran Wenye akili walishajua kuna mtu alikuwa anajazwa kwenye mfumo naye kajaa kisawasawa kituo kinachofwata Israeli inaenda kufutwa kwenye Uso wa dunia na Marekani atapoteza kambi zake...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Baada ya Gen Z wa Majirani kutusulubu kwa hoja na mipasho ndio tumekuja na propaganda ya Mrusi Guy?

    Ni kwamba hayo mambo ya kujaribu kudiverge vijana na jamii kwa kufabricate matukio ya ngono Wale Gen Z wao walishavuka hiyo level. Kwa sasaa genz wao wako bize na ku advance teknolojia tumizi na level za anga za mbali. Hii mchezo na movie za connections zingefanya kazi kwa wabongo au waganda...
  13. Ex Spy

    JamiiForums Tanzania Tanzania: UN experts condemn post-election lethal crackdown and digital blackout

    04 December 2025 GENEVA – UN human rights experts* today condemned reported widespread and systematic human rights violations in Tanzania following the general elections on 29 October 2025, including allegations of hundreds of extrajudicial killings, enforced disappearances, and mass arbitrary...
  14. Damaso

    JamiiForums Tanzania Je, chemchem ya maji ya Kilimanjaro ni Kweli au Propaganda za Masoko?

    Kwanza kabsa; uzi huu hauna maana yoyote ya kuharibu biashara zozote za Makampuni ya Bonite pamoja na Azura. Kwenye biashara mitaa bhana siku hizi kuna simulizi zinazosisimua: tone la mvua linasafiri kwa miaka 20 ndani ya miamba ya Mlima Kilimanjaro, likichujwa kiasili hadi kufikia kitalu cha...
  15. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Hatutahangaika kujibu Propaganda wala kutukana

    Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi @ccmtanzania, @kenanikihongosi amesema CCM haitapoteza muda kujibu propaganda zinazoenezwa na watu wasiolitakia mema Taifa, badala yake itaendelea kuzingatia wajibu wake wa kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Chama ili kuhakikisha...
  16. Idugunde

    JamiiForums Tanzania CCM haina watu makini ndio maana imechukiwa. Huwezi ukapambana na CHADEMA hii kwa propaganda za kipuuzi

    Utasikia makada uchwala wanaongea hadharani kuwa TEC wanaifadhili CHADEMA tena bila hata aibu huku wakijua upuuzi wanaousema hauwezi kukubalika na mtu yoyote. Mtu mpuuzi analipwa pesa na kufanya press conference kuwa Heche na Lissu wanateka watu bila kutumia akili. Upuuzi kama huu nani...
  17. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Watanzania Kamwe tusilogwe tukasahau agenda zetu nyeti kwa propaganda za kijinga za CCM

    GT. Narudia tena kuwaambia kwa sasa CCM wanawaza uchaguzi wa 2030 tu hawana jingine...Mwigulu kaja kama master mind wa kutengeneza upumbavu ili siku zisonge mbele. Tusipokuwa makini mtachezewa hapa propaganda za kipumbavu mara paaa 2030 hii hapa hakuna lolote la maana lililofanyika. Tuna...
  18. Soul21

    JamiiForums Tanzania Je, mnataka kukwamisha tume ya uchunguzi ila propaganda zenu za chuki zishinde?

    Rais kwa utu ameunda tume ya uchuguzi juu ya vurugu za oktoba 29. Watu walipoteza maisha ila mpaka sasa ilianzia idadi ya 1000 ikaja 2000 - kwa sasa 10,000. Je, lengo la kupandisha data hizi ni nini? au kuendelea kukuza hasira na chuki ili mshinde kisiasa.? *Mlisema watu walipigwa riasi wakiwa...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kuifuta CCM sio kuondoa matatizo ya taifa hili. Hiyo ni propaganda yenye uongo Mkubwa

    KUIFUTA CCM SIO KUONDOA MATATIZO YA TAIFA HILI. HIYO NI PROPAGANDA YENYE UONGO MKUBWA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Kuna watu wanadanganya Watanzania matatizo ya Nchi hii ni uwepo wa chama cha mapinduzi( CCM ). Huo ni uongo mkubwa. 2. Wengine wanausema uongo huo kwa makusudi wakijua...
  20. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Hizi propaganda mnazoeneza kuwa Hayati JPM alikumbatia mafisadi ni upuuzi. Jibuni tuhuma zenu. Why DP world? Why Nepotism.?

    Msiwawafanye watanzania ni wajinga na wapuuzi. Kwa nini Dp World ambao ni waarabu wapewe kandarasi ya kuendesha bandari wakati uwezo tunao. Kama ni kupanua na kujenga angepewa mkandasi akajenga na kuweka miundombinu ya kisasa. Watanzania wakapewa utaalamu na kuendesha bandari yao. Kuhusu...
Back
Top Bottom